Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,510
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari Wanajamvi:
Baada Ya Kumsoma Sana My Bro ONTARIO. Kupitia Uzi Wake Wa Fursa Za Forex Na Kauli Zake Za Kutia Moyo Kiukweli Nilihamasil Sana Na Kufikiria Vitu Vingi Sana!
Mwisho Nikaiona Hii Fursa Ya Kujaribu.
Kwa Muda Mrefu Nimemsoma ONTARIO Na Wafuasi Wake Wa Forex! Nikagundua Wote Wana Kauli Moja
FOREX FAIDA= KUSOMA SANAVITABU VYAO + KUWA UPDATED JUU YA TAARIFA MBAMBALI ZA ULIMWENGU.
Nikafikiria Na Kuamua Kurudisha Hizi Kauli Na Biashara Ya Kubeti!
Nikagundua Kote Kunaweza Kuea Sawa.
WHY?
1.Kwenye Forex Watu Wanasoma Sana. The Same Kwenye KuBeti Watu Wanasoma Na Kufuatilia Sana Mienendo Ya Mechi Zilizopita. Misimamo Ya Ligi Etc
2. Kwenye Forex Watu Wanategemea Profit Kubwa Kwa Kuwa Mjanja Na Kuwa Updated! Na Kwenye Kubeti Pia Ukiwa Mjanja Na Updated Unakula Everyday.
FURSA YANGU
Naanza Leo Usiku Kwa Mtaji Wa 50,000/= Nitaleta Mrejesho Kwa Picha After 7 Days.
Ipo Hivi:
Utaanza Na Mtaji Wowote Ila Ukiwa Mkubwa Utapata Faida Zaidi.
Tufanye Kila Siku Ukawa Una Beti Tshs 10,000/= Kwa Kutengeneza Mikeka Miwili Kwa Kufuata Timu Za Aina Hii:
1. Utaweka Timu 2 Tu.
2.ODD Zsizidi 1.7
3. Timu Lazima Iwe Ya Nyumbani
MAHESABU
ODD Ni 1.7
Timu Mbili
Stake Ni 5,000/=
Total ODDS = 2.89
So Hela Utayopata Kwa Mkeka Mmoja Ni Sawa Na
2.89*5000 = 14450/=
Kwa Mikeka Miwili
1445*2 = 28,900/=
Kwa Mwezi = 28,900 * 31 Days Ambayo Ni Sawa Na
895,900/=
Assume Hapa Kati Ukaliwa Kama 300k Faida Itapungua Na Kuwa 500k.
MY TAKE:
Mimi Nimeamua Badala Ya Forex Nitawekeza Huku! Then Nitaleta Mrejesho Kama Anavyofanya Bwana ONTARIO! Wa Forex Baada Ya 1 Month.
Nipeni 1 Month Ya Mrejesho
Naanza Na 50,000/=
MODERATOR
Tafadharini Msifute Wala Kuunga Au Kuhamisha Huu Uzi! Nataka Kujaribu Fursa Niliyoiona Mimi.
MAWAZO, USHAURI, KEJERI, MATUSI VINAKARIBISHWA
MREJESHO
11/11/2017
MPEA ya Tanzania inakubarika....?Wale wanotaka kutoa hela kwa mpesa bas templer wanaruhusu kutoa na kudeposit kwa mpesa..ni chap tu
https://secure.templerfx.com/login?rid=106853
Pita hapo kweny hiyo link...
JaNa nilitoa hela ya mboga tu na hii ni miamala niliyo tumiwa via mpesa![]()
Yaa hiyo ni mpesa ya Tanzania usiwaze kuhusu hiyo massage ya safaricom..MPEA ya Tanzania inakubarika....?
Forex siyo biashara!Hakuna biashara isiyo na challenge ndugu yangu kwa mantiki hiyo kika biashara gambling sasa waache watu wafanye wanachoona ni bora kwanini usianzishe uzi wako ueleze wewe unachokifanya na faida unayopata!!jifunze ku appreciate kazi za wenzio
[emoji107]Kumbe mberoya ni mwanamke jamani aisee nimeshamjua
Ila ni uberoya et eeForex siyo biashara!
Labda kwako wewe uberoya ni forex!Ila ni uberoya et ee
Maana ya biashara nini!!??Forex siyo biashara!
we boya kweliForex siyo biashara!
Biashara ni nini?Labda kwako wewe uberoya ni forex!
Nimekwambia forex siyo biashara ni foreign exchange buying and selling. Haya kiza kimeingi kalale saahizi bwana mdogo.