Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
sio kwamba nimemaliza mkuu..kila mtu ana staili yake ya kuelewa mambo..kama ulisoma somo la kemia au physics/biology kuna ile sehem ya practicals..hizi practicals zilikuwa part ya learning process..kifupi kwa uelewa wangu,demo account ni ya kukusaidia kupata uzoefu katika process ya trading..hivyo kila mtu ataitumia hiyo demo account kwa njia atakayoelewa na kuona ni sahihi...

Aisee mbona naona kama PCM/Science guys mmeeuchangamkia sana huu uzu kuliko watu wengine.? Au ni macho yangu tuu ndo yanaona hivyo.?
 
unaweza kuonyesha verified reports za positions you opened/fungua.. without this it will be another aspiring trader in euphoria; many new traders live in a bubble and they go around talking lies.

Huyu Sandile Sizwe ni muigizaji - he is a fraud; have you ever seen FORBES interviewing him or list him as new trader/investor millionaire? ask yourself why -

Kwa mtazamo wangu mkuu nadhani swala la msingi ni kwamba je kuna watu ambao wamefanikiwa kwenye FX?

Hao ambao wamekuwa mentioned kwenye FORBES verified reports zao huwa zinaonyeshwa huko Forbes?

If the answer is yes to all the questions then people are good to go and try regardless Sandile ni muigizaji or not
 
imenibidi niingie torrents kudownload vitabu kuhusu hii kitu!!!, somehow katika biashara za mtandao hii imenivutia kidogo ngoja nianze kuvisoma
 
Hii kitu imekuwa ikijirudiarudia kwenye mizunguko yangu so I guess ni time kurisk some money.
Nilisha fuatilia youtube na internet in general swali limekuwa moja tu is it real deal au another DECI!!!?
Potelea mbali am ready for it.
Mkuu natumai niko kwenye 300
 
Mwaka 2014 kuna jamaa kutoka kenya alinitonya kuhusu hii kitu akinitaka nijumuike nae tupige hela lakin nikapuuzia baada ya kuona anastoly nyingi, kumbe nilikuwa napoteza fursa hivyo. Baadae nilikuja kupoteza mawasiliano nae, ila kwa sasa naskia ni tajir balaa huko kenya anapiga mpunga ile mbaya. Sasa sitak kupoteza tena hii fursa, Mkuu kwenye hao 300 hebu fanya kama ustarabu niwemo.
 
unaweza kuonyesha verified reports za positions you opened/fungua.. without this it will be another aspiring trader in euphoria; many new traders live in a bubble and they go around talking lies.

Huyu Sandile Sizwe ni muigizaji - he is a fraud; have you ever seen FORBES interviewing him or list him as new trader/investor millionaire? ask yourself why -
kwa hiyo wewe kipimo chako cha utajiri ni mpaka uhojiwe na forbes? ......forbes ni fraud tu utashangaa wanamsifia sana MO kupita Bahresa jiulize why
 
Waaaoh am so happy jamani kuona vijana wa Kitanzania now mnaamka aisee saafi saana saaana. Ontario hebu na mimi niweke humo ndani ya hao majamaa japo nitakuwa senior kwenu sio mbaya nitawasaidia vitu vichache vichache kidogoo hasaa upande wa arbitration ili mpunguze ka risk kidogoo. hii makitu kwa kweeeli imenisaidia saaana kupata mtaji wa kilimo changu cha vitunguu saum, kausafirii, vinyumba nk. Mimi niliianza mwaka 2012 maana ilikuwa ni sehem ya kozi yangu niliyoisoma nilipokuwa chuo wenzetu nje hawapati shida hata kidogoo sema sisi huku bongo loooh taabu tupu. pia kwa upande wa bank tumien standard charted wako vizur yaani siku moja tu mpunga waako unaupata.
 
