Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Enough is enough, Ebwana moderators kwa niaba ya wadau wa hii thread na wale wenye mapenzi na hii thread naomba huyu jamaa anayeitwa mberoya mumpumzishe hata mwezi mzima. Kwani amekuwa kero sana katika hii thread yetu. Anapoteza lengo la thread, anakwaza watu pasipo sababu za msingi na kumislead topic. Tumejaribu kumuelewesha kistaarabu lakini hasikii, kilichobaki tunaomba mfanye kazi yenu.

CC: paw, cookie, invisible, robot, moderator 1 na moderator yeyote yule aliye zamu katika muda huu
Lazima ukubali challenge siyo kulilia moderator. Sijatukana mtu hapa! Kwani unachoficha nini mpaka unataka nifungiwe. Hapa kweli tupu, niombeeeni msema kweli na muwazi.
 
kuna jamaa humu anatuattack by the way don't allow anyone to judge you by his or her measurement, the only person to judge you is yourself and your GOD, nilimusikiliza sherpherd Bushiri wa SA akifundisha waumini wake, how to be Rich within two months and he said invest in forex trading, na ana kitabu kinaitwa MAKE MILLIONS IN FOREX TRADING, so how comes mtu kama hyu ambaye hajui destination yake katka maisha atusumbue, let us kill him by making it happens, WE ARE NOT HERE TO FEAR THE FUTURE, WE ARE HERE TO SHAPE IT.
 
Jehanamu is coming for you..critical time hard to deal with. By then brokers will not want to know you...they woud be disappeared![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wala usihofu ndugu yangu!! Infact nimeona post zako, nimependa challenges unazotoa! Ila mi nadhani kuliko kukomalia "jehanam" its better tukaona mwisho unakuaje!! Maana si mimi wala wewe anayejua kesho ikoje!!

Kwangu challenge zako ni za muhimu sana bila kujali kwamba ni negative challenges!! We unaamini tunaenda jehanam hicho ndicho uaminicho na binafsi sitaki wala siwezi kukubadilisha mkuu!!

Sio vizuri kulazimishana kuamini ambacho hutaki kuamini!!

Lazima ifike mahali kila mtu aamini anachoamini!!

Mwisho wa siku tutaona kwa macho yetu ni nani aliamini kitu sahihi!!

Tuko pamoja mkuu!!
 
Kaka Lody, this is a down to earth feedback, so emotional. Such an inspiration. Hivi unadhani mimi najisikiaje, kushare knowledge na watanzania wenzangu, kisha iyo knowledge inakua life changer?? Just kwa vitabu nilivyoshare na motivation imekufanya uweze kutengeneza elfu 60 in few hours, tuseme tu ukweli watu, ni wangapi wamenunua Toyota Carry kwa mil 10 na kwa siku hawapati nusu ya hiyo 60,000?? Fikiria kama ukija class na kupata knowledge zaidi. I just love the results bro... Hongera sana BOSS Let's make this journey real, tuwaaibishe wachawi.

Trust me huwezi kupata watu wenye moyo kama wa Bavaria, it's just tooooooo expensive. Nakwambia ukweli, watu wa kwanza kukuvunja moyo ni forex traders wakongwe wenye roho mbaya. Hata kwenye huu uzi kuna forex traders wamechukia sana. I know what I am saying. Personally nimesumbuliwa sana na traders ambao ninawaheshimu sana - mtu ananiuliza Sasa Jeff umefanya Upvmbavu gani kutangaza forex?. Mimi nasema usivunjike moyo boss.

Tutafika, the journey might be tough lkn tutafika tu. Sasa ona hii screen shot. (Huyu ni mmoja ya wanafunzi wa mentor wangu, ambae huyu mentor (south African) amekubali kuja Bongo kwajili ya kunisupport so atakua ktk team. Hongera tena boss.
5ccb2323f3d0b4296415b74145442593.jpg

Mtu anapiga 310,000 kutumia 280,000 tena ndani ya masaa kadhaa tu.

