Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
I wish every trader could understand you rafiki. You're so informed on the subject matter.
Shukrani cousin!!

Ndicho ninachotamani kuona kila trader anakuwa na "know how" ya kuwa consistency profitable trader wa hii biashara kwa kujua namna nzuri ya kucontrol risk yake maana in Forex you can make money katika uelekeo wowote wa soko likienda aidha juu au chini inashangaza kwanini watu wanapoteza pesa ilhali in both direction of the market we can make money!? Tatizo ni greedy tu basi inayochagizwa na kudharau risk management..isipokuwa muhimu zaidi ni kujishield na proper risk management zitakazoact kama shock absorber kwa kiswahili cha kienyeji (Shokamzoba) ili soko likifanya unpredictable movement zake ubaki salama na kamtaji kako.

Ukweli unabaki pale pale Forex is simple but not easy. Don't hates the game hates the player. Hatuna haja ya kuchukia hii biashara tumchukie trader asiejielewa na kupoteza pesa kizembe then next anapayula kwamba Forex is scam.
 
Shukrani cousin!!

Ndicho ninachotamani kuona kila trader anakuwa na "know how" ya kuwa consistency profitable trader wa hii biashara kwa kujua namna nzuri ya kucontrol risk yake maana in Forex you can make money katika uelekeo wowote wa soko likienda aidha juu au chini inashangaza kwanini watu wanapoteza pesa ilhali in both direction of the market we can make money!? Tatizo ni greedy tu basi inayochagizwa na kudharau risk management..isipokuwa muhimu ni kujishield na proper risk management zitakazoact kama shock absorber kwa kiswahili cha kienyeji (Shokamzoba) ili soko likifanya unpredictable movement zake ubaki salama na kamtaji kako.

Ukweli unabaki pale pale Forex is easy but not simple. Don't hates the game hate the player.
Mkuu ubarikiwe sana kwa mchango wako , umeongea maneno machache lakini yenye maana kubwa sana kwa traders hasa hasa sisi newbies

I wish kama ningepata time tukazungumza zaidi juu ya hili
 
it all comes down to this hah.
LAZIMA UTOLEWE HELA.

maelezo mengi but mwisho wa siku ni unaombwa hela.

maana ktk hali ya kawaida kabisa kama anaweza tengeneza 2000 from 100 yeye achukue 800 kwann asifanye tu kwa hela yake huko atengeneze hela na sio mpaka atafute hela ya mtu?
 
Shukrani cousin!!

Ndicho ninachotamani kuona kila trader anakuwa na "know how" ya kuwa consistency profitable trader wa hii biashara kwa kujua namna nzuri ya kucontrol risk yake maana in Forex you can make money katika uelekeo wowote wa soko likienda aidha juu au chini inashangaza kwanini watu wanapoteza pesa ilhali in both direction of the market we can make money!? Tatizo ni greedy tu basi inayochagizwa na kudharau risk management..isipokuwa muhimu zaidi ni kujishield na proper risk management zitakazoact kama shock absorber kwa kiswahili cha kienyeji (Shokamzoba) ili soko likifanya unpredictable movement zake ubaki salama na kamtaji kako.

Ukweli unabaki pale pale Forex is easy but not simple. Don't hates the game hates the player. Hatuna haja ya kuchukia hii biashara tumchukie trader asiejielewa na kupoteza pesa kizembe.
 
Can someone explain how one can make money when the market is down? In forex trading when the exchange rate falls/declines mtaji unaliwa!!
 
ndiyo mkuu nipo seriuos kwa yeyote aliyetayar dollar mia tu nazikonvert mpka 2000 usd alafu ananiachia mia nane
Maandishi yako yamejaa ahadi za uhongo ni mithili ya mwanaume anaetongoza unajaribu kutaka kuwaaminisha watu tofauti na uhalisia.

Kimsimgi sikuungi mkono na ninatoa tahadhari kwa wanajukwaa kudharau ulichoandika maana kina kila dalili ya ubabaishaji. Maana hujatoa hata mchanganuo ni kwa muda gani itakuchukua!? Utatumia technical analysis za Fibonacci au utatrade fundamental news pekee!? E.t.c ili kufikia lengo lako.

Pia nawahasa newbie usimpe mtu akutredie hata kama ni profession trader Forex ni kama baiskeli ili kujua kuendesha lazma uumie. Siwadanganyi if you have never blown your account then you have never trade. Go into the market let it kill you...ila akili ina tabia moja psychologically ikifanya kitu kwa muda mrefu inaadapt na kuzoea namna nzuri ya kulifanya hilo suala na automatically utakuwa vizuri tu. Umeme ukikatika ukiwa ndani ya nyumba huwezi kukosea kujua kiberiti kilipo humo ndani gizani..maana akili ishaadapt..ndio maana kuna neno mazoezi ina maanisha kukifanya kitu kwa kurudia rudia hadi uweze kukizoea kitu..trade mwenyewe uizoee Market and that's why kuna Demo account Yule dogo millionaire wa South afrika kupitia Forex anaitwa Sandile Shezi akiwa na miaka 18 tu yeye alitrade demo yenye jumla ya dola 400 kwa miezi sita then alipoona amekuwa consistency profitable trader kwa kamtaji kadogo ka dola 400 kukakuza vizuri then akaanza kutrade real account..but akili itarespond automatically na utakuwa consistency profitable trader once ukitrade mwenyewe. Just learn how to manoeuvre in the big ocean alone.

