Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
FOREX ni biashara ya fedha za kigeni mkuu inafanyika Dunia nzima Ila Online FOREX mimi binafisi sina uelewa nayo sana ingawa kwa sasa nasoma sana so far kuna vitabu nime down load na kuna machapisho.
Baada ya kumaliza kusoma nitajua
Na FOREX ni
okey soma vitabu then ndiyo uje uanzishe thread zako naamini kutakuwa hakuna utata tena.