Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
ni same thing as ponzi schemes just a different version.
because lazima mtu ajiunge somewhere or na organization flani afungue akaunti na kampuni flani deposit some amount.
or the companies to trade for you and all the bullshit.
kama ni swala la kupata pesa and its not a ponzi sheme kwanini wewe usiwekeze hela zako upate faida then uwekeze tena ndani ya muda basi na wewe uwe kama Bakhresa.
tuone mafanikio yako uliopata kwa hela yako mwenyewe na sio mpk utafute watu wa kuwaunga.
 
ni same thing as ponzi schemes just a different version.
because lazima mtu ajiunge somewhere or na organization flani afungue akaunti na kampuni flani deposit some amount.
or the companies to trade for you and all the bullshit.
kama ni swala la kupata pesa and its not a ponzi sheme kwanini wewe usiwekeze hela zako upate faida then uwekeze tena ndani ya muda basi na wewe uwe kama Bakhresa.
tuone mafanikio yako uliopata kwa hela yako mwenyewe na sio mpk utafute watu wa kuwaunga.
nop sio lazma boss na haiko ivoo mm naezaa trade bilaa kumuita au kumwambiaa mtu yeyotee na nnamake money
 
ni same thing as ponzi schemes just a different version.
because lazima mtu ajiunge somewhere or na organization flani afungue akaunti na kampuni flani deposit some amount.
or the companies to trade for you and all the bullshit.
kama ni swala la kupata pesa and its not a ponzi sheme kwanini wewe usiwekeze hela zako upate faida then uwekeze tena ndani ya muda basi na wewe uwe kama Bakhresa.
tuone mafanikio yako uliopata kwa hela yako mwenyewe na sio mpk utafute watu wa kuwaunga.
Ficha UPUMBAVU wako - Invisible
 
mtajiunga sana vijana na mtaliwa sana na mtapoteza hela nyingi.
sijui kwanini watamzania ni wajinga kiasi hiki ndomana muda mwingine Mh Raisi aongoze nchi hata milele tu maana sio kwa kuendekeza huu ujinga.
Biashara za ku unga unga watu ni za kuibia watu maana ww mjinga unatoa hela kufaidisha wachache ambao wako juu ya chain. ila bado mijitu inang'ang'ania tu.
mtu hata kuwasha na kuzima computer huwezi halafu unajidanganya utaelewa biashara za Fedha.
ni ndoto hizo.
na wewe ni Great Thinker 😀😀😀 Where we dare to talk openly
 
mtajiunga sana vijana na mtaliwa sana na mtapoteza hela nyingi.
sijui kwanini watamzania ni wajinga kiasi hiki ndomana muda mwingine Mh Raisi aongoze nchi hata milele tu maana sio kwa kuendekeza huu ujinga.
Biashara za ku unga unga watu ni za kuibia watu maana ww mjinga unatoa hela kufaidisha wachache ambao wako juu ya chain. ila bado mijitu inang'ang'ania tu.
mtu hata kuwasha na kuzima computer huwezi halafu unajidanganya utaelewa biashara za Fedha.
ni ndoto hizo.
The way you have written kwa msisitizo kwa mtu hasiyejua maana ya foreign exchange market anaweza akadhani umeandika kitu cha msingi sana but ukweli ni kuwa andishi lako limeonesha ni kiasi gani upo kipofu katika mambo ya masoko ya fedha.
Labda niseme hivi binafsi nimefanya degree ya uchumi (BA in Economics) and Msc Finance and Investment (lengo sio kuonesha nimesoma bali ujue kuwa ninapozungumzia forex sio tu kuwa nimeisikia mtaani bt ni sehemu ya specialization yangu). Nimeijua forex for the first time back in 2012 kupitia kupitia profesa wangu aliyekuwa ananifundisha International financial markets. Hapa unajifunza money markets, capital markets and foreign exchange market (forex).
Tulipofika hapo kwenye foreign exchange market, profesa alitoa simu yake mfukoni na kutuambia kuwa, nanukuu, 'Gentlemen, at the end of this lecture you should be able to trade forex and make money light on your very mobile phones' . Kwa kweli sikumuelewa coz nilizoea kuwa trading forex inabid niende bank au beaure de change phyically and buy currencies for resell when their prices gone up.
Lakin alipoanza kutufundisha kwa kutumia cases (kumbuka mfumo wa nje wa elimu huwa wanatumia sana case studies kwenye kufundisha) ndio tulipokuja kusoma cases za watu kama akina Soros waliopiga pesa ndefu kwenye forex lakin pia watu wengi waliowah kuaminiwa na mabank wakapewa pesa za bank watrade na wakala hasara na kufungwa jela.
Naandika yote haya kukusisita kuwa kama kitu haukifahamu vizuri ni vema ukauliza au ukafanya kijiutafiti basi kisicho rasmi sana ukijue kuliko kutumia the so called 'fallacy of generalization'.
Nakubali in the forex trade zipo changamoto just like in any other business but that should not be the reason to say forex ni utapeli. Mwanafunzi yeyote aliyesoma accounts amesoma International finance, sasa sijui wakifika kwenye part ya foreign exchange market huwa wanafundishwa kugumble(kama wengi msemavyo forex ni gambling), jibu ni hapana. Forex ni knowledge watanzania wenzangu, just because you can't do it or many people get loss or wanatapeliwa haina maana kuwa forex ni utapeli.
Ni mawazo yangu tu sio lazima mtu ayakubali but just because you don't agree it doesn't mean they're not real.
 
ni same thing as ponzi schemes just a different version.
because lazima mtu ajiunge somewhere or na organization flani afungue akaunti na kampuni flani deposit some amount.
or the companies to trade for you and all the bullshit.
kama ni swala la kupata pesa and its not a ponzi sheme kwanini wewe usiwekeze hela zako upate faida then uwekeze tena ndani ya muda basi na wewe uwe kama Bakhresa.
tuone mafanikio yako uliopata kwa hela yako mwenyewe na sio mpk utafute watu wa kuwaunga.
Kwa muandiko wako tu unaonekana wewe ni fukara wa Mawazo na fedha njoo tukusaidie fedha uondoe stress
 
Daaaah..huu uzi ni mreefu.. naona nimepitwa na mambo mengi sana..afu na mi natamani sana nijifunze
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom