Mkuu Ollachuga Oc , nimejikuta nacheka sana baada ya kuona hii comment yako #19.Nimechoma 2M Jana..ushauri wenu tafadhali..[emoji25][emoji25][emoji25]
No comment Sir Ollachuga OcAcha ushamba mkuu izo 1.6$ mbona ela ya mboga tu iyo ..tafuta kitu inaitwa VIX75 au Volatility Index 75 ..baba zikitembea pips 10 kwa lot ya 0.10 au 0.20 una sio chini ya dollar 700$+ ...
NB: mim financial market ni part time business.
Sent using Jamii Forums mobile app
ScreenshotNimechoma 2M Jana..ushauri wenu tafadhali..[emoji25][emoji25][emoji25]
Una roho ya aina gani wewe?Nafurahi Sana forex kuwapiga hasara watu kibao walio ivamia Kama uvamimizi wa nzige... Watu waliingia kwa mihemko wakapigwa hasara za hatari.
Kwasasa Hali imetulia tuliiii, webaki wakongwe kazi zinaendelea Kama kawaida. Nawaomba nyie vijana na wapenda kufanya kila fursa mnayoisikia. Kuwa kabla ya kufanya Kitu chochote fanyeni uchunguzi wa kina.
Nina amini mpaka 2021 forex Trader wa ukweli Tanzania nzima hawatafika 100.
Asante Mungu kwa kutuondolea takataka kwenye industry yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] smileNjoo ujifunze biashara rahisi kwa mtaji mdogo sana wa kuanzia 23,000/=Hadi uwezo wako ,Cha muhimu jiunge kupitia Link [emoji116][emoji116][emoji116]
Smile [emoji16] Smile[emoji1241]
Umekosea ungemuuliza unajihusisha na nini ??Mkuu ulishawahi kujihusisha na forex trading?
Sijawahi.Mkuu ulishawahi kujihusisha na forex trading?
Umekosea ungemuuliza unajihusisha na nini ??
Haupati mahusiano yeyote au kariba kati ya FX na "Ponzi scheme"?Sasa kwann unasema ni ponzi scheme.? Mkuu au hufaham maana ya ponzi/pyramid scheme?
Ndio mkuu, ndio maana kwanza nilianza kukuuliza swali pengine nikajua hujui unachokizungumzia.Haupati mahusiano yeyote au kariba kati ya FX na "Ponzi scheme"?
Ndio mkuu, ndio maana kwanza nilianza kukuuliza swali pengine nikajua hujui unachokizungumzia.
Unajua unaposema tu neno ponzi scheme. Lazima ihusishe group of people ambao wako katika stream fulani ili biashara ifanyike. Nitofauti kabisa na forex ambayo huitaji mtu yoyote bali wewe mwenyewe.
Hitajio lako Biashara halishi au pesa??Sasa una "trade" nini?
Biashara halisi ni "three P's" People,process to product. Sasa FX unatrade nini kwa nani?
Unajua maana ya "upatu"?
Sijakuelewa bossHitajio lako Biashara halishi au pesa??
Mkuu kwenye forex tunatrade commodities karibia zote maize, cassava, gold, oil, crude oil, cotton ,SilvaSasa una "trade" nini?
Biashara halisi ni "three P's" People,process to product. Sasa FX unatrade nini kwa nani?
Unajua maana ya "upatu"?