Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Kuongezea ukifunga duka ukiwa na open position unaweza kuwa affected na rollover kwa maana tofauti ya interest rates za currencies kwenye pair. Japo inategemea na position yako rollover inaweza kukupa faida au hasara ila ukiwa kwenye close position rollover haito kuathiri
 
mkuu nilikuelewa ila nilitaka ubadirishe maelezo yako kwa vile hukuwa umetofautisha open position na close pisition..zako zote uliandika close position ila nikaona nikuulize ili wengine watakaopitia humu wasipotoshwe na maelezo ya awali...adhante mkuu...
 

Hiyo ndiyo sifa za mswahili kaka...hata ukiwaambia unawalipia pa kulala na chakula bure ,lazima watalalamika juu ya chakula kinachelewa,au wamepewa kuku wa kizungu badala ya wa kienyeji, au vyumba vina feni badala ya AC, internet uliyowapa bure iko slow......nk nk..ndiyo uswahili wenyewe huo mkuu
 
Nlichanganya mkuu sorry!! Nimesharekesha!!
 
Hapa bosi ndipo ninapofikiri siku zote hizi issue ni mind game tu, hayo mavitabu mengi ni biashara za watu. watu tunatakiwa tujue basics then tutulize akili tuingie mazima, ni kama mchezaji mpira unaelekezwa vitu na kocha vizuri na unaelewa lakini ukiingia kwenye pitch unakuta vitu tofauti na inabidi ujiongeze mwenyewe ili uperform, the same applies to forex. kwenye darasa lako naomba niwepo ili nipate basics muhimu na naahidi sitakuangusha nitakuwa makini kwenye maamuzi.
- la fiesta -
 
Mkuu ONTARIO, hivi hapa si inabidi kwanza uwe na ufahamu wa mambo ya Sport market, forward market, Futures na hedging kwa ujumla? Ujue kutafasiri Base na domestic currency kwa njia zote mbili! Yaani direct na indirect quotes.
Nina idea flani juu ya hii kitu, and i really wanted someone of your kind ili tuweze kufanya kitu....
Binafisi nimevutiwa sana na juhudi zako na uzi wako kwa ujumla.
I know kuna mambo mengi sana apa umeweka kama akiba!
 
Reactions: MC7
Kama unazungumzia waganga sawa mkuu, huko mimi siyo mzoefu nako. Kama mtu anaweza kufundisha Forex Trade bila kuwa na ujuzi wowote hiyo itakuwa kali. Lakini keshafafanua kwamba hafundishi yeye. Haya endelea kulinganisha Forex Trading na uganga!
 

Mkuu sio kwamba analysis yako ulikosea na currency ikawa inashuka badala ya kuwa strong ndio maana inazidi kupungua
 
Nimekuelewa mkuu sasa mtachukua watu randomly au kwa njia ipi i mean hao 300.. Mtz wa kawaida ajiandae na mtaj sh ngapi pesa inaiva kwa muda gani
kaka nimekupata niilikuwa impressed sana alessio rastani wa leadingtraders.com, but nilikuwa nahangaika ntapataje darasa. please am looking forward kwa darasa.
 
hivi ni kwanini traders wengi wanadeal sana na us$/€/¥ , what about currecies like yuan, dinar, rand ukizingatia hizi nchi uchumi wao ni mkubwa pia.
they are the main currencies in forex trading and have the highest liquidity thats why they are preffered...zingine maybe zaweza zikatumika katika cross currencies. .

nakaribisha marekebisho..
 
Umefafanua vizuri lakini na wewe tutakuaminije tuwleweshe vizuri jinsi ya kuingia kwa mtaji kidogo kurisk kidogo sio mbaya maana ni afadhali ufeli kuliko ushindwe kujaribu
 
mkuu nimekupata.
 
Ngoja watu tuendelee kusoma game mdogo mdogo, nimeshaprint na kitabu cha Brian Dolan ili nisome vizuri na leo nimepata simu toka Cyprus ya ku verify account na phone number yangu kwa broker hope ni same broker kama wa ONTARIO

Call Screenshot ya 4 Minutes


Na hii ni picha ya kitabu


Na hii ni demo yangu nayotumia mt4 platform

Karibuni kwenye Upambanaji

Asante
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…