Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu


According to your definition of good business, Je unawasemeaje akina warren buffet na Soros ambao hawatoi servise wala kuuza bidhaa? Je wao hawafanyi biashara nzuri?
 
According to your definition of good business, Je unawasemeaje akina warren buffet na Soros ambao hawatoi servise wala kuuza bidhaa? Je wao hawafanyi biashara nzuri?
When you talk about business, you must offer either a service of a product with monetary exchange for modern businesses. Na ili kile unachokiuza kinunuliwe, lazima kihitajike na kundi fulani la watu, ndiyo maana nikamshahuri rafiki yangu kuwa si lazima atafute biashara ya kuuza bidhaa, anaweza kuuza hata huduma.
Na ukweli ni kwamba, kama biashara yako haina utatuzi wa changamoto kwa kundi ulilolenga haiwezi kuwa biashara nzuri maana itakufa tu. Ili iwe biashara nzuri lazima wale ulowalenga kama wateja wako wawe tayari kulipia kile unachokiuza na ili walipe lazima bidhaa au huduma yako iwe na uwezo wa kutatua changamoto walizonazo.
Nahisi utakuwa na miss interpretation ya huduma ndiyo maana ukatoa mfano wa Buffet wakati huyo Buffet unayemsemea ana makampuni zaidi ya 6 anayoendesha sasa sijapata Logic ya swali lako.
 
Daa asee wee kiazi unajua unachekesha sana

Sasa mimi hiyo 2009 inanisaidia nini

Mimi nakwambia wewe ni mjinga unasema eti 2021 mtabaki 100 kadanganye hao mafala wenzako sio mimi

Kifupi hata ungekuwa umeenza BC mimi forex huna kipya cha cha kuniambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna biashara ningekushauri lkini kwa experience hiyo ngoja kwanza
 
kuna biashara ningekushauri lkini kwa experience hiyo ngoja kwanza
Mkuu shukran sana kwa moyo huo

Huu uzi ni wa muda kidogo nilifanikiwa sana kupata ushauri wa kimawazo na connection pia

Nilifanikiwa kuanzisha biashara yangu tena kwa kushikwa mkono maana huo mtaji hapo juu ulikuwa hautoshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huduma gani buffet na soros wanatoa mkuu? Inajulikana wawekezaji na wafanya bisashara katika hisa (buffet) na hedge fund/forex (soros) ndio maana nikauliza je wao hawafanyi biashara nzuri kwa mujibu wa definition yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ushauri mzuri sana

Nitaufanyia kazi japo kwa sasa nadili na bidhaa moja kwa moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Forex ni 50/50 , upande mmoja gambling upande Mwingine knowledge hii ni Kwa sababu kuna watu maalum wanaocontrol soko.....
 
Una bahati Sana,umekimbia mjini very lucky,any way nunua mazao Kama huogopi.
 
Mzee wa TOP DOWN ANALYSIS ..nakuelewa sana mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…