Waaaoh am so happy jamani kuona vijana wa Kitanzania now mnaamka aisee saafi saana saaana. Ontario hebu na mimi niweke humo ndani ya hao majamaa japo nitakuwa senior kwenu sio mbaya nitawasaidia vitu vichache vichache kidogoo hasaa upande wa arbitration ili mpunguze ka risk kidogoo. hii makitu kwa kweeeli imenisaidia saaana kupata mtaji wa kilimo changu cha vitunguu saum, kausafirii, vinyumba nk. Mimi niliianza mwaka 2012 maana ilikuwa ni sehem ya kozi yangu niliyoisoma nilipokuwa chuo wenzetu nje hawapati shida hata kidogoo sema sisi huku bongo loooh taabu tupu. pia kwa upande wa bank tumien standard charted wako vizur yaani siku moja tu mpunga waako unaupata.
Okay
 
Waaaoh am so happy jamani kuona vijana wa Kitanzania now mnaamka aisee saafi saana saaana. Ontario hebu na mimi niweke humo ndani ya hao majamaa japo nitakuwa senior kwenu sio mbaya nitawasaidia vitu vichache vichache kidogoo hasaa upande wa arbitration ili mpunguze ka risk kidogoo. hii makitu kwa kweeeli imenisaidia saaana kupata mtaji wa kilimo changu cha vitunguu saum, kausafirii, vinyumba nk. Mimi niliianza mwaka 2012 maana ilikuwa ni sehem ya kozi yangu niliyoisoma nilipokuwa chuo wenzetu nje hawapati shida hata kidogoo sema sisi huku bongo loooh taabu tupu. pia kwa upande wa bank tumien standard charted wako vizur yaani siku moja tu mpunga waako unaupata.

Down to earth comment.
Sio mtu anakuja hapa anatisha watu, oh sijui jiandae kuteketeza $2000. Hivi mpk mtu anapoteza hiyo na amezungukwa na mentors zaidi ya wa5 si anakua kajitakia.

Boss! FNB wako vizuri sana, hasa ukizingatia ndio wanatafuta kupenya kwenye soko la TZ so huduma zao ziko very loyal to customers ili kuattract new clients.

Soon baada ya phase kama 5 hivi nitafikiria kuexpact operations. Kama tutahitaji msaada wako tutakutafuta kiongozi. We must push hii kitu aisee. Kama utakua Bongo siku tunaanza classes, I'd wish to invite you utupe ushauri kiasi gani tunaweza kuimprove hii kitu kwa manufaa mapana ya hii programme.
 
Waaaoh am so happy jamani kuona vijana wa Kitanzania now mnaamka aisee saafi saana saaana. Ontario hebu na mimi niweke humo ndani ya hao majamaa japo nitakuwa senior kwenu sio mbaya nitawasaidia vitu vichache vichache kidogoo hasaa upande wa arbitration ili mpunguze ka risk kidogoo. hii makitu kwa kweeeli imenisaidia saaana kupata mtaji wa kilimo changu cha vitunguu saum, kausafirii, vinyumba nk. Mimi niliianza mwaka 2012 maana ilikuwa ni sehem ya kozi yangu niliyoisoma nilipokuwa chuo wenzetu nje hawapati shida hata kidogoo sema sisi huku bongo loooh taabu tupu. pia kwa upande wa bank tumien standard charted wako vizur yaani siku moja tu mpunga waako unaupata.
Nikiona shuhuda kama hizi napata nguvu ya kuendelea kujifunza hii kitu.. Kudos mkuu
 
Umenikumbusha mbali mkuu. Mimi nilianza hizi harakati mwaka 2009 nikakutana mpaka na mambo ya HYIPs (High Yield Programs) yalinivuruga. Nikaamua kuachana nayo. Kuna wakati nilipata hela na scammers nao wakawa wana-intervene nikaamua kuacha.
HYIPs zote ni scam, that's no doubt. Huwezi invest pesa afu umekaa nyumbani mwisho wa mwezi unapewa asilimia 30. Pesa ya investors wapya ndio inawalipa wale wa zamani, siku wakikosekana wapya wengine ndio mwisho wa mchezo. Kuna 1 imeingia kwa kasi hapa Bongo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom