boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Jamaa una matatizo aisee.kwa hiyo wewe kipimo chako cha utajiri ni mpaka uhojiwe na forbes? ......forbes ni fraud tu utashangaa wanamsifia sana MO kupita Bahresa jiulize why
Huku mkiongezeka mimi nafikiria kupunguza hadi 30.
Nitashukur nikipata hyo nafas mkuuHuku mkiongezeka mimi nafikiria kupunguza hadi 30.
Huku mkiongezeka mimi nafikiria kupunguza hadi 30.
Mkuu utatumia vigezo gani kuteua? Maana dah nachungulia huu uzi sana kwa matumainiHuku mkiongezeka mimi nafikiria kupunguza hadi 30.
walai lazima tukae siti mojaHilo darasa amesema anaanza lini? Na mm sitaki kukrupuka ngoja nisubr darasa huku napitia vitabu
Huku mkiongezeka mimi nafikiria kupunguza hadi 30.
Tunapoongelea JF ni kwa ma Great Thinker ni mfano wa vitu kama hivi. Jamaa atasaidia sana wabongoThis is what we call JF
Post yako ni ya 1500 na uchafu... Unategemea hamjafika tu 300 ? [emoji16][emoji16]Ivi hatujafika 500 kweli...maana...hahahah