=============================

Ungeniuliza kuhusu broker ninayemtumia mimi, ukifanya deposit yoyote unapata bonus ya 25% ya pesa uliyoweka.
Mkuu sio kwa mzuka huu unaotupa.. Naenjoy kua mmoja wa utakao watapale kama asemavyo bwege mmoja hivi.. Kaka hata kama hatutapata nafasi ya kuja wote kwenye darasa.. Tupo tulioamua kuthubutu .. Kwa hihi knowledge ndogo tuliyoipata huku.. Tunaomba mwongozo wakufungua live ac jinsi yakuweka pesa nakutoa.. Hasara tuachie kwanza mpaka akili zikae sawa..
 
Nimesoma haraka haraka lkn nilipoona umesema umeongea na FNB Bank nimepata mashaka makubwa Sana.
FNB bank ni Kati ya bank mbaya kabisa kwa deal za pesa na sasa hivi iko chini ya uangalizi maalum wa BOT.
 
Hahahhaaaaa ...nimecheka sana hapo wakongwe wa forex walivyomwambia ONTARIO sasa Jeff upumbavu gani umefanya kutangaza forex sijui...hii kitu kweli mm ni mgeni Kabisa ila kwa nilivojisomea kwa kiasi...hii sio Biashara ya nyanya kuwa watu wengi wakijihusisha nayo nyanya zitajaa sokoni na kukosa bei...naomba niwaambie wakuda wote....hii inaitwa forex trade babe...na ndo tumeshastuliwa ishu sasa...na nyuma haturudi kamwe.....na muda si mrefu tutaride MaBMW..... tena mweusi tiiiiiiiiiiiiiiii....wakuda wakitaka kuziona waje nje ya the proposed forex lounge Bavaria ..watazikuta nyingi tu...ila sasa hawataweza kuingia lounge...mlango electronic.... P/W ni sura ya member/trader....mwishowe watatuletea polisi ila kwa vile shughuli Zetu zitakuwa zinaendeshwa kihalali watagonga mwamba..


HATERS nendeni mkajinyonge ili msishuhudie haya yanayokaribia kujiri hapa Tanzania..
Hahahaha mkuu aina yako ya uandishi imenifuraisha sana. Kama vile nakuona na BMW yako nyiusi unaingia lounge . Wish tutakua pamoja kwenye lounge..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bavaria
 
Wala usihofu ndugu yangu!! Infact nimeona post zako, nimependa challenges unazotoa! Ila mi nadhani kuliko kukomalia "jehanam" its better tukaona mwisho unakuaje!! Maana si mimi wala wewe anayejua kesho ikoje!!

Kwangu challenge zako ni za muhimu sana bila kujali kwamba ni negative challenges!! We unaamini tunaenda jehanam hicho ndicho uaminicho na binafsi sitaki wala siwezi kukubadilisha mkuu!!

Sio vizuri kulazimishana kuamini ambacho hutaki kuamini!!

Lazima ifike mahali kila mtu aamini anachoamini!!

Mwisho wa siku tutaona kwa macho yetu ni nani aliamini kitu sahihi!!

Tuko pamoja mkuu!!
Nimekuheshimu kwa kiwango cha juu, ni majibu ya mtu anayejitambua na aliyejaa hekima...
 
My Analysis kwenye Gold expected price next week. Kwa msaada wa price action na top down analysis.

1. Nilichukua candlestick chart ya gold ya week kama inavyoonekana hapo chini.
2. Kutoka katika hii weekly time frame, nikagundua kwamba kuna bullish uptrend. Hivyo nikachora uptrend kama inavyoonekana.
3. Kisha nikagundua kuna divergence in price katika candles mbili za mwishoni, kwa maana kwa msaada wa stochastic oscillator utaona kwamba hizo dashed trend lines kuelekea chini zinakinzana na oscillator indication.
4. Pia kwa msaada wa concept ya ontario, Nikachora resistance level ( Hii resistance level inaonekana vizuri katika daily chart) Ila tukiwa hapa katika weekly chart na tukatumia same daily resistance line, utaona kwamba mwaka jana 2016 kulikuwa na breach katika hiyo resistance level

View attachment 529803

Weekly gold chart



Nilipomaliza kwa upande wa weekly, Kama top down analysis inavyotaka, nikaenda katika daily chart kama inavyoonekana hapa chini. Hapa napo nikaibuka na haya.

