well said mate....watanzania tuna safar ndefu san elimu kitu muimuThe way you have written kwa msisitizo kwa mtu hasiyejua maana ya foreign exchange market anaweza akadhani umeandika kitu cha msingi sana but ukweli ni kuwa andishi lako limeonesha ni kiasi gani upo kipofu katika mambo ya masoko ya fedha.
Labda niseme hivi binafsi nimefanya degree ya uchumi (BA in Economics) and Msc Finance and Investment (lengo sio kuonesha nimesoma bali ujue kuwa ninapozungumzia forex sio tu kuwa nimeisikia mtaani bt ni sehemu ya specialization yangu). Nimeijua forex for the first time back in 2012 kupitia kupitia profesa wangu aliyekuwa ananifundisha International financial markets. Hapa unajifunza money markets, capital markets and foreign exchange market (forex).
Tulipofika hapo kwenye foreign exchange market, profesa alitoa simu yake mfukoni na kutuambia kuwa, nanukuu, 'Gentlemen, at the end of this lecture you should be able to trade forex and make money light on your very mobile phones' . Kwa kweli sikumuelewa coz nilizoea kuwa trading forex inabid niende bank au beaure de change phyically and buy currencies for resell when their prices gone up.
Lakin alipoanza kutufundisha kwa kutumia cases (kumbuka mfumo wa nje wa elimu huwa wanatumia sana case studies kwenye kufundisha) ndio tulipokuja kusoma cases za watu kama akina Soros waliopiga pesa ndefu kwenye forex lakin pia watu wengi waliowah kuaminiwa na mabank wakapewa pesa za bank watrade na wakala hasara na kufungwa jela.
Naandika yote haya kukusisita kuwa kama kitu haukifahamu vizuri ni vema ukauliza au ukafanya kijiutafiti basi kisicho rasmi sana ukijue kuliko kutumia the so called 'fallacy of generalization'.
Nakubali in the forex trade zipo changamoto just like in any other business but that should not be the reason to say forex ni utapeli. Mwanafunzi yeyote aliyesoma accounts amesoma International finance, sasa sijui wakifika kwenye part ya foreign exchange market huwa wanafundishwa kugumble(kama wengi msemavyo forex ni gambling), jibu ni hapana. Forex ni knowledge watanzania wenzangu, just because you can't do it or many people get loss or wanatapeliwa haina maana kuwa forex ni utapeli.
Ni mawazo yangu tu sio lazima mtu ayakubali but just because you don't agree it doesn't mean they're not real.
mwenye namba ya ipay na templerfx-Tanzania... mpaka sasa hawaja ingiza pesa ktk a/c yangu ili niweze kutrade, toka siku ile ya ijumaa... nime sikitishwa sana... nataka nifanye nao mawasiliano nao ili niweze kujua wana nisaidiaje... au kama hawa wezi basi tuone tuna saidianaje...
check hao watakupatia za ipaymkuu hii ni whatsapp ya templerfx au ipay?
Shukrani
ok nimechek nao wame nipa email ya ipay... nime waemail ipay, nasubiria majibu yao...check hao watakupatia za ipay
Ukiacha "kusambaza risk" kama vile myahudi alivyosema, lot ya 0.01 inakusaidia kufungua positions nyng zaidi.
Mf. Una akaunt ina $30, kutokana na leverage yako, unaweza kushindwa kufungua position 1 ya lot 0.05 (not enough money), lakini unaweza kufungua position 5 za lot 0.01 ambazo jumla yake ni 0.05.
Pia inakusaidia unapokuwa na trade ziko against, ni rahc kutake partial loss kwa kufunga chache na kuacha nyingine, lakini ukiwa na trade moja ya 0.05 ukiifunga manake umetake complete loss.
Chamwisho, ukijilipua unawah zaidi kupata marginal call alert kuliko anayetumia lot size ndogo... Na hyo inamaanisha kuwah zaidi kufikia stop out kama uko na trades zilizo against na order yako.
Sawa boss... Unatrade? Mana me bado newbie, huenda cjajua mambo hayaBoss hapo kwenye maandishi mekundu umetudanganya asee...... Hebu jaribu kufikiria ulichokiandika hapo na upya
Sawa boss... Unatrade? Mana me bado newbie, huenda cjajua mambo haya
Yani ulichokiandika ni tofauti na nlichokiandika... Ila tena hapo mwishoni umeandika kama mimi tena...ndio ninatrade boss... ipo hivi Unapotumia 0.01 kwa 5 trades na mwingine akatumia 0.05 kwa single trade, wote mnakuwa na margin sawa(I have proven it). Kinachodetermine maximum number of trades ambazo unaweza kuopen ni margin level %. na margin level inapokuwa imefika 100%(Equity iko sawa na margin and free margin is 0) ndio point ambayo mtu hawezi kuopen more trades.
Pia lot size ya 0.05 kwa single trade siyo advisable ukicompare na 0.01 kwa 5 trades. Kwa sababu 0.05 kwa single trade ni concentrated risk, once mambo yakienda against you cut a bigger loss tofauti na mwenye 0.01 5 trades anaweza tu kupunguza baadhi ya trades zake... As you said
Yani ulichokiandika ni tofauti na nlichokiandika... Ila tena hapo mwishoni umeandika kama mimi tena...
Hujawahg pata "not enough money" error? Hujawah kujaribu kutrade BTCUSD wikiend na akaunt ya $20?ndo maana hapo mwisho nmemalizia "as you said" ila point yangu ilikuwa yale maandhishi niliyohighlight na rangi nyekundu pale juu
ukishafuata process zote kikamilifu hakikisha namba unayo deposit ndo hiyo hiyo inayotambulika na temper na pale wanapokupa reference namba ya kulipia hakikisha unamalizia Ku click complete alafu ukishapata SMS ya uthibitisho kutoka I pay pigs screenshot alafu watumie templer waharakishe mi ndo ninavyo fanyanashukuru wame nisikiliza na kurejesha kiasi husika... ila bado nataka kudeposit ktk a/c yangu ya templerfx kupitia mpesa... nifanyeje, au kuna mahali nakosea....?
msaada tafadhari...
unataka kutrade BTC hapo in levarage ya 1000 then position 0.02 inatoshaHujawahg pata "not enough money" error? Hujawah kujaribu kutrade BTCUSD wikiend na akaunt ya $20?
Nlikuwa naongelea $30 na position ya lot 0.05. Na ukiwa na standard leverage ya 1:200unataka kutrade BTC hapo in levarage ya 1000 then position 0.02 inatosha
inakataa ongeza levarage walau miatano kama unaogopa bas lot kubwa utaziona kwa wengine ila 0.01 unafungulia kafhaa levarage inapokuwa kubwa unatembea na lot kubwa katika akaunt ndogo but hatarNlikuwa naongelea $30 na position ya lot 0.05. Na ukiwa na standard leverage ya 1:200
Nlikuwa namwambia yule jamaa tofauti ya kutumia lot 0.05 na kufungua position 5 za lot 0.01. Mimi binafsi cpend kutrade BTCUSD, mana inakuwaga na spread kubwa hatariinakataa ongeza levarage walau miatano kama unaogopa bas lot kubwa utaziona kwa wengine ila 0.01 unafungulia kafhaa levarage inapokuwa kubwa unatembea na lot kubwa katika akaunt ndogo but hatar