Sivan
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 923
- 1,228
Aisee nenda shule ujifunze kusoma.Sijakuelewa boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nenda shule ujifunze kusoma.Sijakuelewa boss
Hitajio lako Biashara halishi au pesa??
Mkuu kwenye forex tunatrade commodities karibia zote maize, cassava, gold, oil, crude oil, cotton ,Silva
Pia tunatrade currencies zoote usd,gbp, rand, euro etc
Kwenye stock market kuna vitu vingi asee siwezi andika vyote ebu ukipata nafasi jaribu kutembelea tovuti ya DSE usome kidogo kuhusu share,government bond, cooperate bonds,
Pia huku unaweza jihusisha kununua vipande vya makampuni makubwa mfano vodacom,crdb apple, Facebook, cocacola, Nike
Biashara sii tu kuchukua nyanya point A na kuziuza point B dunia inaenda kasi sana mkuu
Sawa boss nitarudi chekechea.Aisee nenda shule ujifunze kusoma.
Utuone kwani sisi ma Daktari.Asante sana kwa kunielimisha mkuu.
Kwa iyo nikitaka ku "trade" hati fungani niwaone?
Nenda Dar es salaam stock of exchange. Pia kama unapesa nyingi waweza wekeza kwenye vipande vya serikali. BOT wanatoa data za hayo maswala kila wiki unaweza pia watembelea ukapata data zaidi.Asante sana kwa kunielimisha mkuu.
Kwa iyo nikitaka ku "trade" hati fungani niwaone?
Sawa mkuu.Hapana Mku
Utuone kwani sisi ma Daktari.
Aya.Sawa mkuu.
Silipi.Lipia Tangazo
Me nna interest zangu na nna sehemu zangu nnazojifunza. Forex noxSio kweli mkuu, pia wewe unaweza kujifunza ,elimu haina mwisho
Yah nime-recover mzeebaba arakati lazima zisonge. Ni kutuliza tu akili ndugu[emoji1666][emoji1666]Mkuu Ollachuga Oc , nimejikuta nacheka sana baada ya kuona hii comment yako #19.
all in all naamini, ume-recover na biashara inaenda vizuri.