Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Thanks, nikikwama popote nitasema nipate msaada.
 
Wasalaam,

Ndugu zangu tunaofanya biashara ya forex...hili ni jukwaa letu. Tunapeana market analysis ya pair mbali mbali, news, market updates, views na mambo mengine yanayohusiana na biashara yetu hii. Nimeona watu wa kubet wana uzi wao...basi nasi ni vema tukawa na uchambuzi wa soko letu humu.

Tutashare ishu za traders wakubwa wakubwa na zetu wenyewe. Hapa sio sehemu sahihi ya newbies sababu watu tutakuwa tunashusha nondo tu....tusiulizane pip maana yake nini.

Karibuni.
 
Kwa kuanza hii hapa ni analysis ya GBPJPY D1, inaonesha prive is moving down toward level 139.500. Hii ni kutoka kwa guru FX technician. Imeshabreak TL na direction ndiyo hiyo. Inaweza fanya pullback kisha safari ikaendelea. Patience.
 
Kwa kuanza hii hapa ni analysis ya GBPJPY D1, inaonesha prive is moving down toward level 139.500. Hii ni kutoka kwa guru FX technician. Imeshabreak TL na direction ndiyo hiyo. Inaweza fanya pullback kisha safari ikaendelea. Patience.
Kama ndivyo hivi hii kitu itaniua kwa presha imeshaunguza acc zangu mbili wiki hii moja ipo inapumulia mashine daaah!!! Forex si mchezo
 
Daaah huko telegram kuna vitabu hadi unachanganyikiwa dadeki...kila unachokiona unatamani ndio uanze nacho
Muda wa kusoma vitabu umeisha mkuu, huu ni muda wa kuchagua strategy moja na kuifanyia backtesting mpaka ukiangalia tu chart unajua usell au ubuy au uiache, hata kama umetoka tu usingizini...

Then ndo uitumie kutrade kwa real for profit
 
Muda wa kusoma vitabu umeisha mkuu, huu ni muda wa kuchagua strategy moja na kuifanyia backtesting mpaka ukiangalia tu chart unajua usell au ubuy au uiache, hata kama umetoka tu usingizini...

Then ndo uitumie kutrade kwa real for profit
Aisee kwa hiyo mkuu wewe umeshafika hatua hiyo...kwa hiyo kuna muda maalum wa kusoma vitabu kumbe? Mimi bado naona mawenge mwenzio inabidi nikaze msuli maana ninakoelekea forex inaelekea kunishinda na sitaki kukubali eti 'forex is not for me' napigana mpaka tone la mwisho
 
Kwani ni nini unachokisoma? Na je ni strategy gani umechagua kuitumia kwa kutrade?
 
Nasoma kwa ujumla tu kupanua uelewa, nothing specific.. Strategy sijachagua
Ndo tatizo hlo mkuu. Unasoma bila malengo, na unatrade bila kuchagua staili hasa ya kutrade.

Kama unajua, spread, pip, leverage, bid, ask, support, resistance, demand, supply zones, na mt4, na kuitumia hyo mt4, unajua indicator mbili tatu za mt4 na jinsi ya kuzitafsri, huna haja ya kuendelea kusoma kuzihusu.

Unachagua strategy moja kati ya nyingi umezisoma, na kuamua kutrade kwa staili hyo tu. Na kama unasoma, unakuwa unasoma kuhusu stail yako ya kutrade tu ili kuimaster vizuri.

Forex haina mtihani mkuu... Lakini pia, ukijua mambo mengi utacomplicate sana maisha kiasi ukitaka kutrade utashindwa mana utaona mambo yanapingana...

Hata katika real life,wasomi wengi wanashindwa kuanzisha biashara kuliko wenye elimu za kawaida, kwa sbb wasomi wanakuwaga overcalculative kwa upande wa risk kuliko normal people...
 
Asante kwa ushauri mkuu ila tatizo nikisoma naona kama nimeelewa ila nikija kuapply naona giza...hizo indicator ndio sielewi kabisaa
 
Asante kwa ushauri mkuu ila tatizo nikisoma naona kama nimeelewa ila nikija kuapply naona giza...hizo indicator ndio sielewi kabisaa
Ndio mana hapo nimekwambia fanyia mazoezi hasa...

Hata leseni ya udereva haitolewi kwa kuangalia umesoma vitabu vingapi vya "how to drive a car" bali kwa jinsi utakavyoliendesha!!!

Ingekuwa ukisoma tayari unakuwa unaweza kila kitu, nahisi ningesaka vitabu vya urubani, then niende airport nkaibe ndege!![emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Haha asante mkuu nimekusoma
 
ANZA NA MTAJI WA BURE WA $30 [NO DEPOSIT BONUS] YA TEMPLER.

[TERMS AND CONDITIONS LINKED]

Huenda ushatumia demo lakini uko na tatizo la mtaji... Au wengine, kama mimi, tumeunguza akaunti, jinsi ya kuanza tena ni ngumu, hasa linapokuja suala la mtaji....

Ikumbukwe kwamba, Templer pia atakupa uwezo wa kufund na kuwithdraw pesa zako kupitia Mpesa, kama utachagua kuendelea kumtumia, hata baada ya kupoteza hyo $30.

(Don't Worry, Hautodaiwa kama ukiiunguza)

ANGALIZO:
Bonus hii ni kwa wateja wapya tu, kama ulishakuwa na akaunti ya Templer na ukaiwekea pesa, hautoweza kuipata, labda ufungue akaunt tofauti.


HATUA ZA KUFUATA:
1. Fungua akaunti mpya hapa:

Templer FX | Start with $30 No deposit Bonus

2. Verify email, namba ya simu (ni bora iwe voda, kwa ajili ya kutoa faida na kuendesha akaunti) na utambulisho wako.
Menu > MyTemplerFX> Verifications

3. Nenda MENU > OPEN ACCOUNT > chagua LIVE UNIVERSALFX > ok

4. Nenda Menu > Bonus > chagua akaunti yako ya universalFX, WEKA REDEEM CODE:

NDB30JN42017

Then submit.

5. Utapokea $30 katika akaunti uliyoifungua, mara nyingi within an hour.

6. Kama huna MT4 for Android ,download hapa:

MetaTrader 4 – Applications for Android - Google Play

Start Trading!!
TRADE SAFELY!


Ukihitaji msaada wowote kuhusu kuipata hii bonus, nicheck inbox



Terms And Conditions hapa:

TemplerFX No Deposit Bonus Agreements
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…