1. Iliniwezesha kupata resistance level ambayo nimeichora. na hii resistance level inahold sifa zote za kuwa resistance kama vile kuwa resistance/support in previous times/years na Kuna major bull breaches in past
2. Uptrend bado inaonekana vizuri na inahold true
3. Divergence line nilizozichora katika weekly chart bado hapa zinahold true ingawa hapa unatakiwa uwe na jicho kali kuona hiyo divergence as the difference is very small.

View attachment 529805


CONCLUSSION

Kutokana na analysis hizo hapo juu, Na kuzingatia price ya gold mwezi wa sita mwaka jana ilivyobreach resistance level (kitu ambacho inaonekana hata mawaka huu itabreach same resistance level) Nimefikia conclussion kwamba Next week tutegemee Bullish price move ya Gold. So kama wiki ijayo ningekuwa mnunuzi, ningenunua Gold kwa kutegemea bei yake itapanda.

Sijui kama nimeanalyse sawa ama nimekosea. Masahihisho please if any.

CC: Bavaria, Ontario.

Mkuu nisamehe, nilikuwa mbali na PC na comment yako niliiona kwa kutumia simu na sikuiona vizuri..

Back to the topic,

You are improving exceptionally, i can't say or add anything more that what you have just said in your amazing analysis.

I see the last Impulse and the last correction, after hitting the upper resistance, it may proceed or trace back and break the support.

You are in a good track.
 
Nimekuheshimu kwa kiwango cha juu, ni majibu ya mtu anayejitambua na aliyejaa hekima...
Nashukuru sana!

Nimekumbuka kipindi flani rais wa philipins alikua unatusi live kabisa obama, rais wa n.korea naye alikua ana mshambulia obama!! Hata hapa kwetu kikwete alikua anatukanwa sana tu!!

Ila unadhan obama alishindwa kutuma majasusi wawa sambaratishe hao marais wa philipins na korea?? Jibu ni big NO!! Unadhan jk alishindwa waangamiza wanao mtusi?? Nop hakushindwa!!

Watu kama hao wapo! Na sio busara kuwalaumu maana sometimes binadamu tuna matatizo mengi sana!! Na mtu kama huyo wala usimlaumu, offcourse unaweza ukamu-attack ila jua utakua unamwaga mafuta kwenye moto na kupoteza muda!!

Sometimes unatulia na unampisha apite ili maisha yaendelee!!

Pamoja sana mkuu!!
 
Isije ikawa wamemfungia kweli huyu jamaa...
Ila nimemsifu ana moyo kweli kweli

Nilivyomsoma maandishi yakenimegundua,
1. kuna mambo ambayo dini yake imemuaminisha so hawezi kuwaza chochote zaidi ya hapo

2. Amekulia mazingira ya ugomvi tangu utotoni, either wazazi wake, au ndugu aliokaa nao au hata majirani au mtaani alipokuwa anaishi

3. Stress za kutokufanikiwa zinazopelekea wivu kwa watu wanaelekea kufanikiwa, au

4. Roho tu mbaya wanaitaga roho ya korosho...na mtu wa hivi ni either apate deliverance, au akae mazingira ya watu wastaarabu ili ajifunze na kubadilika taratibu..

Mtu mwenye nia nzuri, alitakiwa tu aandike mara moja kwa kuelezea kwanini hashauri watu kuingia katika hii business with fact, then aachie watu wachague wenyewe kula au kuliwa period..

Lakini kwa kitendo cha kujibizanana kila mtu tena kimpasho...ni agenti kutoka kuzimu tu ndo ana uwezo huo

Mberoya Mungu akusaidie kufungua macho yako ya rohoni ili uweze kujua shida yako iko wapi

Glory to yhwh
 
My story so far (Part 2!)

Baada ya kuunguza account mara mbili huu ndio mrejesho wangu...

