iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 289
Sitaki kuandika sana, yani tangu huu uzi unaanza weekend naandika tu. Muda ambao wewe unatumia kukimbizana maofisini mwisho wa mwezi unapata mil 1, mimi nipo na kisimu changu napata hiyo pesa na zaidi ndani ya masaa mawili tu.
Boss sijasema nataka kutengeneza millionaires ama billionaires but the plan is kuwafanya watu wawe financially independent sio mtu mzima ana devu za bure. Leo kijana akifunguka kimawazo forex ikaanza kumtengenezea $40 kwa siku kwa kutumia $300 trust me huyu mtu heshima yake kwenye jamii itaBoom mara 10.
Pia sitaki nikuoneshe nani ni milionea kupitia fx.
I think you want to become a "business affiliate consultant" by training people and ask them to open live accounts at the broker of your choice and get $250 referral bonus
these screenshots can never be used as proof of legitimate trades/and this is probably a demo account - and if you trade on "mobile phone", it becomes more dodgy because we cant verify your accounts, you want to help people but if they cant raise enough capital its a BIG trap they will end up in more poverty;
there are different types of accounts deposit:
1. US$100,000 is regarded as standard account -
2. many people can afford US$10,000 which is micro account - and you can do alright-ish with extra rigid risk man.
3. but where you recruiting (in TZ) even depositing US$1,000 is a tall order -