kuchoma account ndo nn?Hahahah mimi nishachoma sana account
Yaani kuhusu stress mie zishaniishaga zamani labda
Tutakutana mbele ya safari, Nipo namalizia chapter ya pili hapa. Vipi mzee kule kwa wazee wenzangu unapatelekeza ama ngoma ni mwendo wa parallel execution. Nipo namalizia chapter ya pili hapa
May be I miss some of the things, let me get the book and demo. How can I start? Sorry for the inconvenience.
When the deal is too good,think twice,jamaa hajakosea kwani ingawa Ontario anaweza kuwa Na nia nzuri,ila kuna people hapa wanaota kuokota almasi kwenye lami,yani hawajafikiria lolote kuhusu loss.We jamaa bana duuh!! Mihemko kama ya yule jamaa aliyeparamia mchanga wa watu akisaka front peji ya gazeti??
Kwa kifupi huu uzi umekuuma sana!! Yani unataman kuona wenzako wanafeli!!
Hii kitu itakupa pressure usipo kuwa makini sasa wabongo wanataka faida tu..When the deal is too good,think twice,jamaa hajakosea kwani ingawa Ontario anaweza kuwa Na nia nzuri,ila kuna people hapa wanaota kuokota almasi kwenye lami,yani hawajafikiria lolote kuhusu loss.
Boss kama hata kuandika notice imekushinda je utaweza kumwelekeza newbie jinsi ya kutumia Ichimoku au Avramis River, soko likiwa kwenye range? je utaweza kumconvince newbie awe na clean charts kuliko kutumia moving averages wakati soko lipo kwenye trend?!
Kuchoma account inaeleweka vizuri utakapoanza kutrade live, lakini nijuavyo mimi ni ile hali ya mtu let say account ya kutrade umeweka $6000 kwa ajili ya kutrade halafu biashara inakuendea vibaya hadi account inafikia $0 badala ya kugain unaloose tena ndani ya kipindi kifupi.kuchoma account ndo nn?
Tutakutana mbele ya safari, Nipo namalizia chapter ya pili hapa. Vipi mzee kule kwa wazee wenzangu unapatelekeza ama ngoma ni mwendo wa parallel execution.
Mwendo wa parallel mkuu, Aisee tumepoteana sana mkuu. Cku hizi nagonga sana inplays ndo maana sionekani huko.
Aisee lazima tupambane kwa kila namna
Mkuu Nina kaswali kamoja kamekuwa kana nitatiza kidogo naamini ni wakati muafaka kuuliza
Mimi Nina background ya computer science lakini ni auditor sasa nimekuwa najiuliza hizi application za trading zina milikiwa na brokers yaani wao ndio walio develop halafu pia wakati huohuo wanapata commission kutoka kwetu. Hii inanipa maswali hakuna uwezekano jamaa wakacheza na codes wakati wa development in their favor? Yani waka manipulate the app to work in their favor in calculating P&L
Kutokana na hii concern napata swali lingine kwamba ni taasisi gani inayo regulate au control hawa broker? Kuhakikisha Jamaa wanakuwa fair and committed to their agreement with a trader ili Kama trader upate amani
Mfano taasisi ikiwa ISO (international Standard Organization) certified ukiwa kama mshika dau wa industry husika unakuwa na amani kuwa hiyo taasisi ina aminika.
Same to me aisee, preplays fund injection zimekuwa na ngebe sana sikuhizi. Nimejikita zaidi katika singles mambo lainilaini.
Ngoja tucheki na upepo wa huku unavyovuma.
Mbona amesema amepoteza dola 8000 - 10,000Sawa, hongera zao kwa kuwa na roho "nzuri".
Vipi kuhusu ONTARIO, naona ndiyo kwanza mchanga kwenye hii biashara, maana ni juzi tu alikuwa anakodisha trekta, amepata wapi uzoefu, na kwanini aanze kufundisha na siyo kutrade ili amake pesa kwanza, maana mwenzake Sandile ameshamake sana! Na kwanini hamzungumzii kabisa suala la risk katika biashara hii?
1. Trading platforms hazimilikiwi na Brokerage company, mfano Meta Trader 4 au 5 inamilikiwa na metaquote software Inc. kampuni ya computer software na si trading. So brokers wote wanatumia platform hiyo kwa clients wao kutrade.