If you want to be strong learn how to fight alone....yes alone!

Good sailer are made in storm oceans
Good driver are made on the rough road.

"Umia ujae"
 
Maandishi yako yamejaa ahadi za uhongo ni t..ndio maana kuna neno mazoezi ina maanisha kukifanya kitu kwa kurudia rudia hadi uweze kukizoea kitu..trade mwenyewe uizoee Market and that's why kuna Demo account..then akili itarespond automatically na utakuwa consistency profitable trader.

"Umia ujae"
nakuelewa sana mzee
 
ticmill siyo wasumbufu kabisa ila sisi wabongo tunapenda sana ukitonga. wako strict sanakwenye rules zao. dont mess up with them follow the rules
 
nakuelewa sana mzee
Asante kwa kunielewa mzawa.

Dhumuni letu ni kuwekana sawa na kuruka viunzi vya matapeli maana hii biashara ina matapeli kibao wenye mbinu kibao na sababu ni pesa nyingi inayopatikana in this business.

So stay alert and awaken.
 
Hizi ni sababu 6 za kumtumia Templer FX Trader kama broker wako kwa hapa Tanzania

Hellow champions! kutokana na changamoto za kimaendeleo inayoikabili nchi yetu kwa muda mrefu sasa hasa katika sekta nzima ya miundombinu na mawasiliano wafanyabiashara wengi Wa forex hapa Tz wamekuwa wakipata wakati mgumu sana linapokuja suala LA broker gani wamtumie, kutokana na bank nyingi sana za hapa Tz kushindwa kutoa huduma nzuri kwa forex traders. Hata hivyo kuna banks chache zinasupport biashara ya forex lakini hazijaenea nchi nzima , 90% zina matawi DSM, Na majiji makubwa makubwa kama mwanza, mbeya na Arusha. Hii inawapa changamoto kubwa sana fx traders Wa mikoani kufanya biashara hii kwa Uhuru zaidi. Wengi wanalazimika kusafiri kitambo kirefu kufwata bank iliko kuweza kufanya mihamala yake ya kipesa.


Sasa basi Templer ni broker Wa UK(Uingereza), wana ofisi hapa Tanzania.
Kifupi ni broker mzuri anaendana na mazingira ya watanzania tulio wengi.

Kwanini nasema ni broker mzuri?
1.Ni rahisi kufungua akaunti na kupata uthibitisho (verification) kwa haraka.
>Ili kufungua akaunti templer unahitaji kuwa na moja kati ya vitambulisho vifuatavyo
*°Kitambulisho cha Taifa*
*°Kitambulisho cha kupigia kura*
*°Leseni ya udereva*
*°Passport ya kusafiria.*
Kumbuka sio vyote, ukiwa nacho kimoja basi mchezo umeisha.
Pia wanahitaji Email yako na Namba yako ya Simu (ni vizuri iwe ya voda). Baada ya masaa 24 unapata real akaunti ukiwa chumbani kwako.

2.Njia Rahisi ya kutuma na kutoa Pesa zako.
>>>Templer wana njia nyingi za kufanya transactions ya hela yako, ila hapa nitaelezea njia yao moja Ya M-Pesa. Kifupi unaweka hela yako na kutoa kwa njia ya M-Pesa muda wowote unapohitaji na ni simple kabisa tena bila makato. Yani ukitoa $100 kutoka kwa broker,kwenye laini yako itaingia $100 kama ilivyo na kuweka tena hivyo hvyo ni bure. Inachukua Maximum Dakika 30 hela yako kuonekana kwenye MT4 akaunti yako baada ya kuweka. Pia inachukua Dakika 30 hadi SAA 1 kuipata hela yako baada ya kutoa.Huhitaji kusafiri au kwenda kupanga foleni Bank mambo yote unamaliza chumbani.

3.Kiwango rafiki cha kuweka na kutoa hela (Minimum deposit and Withdraw)
>Guys brokers wengi wana minimum deposit and withdraw wengine ni $500, wengine ni $200 wengine $100. Sio watanzania wote tunaweza tukaafford viwango walivyotuwekea , lakini Templer minimum deposit ni $1=Tsh 2,240/= kumbukeni $1 unaweza kufungua trade 1 chini ya Big Risk management, kwa wale magwiji Wa fx wanauwezo Wa kukuza $1 hadi kufika $100. (Nimesema magwiji) pia kutoa ni kuanzia $1=Tsh2,240 yani hata hela ya vocha unaitoa bila tatizo lolote.

