Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Guys tupo pamoja sana sana sana. Tumieni weekend hii kurudia rudia vitabu. We only have One week ahead of us. Tayari nimepambana sana guys, I wish I could tell you in another language ili muelewe how I hv hustled to make this whole thing real. Sasa imebaki kazi kwenu, kusoma na kukusanya mtaji.

Tukianza tunaanza pa1 with DREAMS & VISIONS kwenye vichwa vyetu. Nimekusanya pesa za kutosha this week - na leo ilikua NFP basi furaha tele. We will keep making money together hadi tupate urithi wa kuwaachia wajukuu zetu.

Bosses enjoy your weekend. Na nashukuru sana kwa wote wanaojitahidi kutoa elimu na kuclarify vitu vidogo vidogo kwa wavivu wasiopenda kusoma. Kwa wale wavivu ht chapter 1 wameshindwa kusoma, niseme tu wazi - sitawahitaji kwenye mentorship program yangu, sitaki aibu. Nimetumia almost 6 years to build my reputation sihitaji kuiharibu kwa ujinga wa mtu asiyetaka kujishughulisha.

Guys again, tumebaki na week 1 tu... J5 au Alh tutakua na uzi mpya wa kujua what's next.

Bless up!!
Finally, we are approaching to "BIG YES"
 
Guys tupo pamoja sana sana sana. Tumieni weekend hii kurudia rudia vitabu. We only have One week ahead of us. Tayari nimepambana sana guys, I wish I could tell you in another language ili muelewe how I hv hustled to make this whole thing real. Sasa imebaki kazi kwenu, kusoma na kukusanya mtaji.

Tukianza tunaanza pa1 with DREAMS & VISIONS kwenye vichwa vyetu. Nimekusanya pesa za kutosha this week - na leo ilikua NFP basi furaha tele. We will keep making money together hadi tupate urithi wa kuwaachia wajukuu zetu.

Bosses enjoy your weekend. Na nashukuru sana kwa wote wanaojitahidi kutoa elimu na kuclarify vitu vidogo vidogo kwa wavivu wasiopenda kusoma. Kwa wale wavivu ht chapter 1 wameshindwa kusoma, niseme tu wazi - sitawahitaji kwenye mentorship program yangu, sitaki aibu. Nimetumia almost 6 years to build my reputation sihitaji kuiharibu kwa ujinga wa mtu asiyetaka kujishughulisha.

Guys again, tumebaki na week 1 tu... J5 au Alh tutakua na uzi mpya wa kujua what's next.

Bless up!!
Finally Big things are going to happen, the patience is going to be rewarded.. Be blessed brother will be waitng for Wed and Thursday like how i waited for the NFP and it paid off..
NFP was bae today!!

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Hey guys za siku kidogo i am back again baada ya kupotea kwa muda sio mrefu sanaa hopefully maendelea vizuri kabisaaaa nilirudi kidogo to my mother land kutimiza haki yangu ya kupiga kura japo sijafanikiwa kwa kiasi kikubwa now i am back to my team again and again.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuona kikwazo kilichopo mbele yetu kwa sasa ni banking services niliamua kuchimba kidogo ni jinsi gani tunaweza kuikwepa hii changamoto.

Kwa baadhi ya watu ambao washapitia vitabu na pia walioanza demo ama real account(congrats) mtakuwa mmeona kuna baadhi ya brokers (true ECN) Ambao wana accept bitcoins.

Kwa wenye uelewa/watumiaji wa bitcoin hii ni moja ya solution ambapo utaepukana na ABCs za mabenki yetu

Kwa wasioifaham Bitcoin & cryptocurrencies in general hamjachelewa yapo materials mengi tu ya kusoma na kuielewa...

Ntapost list of brokers ambao wana accept cryptocurrencies especially bitcoins

Kumbuka wapo verified agents wengi tu ambapo unaweza kuuza bitcoins zako kwa njia rahisi Sana kama Mpesa etc

Hapa pips tuu
....................



Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndio wazur maan bitcoin ni fasta unachomoa mkwanja kwa mpesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nime sign up payoneer ila sijaona sehem yeyote inayo elezea jinsi ya kupata Mastercard yao pia cjaelewa nijinsi gani niki withdraw salio xm litakavyo fika payonner.
QUIGLEY na wengineo wenye kujua naombeni msaada wenu katika hili.
Je umesoma posts zangu vizuri?
 
Guys tupo pamoja sana sana sana. Tumieni weekend hii kurudia rudia vitabu. We only have One week ahead of us. Tayari nimepambana sana guys, I wish I could tell you in another language ili muelewe how I hv hustled to make this whole thing real. Sasa imebaki kazi kwenu, kusoma na kukusanya mtaji.

Tukianza tunaanza pa1 with DREAMS & VISIONS kwenye vichwa vyetu. Nimekusanya pesa za kutosha this week - na leo ilikua NFP basi furaha tele. We will keep making money together hadi tupate urithi wa kuwaachia wajukuu zetu.

