Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Jibu hoja MATUSI hayana tija Mkuu!!
Ujue ugonvi wangu na wewe uko wapi? hivi nikipandisha post zote za nyuma si utasema mimi mchawi?
Post zangu zina ufanano sana sasa sasa nikipost kwa sasa ni kwamba napingana na kitu fulani.

Nafanya jitihada zipandw zote kama nitaweza then uone halafu ulinganishe na za wakati huu then ulete majibu
 
Ujue ugonvi wangu na wewe uko wapi?


Sina ugomvi na wewe ninachokikataa ni MATUSI yako unayonitumia kwa PM, hoja zote ziko hapa iwaje wewe unifuate kwa PM na kiniporomoshea matusi?

Huo ndo udhaifu wako, bishana kwa hoja, hata mimi nilikuwa siijui Forex nashukuru wenye uelewa nayo wametufungua Macho na nilishawishika kuikubali baada ya kusoma hoja za msingi na mimi kufanya utafiti wa kutosha kupitia vyanzo mbali mbali ndiyo nikaikubali.

Nyinyi mnaoipinga hamna hoja za msingi bali ni matusi kwa PM na maneno ya shombo Jukwaani basi. Hivi unafikiri nani anaweza kushawishika na hoja zenu mufilisi? Kijana jifunze kutokana na makosa yako unaowaparamia wengine si saizi yako! Wewe endelea kuuza Kuku na Mayai haya mambo mengine huyawezi, forex is not for everyone! Maisha yanachangamoto zake usilazimishe usichokiweza utaumbuka.

Mwisho nikupe tena tahadhari sihitaji unitumie PM za matusi, period!!!
 


Sina ugomvi na wewe ninachokikataa ni MATUSI yako unayonitumia kwa PM, hoja zote ziko hapa iwaje wewe unifuate kwa PM na kiniporomoshea matusi?

Huo ndo udhaifu wako, bishana kwa hoja, hata mimi nilikuwa siijui Forex nashukuru wenye uelewa nayo wametufungua Macho na nilishawishika kuikubali baada ya kusoma hoja za msingi na mimi kufanya utafiti wa kutosha kupitia vyanzo mbali mbali ndiyo nikaikubali.

Nyinyi mnaoipinga hamna hoja za msingi bali ni matusi kwa PM na maneno ya shombo Jukwaani basi. Hivi unafikiri nani anaweza kushawishika na hoja zenu mufilisi? Kijana jifunze kutokana na makosa yako unaowaparamia wengine si saizi yako! Wewe endelea kuuza Kuku na Mayai haya mambo mengine huyawezi, forex is not for everyone! Maisha yanachangamoto zake usilazimishe usichokiweza utaumbuka.

Mwisho nikupe tena tahadhari sihitaji unitumie PM za matusi, period!!!
wewe tangu juzi unanifuatilia tu. nikakuambia post zangu ziko hivyo na bado ninazo nyingi tu mkuu za muelekeo huo
 
Salaam wana jukwaa,

Naona tangu TMT ianzishwe kumekuwa na hamasa kubwa katika kutaka kuitumia fursa hii na wengine wamekuwa na mashaka nayo huku wengine wakitumia hisia za mashaka kuipinga na wengine kupinga kinachofanywa na TMT.

Binafsi naona mwisho wa haya malumbano ni kupata majibu ya maswali yafuatayo:

1. TMT imesajiriwa na BRELA? Na je ilisajiwa kwa ajili ya kutoa huduma zipi? Je inafanya mambo kinyume na yale iliyosajiriwa kwayo?

2. Tofauti na ada ya kujifunza kuhusu Forex, je ipo fedha nyingine inayotozwa?

3. Je wakati wa live trading unafika wanakulazimisha kujiunga na broker wanayemtaka wao au una uhuru wa kuchagua broker?

4. Na kama wanakushawishi utumie broker wao, je usimtumia huyo ukachagua mwingine wanaendelea kukupa mentorship kama wale wanaotumia broker suggested by TMT?

5. Je broker wanayemshauri/mtaka atumike amesajiriwa na nchi anakotoka? Ana historia yoyote mbaya ya kufanya/kujaribu kufanya frauds?

6. Is FOREX real(this was to be the first question)

Kama akipata majibu ya hayo maswali utafanya maamuzi mazuri sana.
 