4.Huduma nzuri kwa wateja.
>>>Templer wanacustomer care nzuri kwa wateja lakini kizuri zaidi kutoka Templer kwa watanzania unahudumiwa na watanzania wenzako sio lazima uwacheki kwa email, unawacheki kwa WhatsApp au kwa kuwapigia live faster unahudumiwa na unatumia lugha yetu ya Taifa Kiswahili.
>>>Pia Guys tukumbuke kupata loss au kuunguza akaunt kwenye forex ni jambo LA kawaida sana, linaweza kusababishwa na vitu vingi sana ili kikubwa ni kutokuzingatia Risk management. Sasa TemplerFx wakati akaunti yako IPO hatarini kuungua wanakutumia ujumbe kwa Email na Text kwa njia ya kawaida kupitia namba yako ya simu kukujilisha akaunti yako iko hatarini kuungua tafadhali nenda kaicheki, Hapo kama ulizima data unaweza kuopen faster na kwenda kuokoa akaunti yako japo kiwango kidogo kuliko kuungua jumla. Hii ni tofauti kwa brokers wengine ukiplace order hafu akaunti ikawa hatarini hupewi notification yoyote , utakapofungua badae unakuta Mt4 inasoma Zero balance. Kati ungepewa taarifa mapema ungeweza kuokoa hela za upande kwa kucut loss.

6.Spreads ndongo.
Kwa kifupi Spreads ni tofauti kati ya bei ya kuuza na kununua, Spreads ni eneo la kwanza ambalo broker anapata faida kupitia trades zako, kila broker ana spreads zake kwa kila pair, spreads kubwa inamaana broker anachukua pakubwa, na spreads ndogo inamaana broker anachukua padogo Kwa kawaida brokers wengi sana huwa wanaongeza spreads muda Wa usiku na muda Wa News, lakini wengine muda wote spreads zao ni kubwa sana haijalishi mchana au usiku hii inaumiza sana kwa trades ambao mitaji yetu ni ya kuungaunga. sasa Templer ni broker mwenye spreads ndogo katika pairs zake hasa muda Wa asubuhi hadi jioni spreads zinacheza kuanzia 3 hadi 12. Usiku zinaongezwa kidogo na muda Wa news. Sio mbaya sana ukilinganisha na brokers wengine ambapo spreads muda Wa asubuh hadi jioni unakuta zinacheza kuanzia 25 hadi 70, hapo ikifika muda Wa news unaweza kukuta spread inacheza 100++,.
 
Maandishi yako yamejaa ahadi za uhongo ni mithili ya mwanaume anaetongoza unajaribu kutaka kuwaaminisha watu tofauti na uhalisia.

Kimsimgi sikuungi mkono na ninatoa tahadhari kwa wanajukwaa kudharau ulichoandika maana kina kila dalili ya ubabaishaji. Maana hujatoa hata mchanganuo ni kwa muda gani itakuchukua!? Utatumia technical analysis za Fibonacci au utatrade fundamental news pekee!? E.t.c ili kufikia lengo lako.

Pia nawahasa newbie usimpe mtu akutredie hata kama ni profession trader Forex ni kama baiskeli ili kujua kuendesha lazma uumie. Siwadanganyi if you have never blown your account then you have never trade. Go into the market let it kill you...ila akili ina tabia moja psychologically ikifanya kitu kwa muda mrefu inaadapt na kuzoea namna nzuri ya kulifanya hilo suala na automatically utakuwa vizuri tu. Umeme ukikatika ukiwa ndani ya nyumba huwezi kukosea kujua kiberiti kilipo humo ndani gizani..maana akili ishaadapt..ndio maana kuna neno mazoezi ina maanisha kukifanya kitu kwa kurudia rudia hadi uweze kukizoea kitu..trade mwenyewe uizoee Market and that's why kuna Demo account Yule dogo millionaire wa South afrika kupitia Forex anaitwa Sandile Shezi akiwa na miaka 18 tu yeye alitrade demo yenye jumla ya dola 400 kwa miezi sita then alipoona amekuwa consistency profitable trader kwa kamtaji kadogo ka dola 400 kukakuza vizuri then akaanza kutrade real account..but akili itarespond automatically na utakuwa consistency profitable trader once ukitrade mwenyewe. Just learn how to manoeuvre in the big ocean alone.

If you want to be strong learn how to fight alone....yes alone!

Good sailer are made in storm oceans
Good driver are made on the rough road.

"Umia ujae"
Huwa nakuelewa saana
 
Menu > Open an account > New account > account type.... Live UniversalFX > Create
teml.JPG

Shukrani mkuu
 
Asante kwa kunielewa mzawa.

Dhumuni letu ni kuwekana sawa na kuruka viunzi vya matapeli maana hii biashara ina matapeli kibao wenye mbinu kibao na sababu ni pesa nyingi inayopatikana in this business.

So stay alert and awaken.
Mpwa mi naomba mtazamo wako tu juu ya huyu broker Templerfx,hilo tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom