Watu wengine bwana... Kwa hiyo uuzaji na ununuaji wa hisa na bond ni kamari?The primary aim ya bureau de change ni kwa ajili ubadilishaji wa pesa za kigeni ambao pesa huwa ni kwa ajili ya matumizi mengine mfano kufacilitate international trade. ukienda kwa lengo la "speculative" ww tayari umeshajiingiza kwenye kamali.
Pesa kamwe haiwezi ikawa bidhaa pesa ni kwa ajili ya medium of exchange. Unazungumzia mimi kuhusu basics za hii betting nimesoma mpaka kukaa kufuatilia mambo mengi tu yanayohusu financial markets siyo hii betting tu mnayofanya.Unakosea, humu bidhaa ni currency moja, na unainunua kwa currency ya pili katika pair.
Inabidi usome basics kwanza za forex ndipo uje, ukiwa na strong facts za kuita forex gambling.
Hzo sheria za FIFO za US kuzuia banks kutrade na pesa za wateja ni kitu cha kawaida... Risk zipo kila mahali, hata wanaofungua magenge ya nyanya hufilisika, ndio maana financial advisers hawashauri ukope uanze biashara, mana kufilisika ni rahc sana...
Sijapata facts kwako kwakweli.
Haijalishi kuwa inafanywa nani kwamba ndio iwe au isiwe gambling bali fore.x haina misingi ya kuitwa biashara na nimekotolea aina mojawapo ya fore.x ambayo ni spread betting . hakuna njia mnaweza tenganisha fore.x na kamali.Swali langu lilikuwa...kama forex ni gambling ilibidi isimamiwe na Gambling. Regulating commisions ambazo zipo na zinatambulika kisheria...sasa hiyo FCA inaregulate gambling brokers and instituions au inaregulate financial speculaters and brokers??...pili...nimeulizia kwa upande wa biashara yenyewe..kama ni kamari je ni sahihi kusema Barclays nao wanacheza kamari...maana hawa nao ni one of big players...au ni kamari tu kwa Retail traders wadogo?(kuzuiwa kwa benki kutumiwa hela za wateja kwenye kutrade bado siamini inaifanya hii iwe kamari...kuna matukio mengi sana ambapo benki zilikuwa zinafanya uzembe kwa kuwaamini watu wao wachache ambapo ilipelekea nyingi kula hasara hadi kufilisika..na hapa ndipo serikali zilipoamua kuweka regulations kwenye trading currencies kwa banks)
Ndio ni kamali.Watu wengine bwana... Kwa hiyo uuzaji na ununuaji wa hisa na bond ni kamari?
Hapa ndio umepiga hela au?Eu may be itazidi kuwa cheap View attachment 758779
ameshakula pesa za wajinga abaki anafanya nini sasa..Ontario katukimbia tmt kweli?