Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Maximum withdrawal ya cent account ni ngapi, je naweza kutumia mpesa bila bank account
 
mimi nataka nitumie kadi ya Bank (VISA) ya crdb ila haina jina langu,namaanisha kadi haina jina la cardholder alafu nimeona hicho kigezo je, nifanyeje??
Jina halina issue sehemu itakayohitaji jina utaandika tu majina yako. cha muhimu ni hizo namba za kadi na zile TATU za mwisho kule nyuma
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

TemplerFX | Promo
 
we jamaa fala sana
 
Hahaha forex is simple but is not easy

Kusoma candles na kuzielewa ni simple sana.

In real life mambo hayako ivyo.

Itakuhitaji miezi/miaka kadhaa kuzielewa izi vitu ...

Jitaidi sana ..
 
Tatizo likokwenye real application ya hicho unachokisoma

Tatizo liko kwenye entry na exit

Tatizo liko kwenye market timming.

Tatizo liko kwa martket maker

Sio rahisi kihivyo unavyo zungumzia.
Mkuu hapo kwenye entry na exit pamoja na timing daah ...pananipa wakati mgumu sana aise.

ila najitahid soon nitapa master.
 
Mkuu hapo kwenye entry na exit pamoja na timing daah ...pananipa wakati mgumu sana aise
Jiunge na telegramChannel yangu uweze kuona jinsi Timming ya Entry na Exit inavyofanyika.

Fungua App yako ya telegram kisha search neno @DTTfx ,nautaweza kujiunga

Karibu
#DayTradersTz #DTTfx
 
Sawa mkuu ila hapo jangid plaza kuna ofisi ya sirjeff Denis na nnajua ni rafiki yako kwa hiyo utashirikiana nae? ONTARIO
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…