Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Bro mim na umri kama wako na nilipoteza pesa 1.2million ilipotea hivihiv sikirudisha hata 100 mkuu sikuvuna faida yake hata theluthi.. huwa sitak hata kukumbuka na wala sijawahi kumsimulia mtu yoyote wa karibu kwakua nataka nisahau...
Ila nimejifunza kuwa hakuna pesa rahis na sasa imenijengea kitu kimoja cha kutokumuamin mtu yoyote... Kuwa makin usije kupoteza na hiyo pesa uliyoipata kwa ushawish ambao ni mbovu.
Ila nimejifunza kuwa hakuna pesa rahis na sasa imenijengea kitu kimoja cha kutokumuamin mtu yoyote... Kuwa makin usije kupoteza na hiyo pesa uliyoipata kwa ushawish ambao ni mbovu.