Uko vizuri kwa hoja na ndivyo tunavyohitaji Mkuu si kama wengine hawana hoja na kulazimisha tu wenzao wawaamini kuwa Forex ni Scam kumbe wana agenda zingine nyuma ya pazia.
 
3 Investment Scams East Africans have Fallan Prey for.


You know how some religious leaders tell their followers that if they pray hard enough and donate tons of money to their organisation, their gods will bless them with wealth? These claims are often made in the same spirit in which scam artists present fantastical investment schemes to their victims.

The promise of such rich blessings from an almighty “investment plan” is too much for many people to resist—who wouldn’t want wealth without having to work for it? Alas, it’s this kind of thinking that’s gotten thousands of East Africans conned of millions of dollars by scams that look pretty damn dodgy to regular folks like you and me. Here are 5 of the most recent, and most notorious.



The latest fraudulent scam that claims to be trading in forex and other crypto currencies just opened a few days ago under the domain name www.amazontraders.co.uk, and things are already not good for the many investors that are putting their money into this scam.
The company gets people into investing money with them with a hope of reaping big through daily returns of 1%, 1.4%, 1.7% and 1.9% depending on how much someone has paid. If these investors had only had a closer look at the company website, complete with poorly photoshopped pictures and a banner containing an egregious grammatical error, they might have smelled a rat. Amazon Traders stands on the possibility that, new people will keep investing money that will pay the previous ones. Mathematically, this cycle can not last more than 8 months, and the possibility of a crush and scamming people’s hard earned money is eminent.
Alexa rankings show that 82% of the traffic is coming from Uganda, a clear indication that, this scam has its roots from that nation, and that its claims of being from the UK are as false as their promise of paying investors for 52 weeks.


A company name containing no spelling errors, well spoken salespeople and a presence in the UK. The company aggressively advertised to try to get people to participate in their investment schemes with a hope that their investment shall buy into the most sought-after mineral-Diamonds.
Are TMT a broker to say that they will steal money of people?

And in your news is there anywhere they mention TMT as a scam?
 
3 Investment Scams East Africans have Fallan Prey for.


You know how some religious leaders tell their followers that if they pray hard enough and donate tons of money to their organisation, their gods will bless them with wealth? These claims are often made in the same spirit in which scam artists present fantastical investment schemes to their victims.

The promise of such rich blessings from an almighty “investment plan” is too much for many people to resist—who wouldn’t want wealth without having to work for it? Alas, it’s this kind of thinking that’s gotten thousands of East Africans conned of millions of dollars by scams that look pretty damn dodgy to regular folks like you and me. Here are 5 of the most recent, and most notorious.



The latest fraudulent scam that claims to be trading in forex and other crypto currencies just opened a few days ago under the domain name www.amazontraders.co.uk, and things are already not good for the many investors that are putting their money into this scam.
The company gets people into investing money with them with a hope of reaping big through daily returns of 1%, 1.4%, 1.7% and 1.9% depending on how much someone has paid. If these investors had only had a closer look at the company website, complete with poorly photoshopped pictures and a banner containing an egregious grammatical error, they might have smelled a rat. Amazon Traders stands on the possibility that, new people will keep investing money that will pay the previous ones. Mathematically, this cycle can not last more than 8 months, and the possibility of a crush and scamming people’s hard earned money is eminent.
Alexa rankings show that 82% of the traffic is coming from Uganda, a clear indication that, this scam has its roots from that nation, and that its claims of being from the UK are as false as their promise of paying investors for 52 weeks.


A company name containing no spelling errors, well spoken salespeople and a presence in the UK. The company aggressively advertised to try to get people to participate in their investment schemes with a hope that their investment shall buy into the most sought-after mineral-Diamonds.
Bado unatapatapa? pole sana
 
  • Thanks
Reactions: 911
Uchu wa kupata utajiri haraka haraka hauwezi kumwacha mhusika salama.

Michezo yote ya kuwekeza fedha ni kama bahati nasibu ni pata potea.

Hakuna mahali popote unaweza kuwa tajiri pasipo kufanya kazi labda uibe au ufanye udanganyifu kwa wanaodanganyika.
 
1. TMT imesajiriwa na BRELA? Na je ilisajiwa kwa ajili ya kutoa huduma zipi? Je inafanya mambo kinyume na yale iliyosajiriwa kwayo?
Imesaliwa na wanalipa kodi TRA kama kawaida, Fuatilia alichoandika hapa.
Tulitembelewa na watu kutoka Makao makuu ya usalama wa taifa (TISS), polisi na wapelelezi kutoka Kituo cha polisi cha Oysterbay, afisa kutoka idara ya kazi na ajira, maafisa kutoka TRA - Mwenge, maafisa kutoka uhamiaji, maafisa kutoka wilayani, watumishi wa serikali za mtaa.
Kwenye hii Link: Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom
2. Tofauti na ada ya kujifunza kuhusu Forex, je ipo fedha nyingine inayotozwa?
Hakuna tozo jingine lolote.
Wewe binafsi baada ya kupata mafunzo, ni uamuzi wako ni kiasi gani cha fedha utaanza nacho kama mtaji. Hii ni fedha yako.
3. Je wakati wa live trading unafika wanakulazimisha kujiunga na broker wanayemtaka wao au una uhuru wa kuchagua broker?
Hakuna anaye lazimishwa. Ila utapewa ushauri kwa nini utumie broker flani. Hivyo uamuzi bado ni weako katika hili.
4. Na kama wanakushawishi utumie broker wao, je usimtumia huyo ukachagua mwingine wanaendelea kukupa mentorship kama wale wanaotumia broker suggested by TMT?
Hapa utahitajika ufafanuzi toka kwa ONTARIO
5. Je broker wanayemshauri/mtaka atumike amesajiriwa na nchi anakotoka? Ana historia yoyote mbaya ya kufanya/kujaribu kufanya frauds?
Amesajiriwa na yuko regulated. Ni broker pekee kwa Africa anayefanya vizuri. Ukiwa na uwezo wa kuwithdraw fedha ndani ya masaa 2 hadi 6. Kumbuka broker wengine wote huwa ni kuanzia siku 3 hadi 7 ndio unapata fedha yako.
6. Is FOREX real(this was to be the first question)
Kutokana na uwepo wa thread nyingi kuhusu Forex hapa JF, sikutegemea uwepo wa hili swali.

Ninamashaka kuwa hii thread na comment zake hujaisoma: Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!
Pia jaribu hata kutumia Google utapata majibu stahiki.

Kimsingi FOREX imekuwa ikifanywa kwa muda mrefu na Taasisi kubwa za kifedha hapa nchini na mataifa mengine.

Na kwa mtu mmoja mmoja ilikuwa ni siri kwa walio wengi kwa hapa nchini.

Ila ni kitu cha kawaida kwa mataifa mengine. Ontario ndio aliyetufungua macho kwa kuierezea kwa kina na wengi tukaelewa na kuchukua hatua.

Kibaya zaidi wengi walimlaumu kwa nini ameweka wazi JF, yaani kwa nini amemwaga mchele kwa kuku wengi.
 
Forex Scam Kenya nairobi


A fool and his gold are soon parted. Furthermore, when the deal is too good, think again!



syntax13 years ago

Could someone please look at FEP, I smell a rat.




TruelyIsay syntax13 years ago

FEP could be another scam. After selling shares they went mum



oracle syntax13 years ago

If you smell a rat, it's a rat. run!



Margaret Mwangi3 years ago

When the deal is too good think twice, too bad Kenyans can't remember this line for two minutes



Gmusyoki3 years ago

Kenyans, why do they not learn?




mdakama3 years ago

How greedy can some people be! There is no easy money in this world and anybody who offers you a deal which is too good to be true, run, because he is a conman! If you intend to go to Uni and you can't work out that an investiment of six hundred thousand shillings cannot double in 75 working days, then you have no business going to university, where you'll be expected to think for yourself.



TruelyIsay3 years ago

Kenyans will never learn although I also invested in FEP group of companies that have gone silent since they collected millions from the diaspora last year in sale of shares.



dan3 years ago

These guys (read criminals) spoiled it for the sensible traders out there.
Reality: Forex trading is knowledge and capital intensive, and no you will not double your 600K in 75 days. 600k sounds like a lot by Kenyan standards, but its just about 6500USD. The profitable trading teams in Kenya will have minimums of 10KUSD+ and an investor will probably make about 60% annually, considering the risk management models applied to such a meager amount.
Sorry to break your greedy hearts, but Forex trading isn't an easy way out. Anyone that promises you guaranteed returns is.....in fact lying.
My trading team rejects tens of investors each month due to unrealistic expectations and get rich quick mentalities. Unfortunately they fall prey to scammers and get ripped off then shout over the rooftop.
Bottom line: Forex trading is hard work, risky and not suitable for everyone. If your net worth is below 10M KSHS, consider low risk investments, keep off Forex trading. If its higher than that, then you should be smart enough know what I am talking about.




martin mutisya3 years ago

to get 1.2mn from 606,000/- after 75 working days, only greedy, shortcut investors fall for these scams.



