Forex imenifilisi, naomba ushauri wa biashara ya kufanya kwa mtaji huu

Hata ukiweka position moja tu ya 0.02 kwenye 4hr au daily pia utachoma akaunti?
Ishu Ni kuwa stop loss utaweka tight Sana, na price huwa inacheza Sana, Sasa ikicheza kidogo tu ndio position Ina close unapata hasara

Nadhani dola 100 mtu uwe scalper tu
 
Kwa pesa iyo kama utaweza nunuwa gari ndogo ufanye uber nadhani biashara hii itakupa muda wa kutosha uku ukiendelea kupiga forex ,ist,vitz, used itakufaa
 
Ishu Ni kuwa stop loss utaweka tight Sana, na price huwa inacheza Sana, Sasa ikicheza kidogo tu ndio position Ina close unapata hasara

Nadhani dola 100 mtu uwe scalper tu
Kwani stop loss inaweza kuwa sawa tu na yule anayetrade na standard lot (1.0 lot). Kinachotofautisha kiasi unachorisk ni lot size unayoitumia. Chukulia kwamba tunatrade pair ya usd/jpy mimi na dolla mia nikiweka stop loss ya 30 pips kwa lot size ya 0.02 ina maana kama trade ikieenda vibaya nitapoteza roughly 6usd lakini wewe mwenye 1000usd+ ukiweka stoploss ya 30 pips na lot size ya 1.0 utapoteza 300 usd. So issue siyo stoploss pekee bali lot size pia unayotumia kutrade upatoze hela.
 
Kuwa scalper kwa 100usd ni kupoteza muda tu. Scalpers unatakiwa kuwa na mtaji mkubwa kibongobongo kama 1000 usd au zaidi maana scalpers wengi wanatarget kupata pips kati ya 10-30 kwa kila trade hivyo ukiwa na mtaji mkubwa utakuwezesha kutrade lot kubwa na kupata profit kubwa ndani ya muda mfupi hiyo ndiyo maana halisi ya scalping.
 
Scalpers unatakiwa kuwa na mtaji mkubwa kibongobongo kama 1000 usd au zaidi maana scalpers wengi wanatarget kupata pips kati ya 10-30 kwa kila trade hivyo ukiwa na mtaji mkubwa
#1. Swala sio mtaji katika scalping, Waweza ukawa na $100 na ukafanya vyema na pia waweza kuwa na $1000 ukashindwa kufanya vyema.

#2. Swala ni Entry sahihi, exit sahihi na kwa wakati sahihi katika Trading session sehihi husika.

Hii namba #2 ndio hutofautisha profitable trader na looser

#3. Imbalance ya pair husika kati ya seller na buyer , - Mfano hapa chini utaona USDCHF (Sell Scalping) iko vyema zaidi, pamoja na EURUSD ( Buy scalping )


---
Nina hakika point namba tatu hujanielewa kabisa.

Mfano hai: Scalping kwa 0.1 [ 5m TF ]
 
Utakuwaje fx trader kama huna system ya entry na exit? Kama huna hivyo vitu then wewe unafanya bahati nasibu. Kaka kama tayari una skills zinazotakiwa then mtaji una nafasi yake pia.

Huwezi kuniambia kwamba mwenye 10000 usd a/c anatrade sawa na mwnye 10 usd a/c kwa maana ya profit watakyoipata. Huwezi kulinganisha genge na supermarket kwa profit. The higher the investment the higher the return!
 
Forex trading usiingilie Kama hunaelimu yake,tafuta Ada kasome elimu ya forex trading njoo u trade, la sivyo njoo DM nikupeleke group la Mafunzo la Forsage desensitized platform.
 
Forex is not getting reach quick thing chief inahitaji kusoma, kujifunza nakufanya practise yakutosha before kuinvest kiasi kikubwa cha pesa. Overal ukiwa mtu wavkuhitaji kupata hela chap chap aisee forex itakufanya kitu mbaya uta burn account kila saa
 
Kwa wale wapenzi wa Crude Oil , ni mwendo wa ku buy tuu. hii ndio faida ya ku trade bidhaa zinazotabirika uelekeo wake
 
weka hadi hiyo pesa vizuri hadi miezi miwili ijayo halafu nunua mazao hasa yale yasiyo haribika haraka na soko lake liko juu kila wakati .
 
 
Kubeti nakushauri usiache uzuri mtaji unao betia mtaji mkubwa kama 200k na kuendelea nilikuwa na mtaji wa 100k wa kubetia aisee kwa week mbili tu nilisha mla muhindi 4M[emoji23][emoji23][emoji23] ila mpaka sasa sijui nini kimenotokea nime liwa pesa yote sasa nina 1200M tu
 
Hahaha pole chief ulikuwa unacheza option gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…