OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Bro huo mchongo tushee pamoja kama vipi ..niko tayari mkuu fanya kweliRoho mbaya haijengi bro now nimetoka kupewa mchongo wakuingiza japo 15000 per dayView attachment 1296397
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mim bado ni beginner mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makonki wakina Linko, Mel RTC wako furesh wacheki ..mim naeza kukupoteza na ndo kwanza nmemaliza chuo tu apa juz katiMzee mwenzangu wa Chelsea inabidi nirudi arusha unifundishe forex aisee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa kama Mimi ni multichannel trader!!!Kuna watu wana cheza na auto channel na stochastic ya 5,3,3 pamoja na MACD na wana fanya vizuriii ni ku master tu. KweliiView attachment 1295159
Sent using Jamii Forums mobile app
Time frame ipi. Hiyoo si channel surfer auto treandline au.NZDCHF H1 BEFORE AND AFTER
ANALYSIS ILIFANYIKA JANA LEO NIMECHUKUA CHANGU!!!View attachment 1296466View attachment 1296467
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ushamba mkuu izo 1.6$ mbona ela ya mboga tu iyo ..tafuta kitu inaitwa VIX75 au Volatility Index 75 ..baba zikitembea pips 10 kwa lot ya 0.10 au 0.20 una sio chini ya dollar 700$+ ...
NB: mim financial market ni part time business.
Sent using Jamii Forums mobile app
Noo mkuu biashara ni kama kiti cha daladala wakati wewe unaondoka mwingine anakuja kukaa.hii michezo ya kibet unaiwezea sana jarbu kuendelea nayo maana kusuka mkeka afu unakula 8m sio ktu cha mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
sure, sehemu ww umepachoka mwingine anatamani angekuwa hapo. Kama hapo ww unajiona loser sisi tunakuona winner.Muda huu kuna mtu anauza tractor kilimo kimempasua mwingine now ananunua mbegu akaanze kilimo hayo ndio maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo bro mambo yanabadilika sana.sure, sehemu ww umepachoka mwingine anatamani angekuwa hapo. Kama hapo ww unajiona loser sisi tunakuona winner.
hayo mambo kuna muda mpaka akili kama inastaki.Ndio hivyo bro mambo yanabadilika sana.
Yaani ilifika mahala nikiwa tu na dola 100,
Ni full ku trade lazima nifunge na profit hata dola 40 per day
Lakin mpaka sasa nimepata na mtaji mkubwa lakini
Sijaweka hata cent 5 naangalia tu
Sent using Jamii Forums mobile app