Sura Mbaya3 years ago

Someone sent me a video of VIPortal - sleek, well presented....It's on Youtube titled - VIPortal INC... The Naked Truth...

When the CEO claims in the video that he was picked to represent the entire continent of Africa in "The World Trading Arena in Forex and eForex" and the president of NASDAQ was present, I caught myself gasping for breath. If this is the type of stuff that thousands fell for, then even the great redeemer cannot save us here.

These schemes will continue to crop up and proliferate in Kenya because we are a greedy society, we are corrupt and we think that rather than work hard for years, we can put our hard-earned savings into an account, make 80% every 3 months, walk into the RMA showroom and order a custom-made Range.



Felix Sergon Sura Mbaya3 years ago

haha. Well said



Amused-Kenyan3 years ago

Greed is what got these people in trouble. Wangai was not able to con people who were not greedy. I remember being told of Vip before they stopped paying and I really tried to get people to stop investing with them. I was called an idiot.
Wangai should be in jail but this is Kenya. Steal billions and you walk free.
By the way, Wangai was not the mastermind and the financer of this scam. Wangai was the errand boy.



20353 years ago

I spoke about this thing and people shouted me down saying that it's Gods way of empowering Africans and that God is going to bless them and VIP and Wangai are men of God. Kenyans are just too dumb to see through things. Years come years go, and as King Solomon said, there is nothing new under the sun.
Umeifungua hii ID mpya ( 9 October 2017) maalum kwaajili ya kuponda forex. Nakushauri ili ueleweke vizuri tumia ile ID yako ya zamani
 
Imesaliwa na wanalipa kodi TRA kama kawaida, Fuatilia post zake za awali utalibaini hili

Hakuna tozo jingine lolote.
Wewe binafsi baada ya kupata mafunzo, ni uamuzi wako ni kiasi gani cha fedha utaanza nacho kama mtaji. Hii ni fedha yako.

Hakuna anaye lazimishwa. Ila utapewa ushauri kwa nini utumie broker flani. Hivyo uamuzi bado ni weako katika hili.

Hapa utahitajika ufafanuzi toka kwa ONTARIO

Amesajiriwa na yuko regulated. Ni broker pekee kwa Africa anayefanya vizuri. Ukiwa na uwezo wa kuwithdraw fedha ndani ya masaa 2 hadi 6. Kumbuka broker wengine wote huwa ni kuanzia siku 3 hadi 7 ndio unapata fedha yako.

Kutokana na uwepo wa thread nyingi kuhusu Forex hapa JF, sikutegemea uwepo wa hili swali.
Pia jaribu hata kutumia Google utapata majibu stahiki.
majibu murua sana
 
Imesaliwa na wanalipa kodi TRA kama kawaida, Fuatilia post zake za awali utalibaini hili

Hakuna tozo jingine lolote.
Wewe binafsi baada ya kupata mafunzo, ni uamuzi wako ni kiasi gani cha fedha utaanza nacho kama mtaji. Hii ni fedha yako.

Hakuna anaye lazimishwa. Ila utapewa ushauri kwa nini utumie broker flani. Hivyo uamuzi bado ni weako katika hili.

Hapa utahitajika ufafanuzi toka kwa ONTARIO

Amesajiriwa na yuko regulated. Ni broker pekee kwa Africa anayefanya vizuri. Ukiwa na uwezo wa kuwithdraw fedha ndani ya masaa 2 hadi 6. Kumbuka broker wengine wote huwa ni kuanzia siku 3 hadi 7 ndio unapata fedha yako.

Kutokana na uwepo wa thread nyingi kuhusu Forex hapa JF, sikutegemea uwepo wa hili swali.
Pia jaribu hata kutumia Google utapata majibu stahiki.
Mkuu nkuelewa vizuri. Na msingi wa kupose hayo maswali ni kumsaidia mtu ambaye anapinga kuhusu hili swala linalofanywa na TMT. Mimi niko nao na nategemea kutoka huku kwetu Bukoba niende Dar au Dodoma kwa ajili ya Training. Kwa bahati mbaya sana sikuweza kujoin program ya kwanza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom