Black Idea
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 124
- 148
Naona Mambo yanazidi konoga tu
Inamaana kaka wewe sio muhenga hutaweza kuifanya forex
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Mambo yanazidi konoga tu
Hahahaha naona leo ni wahenga day.. Welcome back bro, u were missed muhenga wa 90'sMkuu mimi ndiye yule muhenga wa miaka ya 90, niliyekaa na muhenga mwenzangu bwana Kinjekitile Ngwale, na tukaanzisha ule usemi maarufu ya kua Chaka la samba, halilali nguruwe., lkn kwakua hatukueleweka vzr baada ya muda mfupi wahenga tukakutana tena tukaja na ule usemi Choko mchokoe pweza, binaadamu hutomuweza. Muhenga mwenzangu akatangulia mbele za haki, akaniacha peke yangu nikaamua kuleta usemi mpya wa kihenga kua Mchamba ovyo mwishowe hujitia dole.
Kuwa mhenga raha sana.
Welcome back to the business Mhenga Wa Wahenga.Ontario is back - back with good words
Wakuu na wahenga wote waliosadikika kusema Asiyejua maana, haambiwi maana ontario nimerudi baada ya kimya kirefu sana. Been busy lately, very busy - but there's no alternative to hardworking/hustling.
Naeza sema we are almost 80% completing. Nilisema tangu mwanzo - sijawahi kuanza kitu na kuishia kati kati, that's not Jeff (labda fotokopi yangu).
SOON tunaanza, kilichokua kinanichelewesha nimehandle almost 90%, kinachobakia ni vitu vidogo vidogo sana ambavyo havihitaji nguvu kubwa sana.
Mentors from SA ndio wapo stage ya mwisho kujinoa na safari... we are gonna make this real ili tuoneshe how far we can go bila kulilia msaada wa serikali - ili tufanikishe nahitaji msaada wenu, siwezi kufanya hii kitu mimi binafsi. Na msaada pekee ninaoutaka kutoka kweni ni Ushirikiano - muwe tayari kusoma, narudia kusoma, narudia tena kusoma.
Sijali umefika stage gani, lkn leo onwards, naomba mnisaidie kitu kimoja tu dear traders... anza page ya kwanza ya AstroFX, soma elewa, rudia tena na tena. Huo ndio msaada pekee utakaositiri heshima yangu. Trust me, nazungumza ninachokifahamu - kuna watu wengi wanatamani waone tunaanza batch ya kwanza afu batch ya kwanza waangukie pua, but kitu pekee kitakachotupa kiburi ni knowledge baasi. Darasani tutapeana mbinu tuuu.
Mentors wote wapo very very motivated kuja Bongo na kuandika historia. Tunataka tuandike historia, na tutaandika historia pamoja. Guys help me rewrite the history. Furaha yangu ni nyinyi kuweza kumaster trading skills na kutumia hizo skills kumove kutoka hatua 1 kwenda hatua nyingine.
We are in the most empowered generation, tuna bahati sana. Tumezaliwa katika kizazi ambacho kuna free flow of information via Internet thing. We are the most educated generation in human history. Wazee wetu kina Aboud Jumbe na Bibi Titi walihustle at their own exceptional level, kutuletea political and administrative freedom. But hatuwezi kufurahia matunda yao kama hatuna financial and economic freedom/independence. Let's get it now!!
Soon tunaanza safari wahenga wenzangu. Let's trust the process and enjoy it's fruits. Till then let's keep studying. Nina vitabu zaidi ya 100 vya forex, nasoma kila ninapopata muda. Narudia na kurudia, coz knowledge is power... naweza kufilisika ama kufilisiwa mali, lkn hakuna mwanadamu atakayeweza kunifilisi knowledge, labda Mungu.
Guys tuliamshe dude. Tuendelee kusoma, in few days nitafungua uzi mpya for the final call.
salute!!
============================
Though situmii sana IG but I do use it mara kadhaa. Maybe kuna vitu ntaanza kushare huko as far as thing journey is concerned. Follow me at @sirjeff_dennis. Please, naomba usitume message, coz possibility ya kukujibu ni ndogo sana. I am so busy guys, siwezi kujibu kila kitu. Office ikianza kutaelezana kila kitu face-to-face.
Hahahaha naona leo ni wahenga day.. Welcome back bro, u were missed muhenga wa 90's
Pia point taken kwenye maelekezo uliyoyatoa leo cjawahi kua na mood ya kusoma hivi ata UE yangu yamwisho ckuisomea namna hii
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
forex nzuri sanaInamaana kaka wewe sio muhenga hutaweza kuifanya forex
Ukishamaliza Darasa la FOREX , rewind kidogo Darasa la Kilimo, hapo ndio uwanja wako wa kijidai zaidi , fungua post utupakulie na hiyo fursa ONTARIO ,maana nako Umepasua anga kwenye hiyo nyanja
Wewe unatrade timeframe ipiwadau leo kuna potential kubwa ya profit kwenye AUD, enter selling position immediately when it goes bearish
1hourWewe unatrade timeframe ipi
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Mimi napita pita ila mimi huwa napendaga kwenda pale THE AFRICAN HOUSE HOTELHahaaaa misosi ya pale imetisha sana poti... Vipi na wewe hua unapitaga pale kugonga??
Sitaki nifanikiwe pekee yangu wakati tukifanikiwa wote kwa pa1 sipungukiwi na kitu, zaidi nitaongeza marafiki, ndugu na jamaa. The profits I make nataka tuimake pamoja, the losses I make nataka tuimake pamoja. Tuhakikishe haters wote wanajoin the journey bila kupenda [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lunch for today is covered (screen shot cropped to cover some other info)![]()
Ulipunguza ACCOUNT balance kwa kujipatisha hasara au kuna njia nyingine mkuu maana mimi naona na 5,000,000 na ni kitu ambacho sikitaki maana hakina uhalisiaKUNA MDA NAWAZA SIJUI NIENDE LIVE,
anyway, ngoja nivumilie, nilipunguza kias kilicho kua kwenye demo account (5000) hadi (109), nimeanza ibembeleza jana kidogo na leo kidg sasa inasoma (324) lengo ifike 5000 pale pale ilipo kuwepo, nikiweza tu, naenda live walai
![]()
mkuu chukua vitabu usome... forex sio rahis kama hivyo ulivyofanya..... umetumia lot kubwa ambayo ni hatar kwa maisha yako alafu hujajua kuset SL & TP.... chukua vitabu usome utapata uelewa mzuri nduguMsaada wahenga , nimecheza leo asubuhi ingawa sijajua namna ya kufanya kilinishangaza naona pesa zinaongeza.
nilijipigisha hasara hadi ikafika hapo 109Ulipunguza ACCOUNT balance kwa kujipatisha hasara au kuna njia nyingine mkuu maana mimi naona na 5,000,000 na ni kitu ambacho sikitaki maana hakina uhalisia
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app