Awali ya yote, niseme asante kwa wote mlionitia moyo kwa yaliyonitokea!! Nilipounguza account nilileta uzi hapa kushare nanyi yaliyonikuta(post namba 3357) pitia hii link...
FOREX: Biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo hakuna benki itataka uijue!

Mara ya kwanza niliunguza kwa uzembe wangu sikujifunza nikafungua ingine nika trade bado nikachezea za kichwa!! mara ya pili ndio akili ikastuck na kukaa sawa nikaona isiwe shida nikae chini niandike makosa yangu yanayofanya kila siku naunguza account!!!

Niliyaandika na kufanyia kazi moja baada ya lingine!!! Na nna mshukuru Mungu baada ya kuunguza account, nilipokuja kupost mrejesho humu nikakutana na hiki kitabu cha hawa jamaa wanajiita astrofx!

Hili ndio somo nililojifunza...kutoka astrofx book!!

View attachment 529798

Hapa niliona mengi na mengi nilijifunza kwenye kitabu cha astro fx ambacho kipo humu!! makosa yangu ilikua ni kutumia leverage kubwa(500:1) na ku open positions nyingi zenye volume kubwa na zinazorun in loss kitu ambacho kilipelekea Margin, free margin, na margin level zote kushuka na mwisho wa siku nikawa nime tia moto account, asikwambie mtu...iliniuma balaa!!!

Sasa baada ya kugundua makosa yangu nikaanza tafakari wapi nitapata pesa baada ya kuunguza account! kumbuka mda huo nimshachezea za kichwa na pesa sina!! Baada ya kuwaza mda mrefu nikakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza chuo nilinunuaga hisa za benk flani, basi bila hiyana nikafunua kabati kutafuta cheti changu cha hisa, nikaziuza!!

Baada ya kuuza nikatenga dola 100 kwa ajili ya ku-trade!!

This time nimekua makini kwenye positon sizes(nyingi zinachezea 0.01 mpaka 0.03) na leverage(1:100)!!

Sasa kwa siku moja i mean masaa 24, nimeweza kupata faida hiyo apoo kama unavoiona kwenye picha, ina weza ikawa sio kubwa ila am still grateful guys!!!

View attachment 529801

So kwa masaa 24 nimeweza kupata dola 26.02! ambayo ni sawa na 26.02*2250tsh = 58,545 Tsh!! hii ni ndani ya masaa 24!!

Lengo langu la kwanza lilikua kupata walau dola 15 per day nashukuru Mungu nimevuka lengo!!

Pia kama unafwatilia kuna habari ilitokea jana mida saa sita mpaka saa tisa huko Canada, hii ilipelekea dola ya canada kushuka ghafla, hahaha hapa paliniwezesha kupiga faida kwa kweli!!

Ushauri!!

Kuna huyu chalii wa sauzi anaitwa shezi kama sijakosea jina, katika moja ya video zake anadai kwamba "Don't wait, start, make mistakes and learn, dont wait to be perfect as you will never start if u want to be perfect" ... "most of people believe you gotta be perfect before you start, and if that is you're goal then you will never start" hayo ni maneno yake...

Nikiwa chuo mwaka wa kwanza tu nakumbuka tulipelekwa kwenda kufanya field practicals, kumbuka by that time hatukua mainjinia kamili lakini tulipewa mitambo kuiendesha na kupewa majukumu ya mainjinia bila kujali kwamba tulikua mwaka wa kwanza! My point is, practical ni muhimu, na kama alivyosema shezi dont wait to be perfect ndio uanze!! otherwise hata chuoni tusingepelekwa field kupewa majukumu ya wahandisi wakati sisi tulikuwa mwaka wa kwanza na hatukuhitimu mafunzo ya uhandisi!!

So to all those who we started together, take courage and start doing something, start small and make them mistakes!! dont wait to be perfect ndio uanze!! life is full of risks so even of you won't start then that's another risk!!!

Guys this thing is real! you can make loss or profits within very short period of time! but there's no way you can make it kama huwezi controll hisia zako (psychology) hasa unapopata loss, kusoma/kujifunza ni muhimu na haikwepeki, kufwatilia matukio yanayotokea huko majuu ni muhimu pia!!

Bottomline, In any business, Loss haikwepeki na hata ukiangalia kwenye screen shot kuna ka-loss(-0.24)! kuna saa utapata faida pia kunasaa utachoma account, dont give up that's the essence of business homie!! Na utapounguza account, usijilaumu wala kuumia maana japo umepoteza pesa ila umepata experience(Haya maneno ya ONTARIO)!!! Please do not invest money which you're not willing to lose!!!

Kama ilivyo mbegu iliyo jangwani ikingoja mvua inyeshe ili iote, nasi basi tusikate tamaa katika kuomba Mungu na kufanya kazi na kujifunza mapya kila siku, ili tuendelee kupambana na huyu adui anayejiita UMASKINI!!

Anyways, its weekend, na leo hamna market, acha niendelee kuweka mikakati na kujifunza kwa ajili ya soko jipya!!

One love, One God, One life...tuko pamoja wakuu!!

Wako katika kujifunza,

Lodrick Thomas (Eng.)

Good start.

Unanikumbusha mara ya kwanza naanza forex, nilikuwa sijui demo ni nini, wala stop loss inafananaje.

Nilianza na dola 150 ndo ikawa naifanyia majaribio..

Ile hela nili-blow baada ya kufanya kama trade 300 hivi..

Ila sikujutia. Nilijifunza mengi mno.

Tangu hapo nimekuwa nablow account hadi nikaachana na trading.

Nimeanza mwaka huu january baada ya kusoma serious ..

So far, it's a good start.
 
EUR/USD next week projections.

Naendelea kula tizi za kuchora trend lines hapa. Na hapa nimemaliza kuanalyse na hiki ndo nilichokiona.

View attachment 530016
EUR/USD Monthly

Nilichoweka hapo juu ni Monthly candlestic chart ya EUR/USD

1. Nimegundua hii pair ilishuka toka mwaka 2014 mwishoni, na toka kipindi hicho haijapanda tena thamani.hata hivi sasa. Nilijaribu kuchambua zaidi sababu iliyofanya Euro ishuke thamani dhidi ya dola nikakutana na sababu kama Greece fear, imposing of new ECB laws nk. Kitu ambacho sidhani kama kimebadilika hata sasa ukizingatia hata sasa kuna Brexit around the corner
3 reasons the euro is plunging

Nikatoka hapo nikachambua Weekly chart.

View attachment 530022
EUR/USD Weekly

Katika weekly chart so far nimeweza come up with two trend lines ambazo ni bullish. ambapo somewhere kwa nyakati tofauti zinaenda kukutana na resistance line ambayo imekuwepo toka mwishoni mwa 2014.

Basing on this, natarajia bearish movement kwa wiki ijayo kwani siamini kama Euro itaimarika dhidi ya dola ukizingatia level iliyo sasa ni haijavukwa toka mwaka jana september. Hata kama itaimarika haitoimarika kubreach resistance iliyokuwepo toka 2014 mwishoni. Ingawaje katika hili kuwa sure ni lini na wapi uuse hii pair naona ni swala la indicators kwa kuibia linaweza kupa signal.

View attachment 530036
EUR/USD Daily

Katika chart ya daily hizo bullish movement za hii pair zinaonekana vyema. So ukiwa umepanga kununua hii pair na wewe ni short term trader, Basi kaa kimtegomtego maana muda wowote ngoma inabadilika. Ila kama ni long term montly trader unaweza sikilizia kidogo ukauza hiyo pair kwani i expect mwezi ujao price itareverse tuu na kuwa bearish.

CC: Ontario, Bavaria.

Unakuwa kama mtu aliesoma tuition halafu unaenda darasani kukazia zaidi..

I still insist, spend most of your time to read more and more.

Set like 30 minutes kufanya demo na kupractise ulichosoma..

Don't spend your time on demo, will slow your speed of reading.

You are still new, you should at least pack yourself with more tools to trade.

Ila so far, you are good to go..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom