FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

FOREX: Hivi hakuna shuhuda za upande wa pili? Kula hasara

kiongozi wa washikiwa akili, i Sarute ONTARIO kwa kuweza kuwashikia akili watu kwa kiwango hiki bado namkubali sana jamaa kwa hapo na ataendelea kuwashikia akili tu. Kiongozi wa washikiwa akili
Simlaumu, atawapata wengi tu majendaheka.
 
kiongozi wa washikiwa akili, i Sarute ONTARIO kwa kuweza kuwashikia akili watu kwa kiwango hiki bado namkubali sana jamaa kwa hapo na ataendelea kuwashikia akili tu. Kiongozi wa washikiwa akili

Wewe unajua nini kuhusu forex trading? Haya explain na describe kwa maneno yako siyo googling. Nakupa 15 munites.
Wewe ni nani unanipa dakika 15...Its either ignorance of some of you au roho ya husda, unaweza kuta mnafanya hio forex lakini kutokana na chuki na roho za husda nyinyi ndo wale msiopenda maendeleo ya wengine,;mnataka mfanikiwe nyinyi tu kwaio mmejiunga kikundi ili mufanikishe lengo lenu...aise niwambie tu KUNYWENI SUMU.
 
Point iliyo nifikirisha hapo ni ya serikali kuruhusu wafanyakazi wake kukopeshwa mtaji na kukatwa kidogo kidogo kwenye mishahara yao, je serikali ya bondeni nayo ni ya vilaza kama tunavyo aminishwa hapa?
Je hawajui kwamba hii ni upatu kama mnavyo elewa nyinyi wabongo?
Point iliyo kufikisha hapo ni ignorance ya kutoelewa serikali ya bondeni iko vipi na ina deal namna gani na wafanyakazi wake na wana contract za namna gani.

Kama unataka kujua kama wasauzi ni vilaza kwanini husichunguze mwenyewe badala ya kutaka kuambiwa kama unavyo danganywa kuhusu forex?

Hata kama upatu, kamali au forex serikali haiwezi kuzuia wewe husicheze. Serikali itakukopesha kulingana na mkataba. Maswala ya unatumia vipi it's your business!
 
Wewe ni nani unanipa dakika 15...Its either ignorance of some of you au roho ya husda, unaweza kuta mnafanya hio forex lakini kutokana na chuki na roho za husda nyinyi ndo wale msiopenda maendeleo ya wengine,;mnataka mfanikiwe nyinyi tu kwaio mmejiunga kikundi ili mufanikishe lengo lenu...aise niwambie tu KUNYWENI SUMU.
No right answer? Umefeli hujui forex trading ni nini na siwezi kukusaidia kwa jeuri yako!
 
No right answer? Umefeli hujui forex trading ni nini na siwezi kukusaidia kwa jeuri yako!
Sitaki.msaada wako, naijua forex, na bado naendelea.kujifunza kutoka kwa wanaojua ambao sio wanafki na wachoyo kutoa elimu waliyonayo, msaada wa majungu siutaki..najua side uliyopo kwaio tutakua tunapotezeana muda tu kujibishana
na wakati ningesha.make some dollars kwa huu muda wa kujibishana
 
Sitaki.msaada wako, naijua forex, na bado naendelea.kujifunza kutoka kwa wanaojua ambao sio wanafki na wachoyo kutoa elimu waliyonayo, msaada wa majungu siutaki..najua side uliyopo kwaio tutakua tunapotezeana muda tu kujibishana
na wakati ningesha.make some dollars kwa huu muda wa kujibishana
Unajua forex wewe? Labda unajua kuuza kahawa na maandazi mitaani kwenu!
 
Huu uzi haupingi FOREX,
kama kingereza shida mwambie aliepost atafsiri.
huu uzi unawatahadharisha watu kukimbilia kulipia service za robot ambazo zinawadanganya watu kuwa forex ni "get rich quick scheme".

na sort of mining services zinazofanya watu waone forex haiitaji knowledge kubwa.
in real sense forex inahitaji knowledge nzuri ya finance na ufuatiliaji wa masoko ya currency za kimataifa.

Wanaforex wanafuatilia mpaka wanasiasa wa kimataifa maan ando watu wanaoweza kuathiri uchumi wa mabara tofauti kwa maneno yao tu.

Huu uzi haupingi FOREX, ila majority hamjaulewa, upitieni kwa makini.
 
Huu uzi haupingi FOREX,
kama kingereza shida mwambie aliepost atafsiri.
huu uzi unawatahadharisha watu kukimbilia kulipia service za robot ambazo zinawadanganya watu kuwa forex ni "get rich quick scheme".

na sort of mining services zinazofanya watu waone forex haiitaji knowledge kubwa.
in real sense forex inahitaji knowledge nzuri ya finance na ufuatiliaji wa masoko ya currency za kimataifa.

Wanaforex wanafuatilia mpaka wanasiasa wa kimataifa maan ando watu wanaoweza kuathiri uchumi wa mabara tofauti kwa maneno yao tu.

Huu uzi haupingi FOREX, ila majority hamjaulewa, upitieni kwa makini.
Kilichoandikwa ndio hicho ulichosema ila hilo halikua dhumun la mleta mada, tunamfaham vizuri sana humu na hii ni ID yake ya pili...
 
Mod msitoe wala kuunganisha uzi huu,hii ni taarifa huru.

Kwa wote mnaendelea kuifuatilia Biashara ya Forex Trading kama ilivyotambulishwa na ndugu [HASHTAG]#Ontario[/HASHTAG] humu JF na sasa kuonekana inashika kasi nimeoona si vibaya tukashirikishana hili.

Nimejaribu kutembelea Website ya moja kwa moja ya FXTM na kufanya usajali wa awali, katika hatua hizo nilibahatika kupata number ya simu na kuchart nao ,bad luck majibu waliyonipa yalikua negative. Kwa kifupi niliwauliza kama wanajua kinachoendelea TZ , direct walisema hawajua lolote na hawana taarifa zaidi juu ya biashara yao nchini TZ .

Sina lengo la kurudisha biashara hii nyuma ila pia ni vyema tukawa wachunguzi wa mambo katika hatua za awali.

Kwa muda wako unaweza kutembelea site link hii hapo chini na kama hutotaka kufika huko Number waliyonayo kwenye Site hiyoo ni +447593612469.

Wapo verry active katika kureply lolote utakalowauliza kuhusu Biashara yao.
(Majibu mtakayopata yatatusaidia kukusanya dots na kujua hiki kinachofanyika kwetu kipo katika status ipi ya uhalisia wa biashara husika).





Forex Trading with FXTM
Kwanini ucngewapigia jp markets, wao wana wateja kibao tz
 
Wangeeka tuzo za wachukiaji bongo kuna watu wana vipaji, Mara chenga Mara no network, mnaropoka vitu havielewek [emoji23]
Gari ishawaka zamaaaaaan mwendo wa pips tu halla
Umeonaa long bullishit na short technical trading
 
Bwana Ontario mpaka sasa keshaingiza million 50 za training,anasema tayari ashatrain watu 350 kwa sh 150,000 piga hesabu...na hapa ndio watu wanapopigwa. Only 1% of new traders tend to be successful.
Training za watu wa mwanzo zilikuwa tsh 65,000 na sasa na sasa ni Tsh 130,000/= acha kudanganya watu
 
Back
Top Bottom