Bosses enjoy your weekend. Na nashukuru sana kwa wote wanaojitahidi kutoa elimu na kuclarify vitu vidogo vidogo kwa wavivu wasiopenda kusoma. Kwa wale wavivu ht chapter 1 wameshindwa kusoma, niseme tu wazi - sitawahitaji kwenye mentorship program yangu, sitaki aibu. Nimetumia almost 6 years to build my reputation sihitaji kuiharibu kwa ujinga wa mtu asiyetaka kujishughulisha.

Guys again, tumebaki na week 1 tu... J5 au Alh tutakua na uzi mpya wa kujua what's next.

Bless up!!
hhahahahahahahahahah
mambo mazuri ndio hayooo yanajongea.
thanks bro. hapo ni sawa na teacher anapotangaza test ya ghafla, i mean watu tunarud kwe msuli kwa kasi ya ajab kama ifuatavyoo.....
 
Guys tupo pamoja sana sana sana. Tumieni weekend hii kurudia rudia vitabu. We only have One week ahead of us. Tayari nimepambana sana guys, I wish I could tell you in another language ili muelewe how I hv hustled to make this whole thing real. Sasa imebaki kazi kwenu, kusoma na kukusanya mtaji.

Tukianza tunaanza pa1 with DREAMS & VISIONS kwenye vichwa vyetu. Nimekusanya pesa za kutosha this week - na leo ilikua NFP basi furaha tele. We will keep making money together hadi tupate urithi wa kuwaachia wajukuu zetu.

Bosses enjoy your weekend. Na nashukuru sana kwa wote wanaojitahidi kutoa elimu na kuclarify vitu vidogo vidogo kwa wavivu wasiopenda kusoma. Kwa wale wavivu ht chapter 1 wameshindwa kusoma, niseme tu wazi - sitawahitaji kwenye mentorship program yangu, sitaki aibu. Nimetumia almost 6 years to build my reputation sihitaji kuiharibu kwa ujinga wa mtu asiyetaka kujishughulisha.

Guys again, tumebaki na week 1 tu... J5 au Alh tutakua na uzi mpya wa kujua what's next.

Bless up!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guys tupo pamoja sana sana sana. Tumieni weekend hii kurudia rudia vitabu. We only have One week ahead of us. Tayari nimepambana sana guys, I wish I could tell you in another language ili muelewe how I hv hustled to make this whole thing real. Sasa imebaki kazi kwenu, kusoma na kukusanya mtaji.

Tukianza tunaanza pa1 with DREAMS & VISIONS kwenye vichwa vyetu. Nimekusanya pesa za kutosha this week - na leo ilikua NFP basi furaha tele. We will keep making money together hadi tupate urithi wa kuwaachia wajukuu zetu.

Bosses enjoy your weekend. Na nashukuru sana kwa wote wanaojitahidi kutoa elimu na kuclarify vitu vidogo vidogo kwa wavivu wasiopenda kusoma. Kwa wale wavivu ht chapter 1 wameshindwa kusoma, niseme tu wazi - sitawahitaji kwenye mentorship program yangu, sitaki aibu. Nimetumia almost 6 years to build my reputation sihitaji kuiharibu kwa ujinga wa mtu asiyetaka kujishughulisha.

Guys again, tumebaki na week 1 tu... J5 au Alh tutakua na uzi mpya wa kujua what's next.

Bless up!!
safi!..
 
On the options front:-

Today we are taking the DOW further and deeper into +22,000 territory.

At the end of the day, with our mark safely low at 21940, this week will conclude a five fold increase in gains from the starting point.

That is 500% returns in the space of 5 days.

This means, If you started the week with $7,000 and flipped it with the Dow - options trading, sometimes day and night, very conservatively to avoid risky market swings - you would end up with at least $35,000.

If you started with $700, following this strategy, you would end up with $3,500

If you started with $70, you would end up with $350.

I could have flipped that in a day or two, but bigger quick gains carry bigger risks of failure.

Not bad for a weeks work.
al-watan kikristo kingi tatzo
 
Me naomba kuuzi ONTARI O kama hutojali kuna Broker yeyote ambaye ameonesha nia ya kuja na kufungua ofisi hapa Tz au bado?Navyokumbuka ulisema utawashawishi waje?

Sent using Iphone 7+
 
al-watan kikristo kingi tatzo
Mimi mtoto wa Kariakoo, Upanga, Oysterbay, Tabata, Sinza na Mbezi Beach kote nina viunga huko kwa hiyo usione tabu nikitiririka Kikristo.

Naweza kugeuka kuelekea Kibra katika pigo moja la moyo tu.

Hiyoni ripoti ya mahesabu ya kufunga wiki.

Hii ni options trading, mnyama mwingine tofauti kidogo na pure Forex Trading (ingawa unaweza kufanya options trading ya Forex kubashiri bei zitaendaje).Nafanya kwenye ripoti za masoko ya hisa kupitia www.nadex.com

Ni kwamba, muelekeo wa soko kwa mujibu wa ankara za ripoti ya Dow Jones umekuwa mzuri sana kwetu tunaofanya biashara ya kubashiri litakapoangukia wiki hii.

Binafsi nimeweza kuongeza mtaji mara tano wiki hii tu.

