FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

Of course you are ignorant as fvck, I was just trying to expose you how schlemiel you are.
Anayekimbilia matusi hana hoja tena, utoto, tayari ushajulikana ulivyo, inasikitisha kumchafulia mwenye thread uzi wake kwa matusi yako, haya kaka hongera..
 
Anayekimbilia matusi hana hoja tena, utoto, tayari ushajulikana ulivyo, inasikitisha kumchafulia mwenye thread uzi wake kwa matusi yako, haya kaka hongera..
We kenge Unaelewa maana ya matusi !!?? Hivi nyie vichaa mbona mnawashwa washwa huko nyuma
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu acha ubishi kama kuna option ya kufuta uzi fanya ivo au omba mods wakusaidie kuficha hii aibu
 
Anayekimbilia matusi hana hoja tena, utoto, tayari ushajulikana ulivyo, inasikitisha kumchafulia mwenye thread uzi wake kwa matusi yako, haya kaka hongera..
Unajua matusi wewe?

Mwenye thread mwenyewe kaileta kwa mlengo wa chuki tu.
 
Hasara za kukulupuka mkuu ungetulia tu ukawaacha watu na forex yao si lazima kila kitu tufanye wote vingine vitupitage. Hakuna biashara isiyo na hasara hata nyanya huoza sembuse forex.
 
Hakuna Shida Mkuu.
Japo pia mm sio mpiganaji wa kupinga , ila nimpiganaji wa kufanya research & Critical analysis.
Huyu naye anajiita researcher!! Dah! Mkuu umefanya research ya kitu usicho kijua, yani mpaka nakuonea huruma sababu huna unachojua kuhusu forex

Kama umefikia hatua ya kudhani kwamba fxtm ndio wamiliki wa forex duniani na ukaenda kuuliza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe ni bashite kwenye forex aisee hadi huruma. Nenda Kasome uelewe kuhusu forex na forex broker halafu urudie research yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
umenena vyema mkuu,huyu jamaa sijui kwanini amewachagua hao FXCM
 
Bwana Ontario mpaka sasa keshaingiza million 50 za training,anasema tayari ashatrain watu 350 kwa sh 150,000 piga hesabu...na hapa ndio watu wanapopigwa. Only 1% of new traders tend to be successful.
 
Kwanini inatumika nguvu nyingi kujitetea ambaye anaona ni utapeli akae kando nayo
 
Kwanini inatumika nguvu nyingi kujitetea ambaye anaona ni utapeli akae kando nayo
Pia, wewe na wenzako wana forex mnatumia nguvu nyingi kutushawishi na kutetea kuwa forex siyo utapeli. Wewe ndiye unatakiwa ukae pembeni, thread hii ni kwa ajili ya kukosoa utapeli wa forex, wala hukuitwa hapa. Nenda kaongelee faida ya forex kwenye thread zinazo wadanganya. Hapa hatuko kutetea ushuzi wako...soma hoja inasemaje! Toa shuhuda ya hasara katika forex.
 
Brother unajua kujieleza,Hongera.
 
Mmmm hasara zipo kwa kweli, ..mm nilikuwa south Africa nilishuhudia Mbaba na familia yke mzungu, aliuza nyumba akawekeza katika forex trade, alikuja kulia kama mtoto na presha alipata, haikurudi hata nusu yake ... Tena kule south Africa wameendelea, huwa wanakopesha Capital ya forex trade kwa wafanyakazi Wa serikali... Unakuwa unakatwa kila mwezi katika salary yko direct, it doesn't mater umekula au kuliwa...aisee watu walikuwa wakiliwa... Na walioclaim kula weng walisema pesa yao huwa inacheza apo apo , hakuna faida kubwa..sikubahatika kukutana na waliowin japo naamin huenda wapo
 
Maelezo mazuri sana ila ngoja Waje wenyewe hakuna rangi utaacha kuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…