Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kwa wale ambao bado hajaifahamu forex au ambao wameisikia ila bado hawaamini ni njia halali ya kujipatia fedha...

Watanzania wengi hawaifahamu tofauti na wenzetu walioko Nigeria na Southafrica. Wabongo wanaoijua hufaidika kwa siri bila kuwashirikisha ndugu, jamaa na marafiki. Tusiwe wachoyo wa kuonyeshana fursa.

Muda unaopoteza whatsapp, facebook na instagram ungeutumia kujiingizia kipato, ni biashara hali inayofanywa na mabenki yote Duniani na sasa individuals kama wewe wanaweza kushiriki kupitia Broker mfano Templer. https://secure.templerfx.com/login/sign_up/113925

Kwenye simu yako nenda google store download app inaitwa meta-trader 4 (sio 5). Pia unahitaji kua na laptop ingawa si lazima kwa hatua ya mwanzo. Ili kusaidia wasioifahamu tutatoa mafunzo ya mwanzo introduction to forex bure.
(1) Kuelimisha kuhusu forex.
(2) Kuwawezesha kutumia forex
(3) Kufaidika na forex

Kwa wale wazoefu wa forex; tunatoa msaada wa strategy ambayo ni price action and quarter theory for analysis

We are using price action and quarter theory for analysis in the larger time frame and the BTMM method for a good time and position to enter trades (sniper entries).
You will need three templates on your laptop.
1) BTMM template,
2) Quarter theory lines drawn manually or by indicator
3) Price action support and resistance lines drawn on each pair.
*Install TDI indicator on your phone

Bonyeza link kujoin Telegram Channel na Group (Download Telegram kutoka google app. Whatsapp haifai inalimit ya member, Telegram haijai/no limit)

Signature Traders (BTMM)

Signature Traders Tz (BTMM)

Asanteni
 
Mkuu link inagoma kufungua
 
Mkuu siyo kila forex trader anaweza kujifunza na kuimudu naked chart candle sticks na ndio maana walitegeneza na wanaendelea kutengeneza indicators. Na sio kweli kwamba ukitumia indicators huwezi piga hela inategemea na indicator yako na umahili wako katika kuitumia! KWA HIYO WACHA WA NAKED CHARTS WA-TRADE STRATEGY YAO NA WA INDICATORS PIA WA-TRADE HIYO STRATEGY YAO. MI BINAFSI NATUMIA COLLABO YA NAKED NA INDICATOR! KAMA SINA UHAKIKA SANA NA SETUP KWENYE NAKED, INDICATORS INANISAIDIA KU-CONFIRM!
 
Last edited:
Kaka nipo najaribu DEMO ya MT4 ile original ambayo siyo ya specific broker naona haina current news kama ile MT4 ya Instaforex so how naweza ku trade hii DEMO au nikiwa na real account ndo Brokers ataleta hizo analysis??

Forex Beginner.
 
Duh asa wewe unatumia broker gani bro, ambaye ana minimum deposit ndogo??
Sijaanza kuingiza mkwanja kwenye broker yeyote, ila nimeona xmtrader ana minimum 5usd, ila sijajua kuhusu mpesa au tigopesa support, inshort sijajua broker mwingine mwenye mobile pesa support, huyu templer nimemsikia humu tu sijawah kumtumia
 
Mkuuu Mara nyingi sana , vigezo uwe umejisajir na akaunti yako iwe na hela tu
mimi nataka nitumie kadi ya Bank (VISA) ya crdb ila haina jina langu,namaanisha kadi haina jina la cardholder alafu nimeona hicho kigezo je, nifanyeje??
 
mimi nataka nitumie kadi ya Bank (VISA) ya crdb ila haina jina langu,namaanisha kadi haina jina la cardholder alafu nimeona hicho kigezo je, nifanyeje??
Kama unatumia broker gani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…