Ila ukweli utabakia pale pale kuwa jamaa anafanya forex, Kupata faida na hasara ni sehemu ya FX.Hii picha ya pili sio yake,
Ndio boss sir jeff ni mfano wa kuigwa na vijana wengi jamaa yuko vizuri sana.Ila ukweli utabakia pale pale kuwa jamaa anafanya forex, Kupata faida na hasara ni sehemu ya FX.
Hapo kwenye bold, umemaliza kila kitu.Ndio boss sir jeff ni mfano wa kuigwa na vijana wengi jamaa yuko vizuri sana.
Kuna baadhi ya brokers sever zilistuck ijumaa probably ndo tatizo.Jmani msaada wenu!! nimefungua demo account nilikuwa natrade vizuri tu lakini kuanzia jana nikitaka kuclose na kuopen trade inagoma pia hata chart haionyeshe price movement kuwa wanaocontrol market ni seller au buyer? nashindwa kujua nifanyeje
weka huo ushahidKwani mimi nimeuliza swali?? nimetoa ufafanuzi kulingana na ushahidi nilionao
Wait until it's too late anyway next month naanza live trading pray for me.
Naanza kupoteza imani na wewe kwa kuweka huo uzushiIla ukweli utabakia pale pale kuwa jamaa anafanya forex, Kupata faida na hasara ni sehemu ya FX.
Haya bro kalia kubeba mabox kama robothuku niliko hakuna too late until you die bingwa, box linanitosha sana hayo mengine ngonjera..
Nakushauri ukae na huyo mfanyakazi mwenzako akueleweshe.habari kuna mfanyakazi mwenzangu anafanya iyo folex ila mie sielewi hata kidogo but nataka kujua na kujaribu . plz nipe mwongozo
Haya bro kalia kubeba mabox kama robot
oky sawaNakushauri ukae na huyo mfanyakazi mwenzako akueleweshe.
Habari?habari kuna mfanyakazi mwenzangu anafanya iyo folex ila mie sielewi hata kidogo but nataka kujua na kujaribu . plz nipe mwongozo
Kuna njia mbili
Kwa android, download this app
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.easy.pivotpoint
then kila new day (asubuhi) itakuonyesha pivots za pair umechagua, then hzo utaenda kuzichora manually kwa simu yako, na kuzirekebisha kila cku kuendana na value ya pivots katika app.
Kama ukitaka kuitumia hii na ukapata shida, usisite kuncheck
Naweza kuanza kutrade na US 5$ nimechoka kufanya DEMO.Kuna njia mbili
-1. Manual na
- 2. Kwa kutumia indicator
Manual
- Chagua pair husika, kisha nakili pivot points na weka mistari yake kwenye charti yako: Forex Pivot Points
Auto
- Download hii indiacator
View attachment 869087
1. Download
2. Extract zip file
3. Copy .ex4 file na liweke hapa: FILE > OPEN DATA FOLDER > MQL4 > INDICATORS ( Paste hapo )
4. Restart MT4 yako, kisha angalia kushoto mwa MT4 ( kwenye Navigator) utaona hiyo indicato.
5. Drag na iangushie kwenye Chart husika
Ndio, kwa micro accountNaweza kuanza kutrade na US 5$ nimechoka kufanya DEMO.
Ila isiwe cent maana cent naona kama ni ku fake flani hivi.Ndio, kwa micro account
Ongeza mtaji, Angalau dola 30. Kwa broker mwenuye ECN account(spread ndogo) atakayekupa leverage 1:500, $30 ni mtaji tosha kabisa kwa Lot size ndogo.Ila isiwe cent maana cent naona kama ni ku fake flani hivi.
Duh 30USD I can't afford to lose that amount for near future maybe 10USD.Ongeza mtaji, Angalau dola 30. Kwa ECN (spread ndogo) atakayekupa leverage 1:500, ni mtaji tosha kabisa kwa Lot size ndogo.