Maana yake kama uliwekeza $70, unamaliza wiki na $350, kama ulianza na $700 unamaliza na $3,500, kamaulianza na $7,000 unamaliza na $35,000.

Na hesabu hizi zingeweza kupatikana hata kwa siku moja kama mtu anataka kufanya uroho wa kupiga pesa kubwa haraka, lakini, ukiongeza faida ndivyo unavyoongeza nafasi ya kuliwa hela zote unazowekeza.

Kwa hiyo ni wiki nzuri sana. Nilitoa hela na kupigwa na NASDAQ kidogo wiki iliyopita.

Wiki ijayo lengo ni kuanza na kuongeza ninachoanza nacho mara kumi (lengo la chini ) au kupaa mpaka mara ishirini kutegemea na masoko yatakavyo kuwa.
 
Guys tupo pamoja sana sana sana. Tumieni weekend hii kurudia rudia vitabu. We only have One week ahead of us. Tayari nimepambana sana guys, I wish I could tell you in another language ili muelewe how I hv hustled to make this whole thing real. Sasa imebaki kazi kwenu, kusoma na kukusanya mtaji.

Tukianza tunaanza pa1 with DREAMS & VISIONS kwenye vichwa vyetu. Nimekusanya pesa za kutosha this week - na leo ilikua NFP basi furaha tele. We will keep making money together hadi tupate urithi wa kuwaachia wajukuu zetu.

Bosses enjoy your weekend. Na nashukuru sana kwa wote wanaojitahidi kutoa elimu na kuclarify vitu vidogo vidogo kwa wavivu wasiopenda kusoma. Kwa wale wavivu ht chapter 1 wameshindwa kusoma, niseme tu wazi - sitawahitaji kwenye mentorship program yangu, sitaki aibu. Nimetumia almost 6 years to build my reputation sihitaji kuiharibu kwa ujinga wa mtu asiyetaka kujishughulisha.

Guys again, tumebaki na week 1 tu... J5 au Alh tutakua na uzi mpya wa kujua what's next.

Bless up!!
Hahhahaha God bless you Jeff, tuko pamoja na natumaini hutojutia ushiriki wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guys tupo pamoja sana sana sana. Tumieni weekend hii kurudia rudia vitabu. We only have One week ahead of us. Tayari nimepambana sana guys, I wish I could tell you in another language ili muelewe how I hv hustled to make this whole thing real. Sasa imebaki kazi kwenu, kusoma na kukusanya mtaji.

Tukianza tunaanza pa1 with DREAMS & VISIONS kwenye vichwa vyetu. Nimekusanya pesa za kutosha this week - na leo ilikua NFP basi furaha tele. We will keep making money together hadi tupate urithi wa kuwaachia wajukuu zetu.

Bosses enjoy your weekend. Na nashukuru sana kwa wote wanaojitahidi kutoa elimu na kuclarify vitu vidogo vidogo kwa wavivu wasiopenda kusoma. Kwa wale wavivu ht chapter 1 wameshindwa kusoma, niseme tu wazi - sitawahitaji kwenye mentorship program yangu, sitaki aibu. Nimetumia almost 6 years to build my reputation sihitaji kuiharibu kwa ujinga wa mtu asiyetaka kujishughulisha.

Guys again, tumebaki na week 1 tu... J5 au Alh tutakua na uzi mpya wa kujua what's next.

Bless up!!
Hahahahahahaha safiiiii sana mkuu, hill ndo tulikuwa tunalisubiri kwa hamu sana, hatimaye it has panned out.

Munkali wa kuendelea kula msuli umeongezeka Mara dufu. Ngoja nirudierudie tena recommended books kuuweka ubongo sawa tayari kwa training. I hope I will be amongst the few selected

CONGRATS ONTARIO TO PUSH THIS THING TO THIS LEVEL.

TOGETHER.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guys tupo pamoja sana sana sana. Tumieni weekend hii kurudia rudia vitabu. We only have One week ahead of us. Tayari nimepambana sana guys, I wish I could tell you in another language ili muelewe how I hv hustled to make this whole thing real. Sasa imebaki kazi kwenu, kusoma na kukusanya mtaji.

Tukianza tunaanza pa1 with DREAMS & VISIONS kwenye vichwa vyetu. Nimekusanya pesa za kutosha this week - na leo ilikua NFP basi furaha tele. We will keep making money together hadi tupate urithi wa kuwaachia wajukuu zetu.

Bosses enjoy your weekend. Na nashukuru sana kwa wote wanaojitahidi kutoa elimu na kuclarify vitu vidogo vidogo kwa wavivu wasiopenda kusoma. Kwa wale wavivu ht chapter 1 wameshindwa kusoma, niseme tu wazi - sitawahitaji kwenye mentorship program yangu, sitaki aibu. Nimetumia almost 6 years to build my reputation sihitaji kuiharibu kwa ujinga wa mtu asiyetaka kujishughulisha.

Guys again, tumebaki na week 1 tu... J5 au Alh tutakua na uzi mpya wa kujua what's next.

Bless up!!
Bro kwaiyo naeza kuanza safari jtatu kuja dar sio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom