mabroka wa forex wote ni sawa, hawana hela wanatakq kuchimba ela kwenuMwambie atumie brokers ambao wako strongly regulatory agencies na mamlaka like asic or FSA
Na sie tunataka kupakua hela kwaomabroka wa forex wote ni sawa, hawana hela wanatakq kuchimba ela kwenu
huezi sasa, You cant bet on the future ukiwa na uhakika! just work hard on something else broka hutamweza na ata akiona mmekua wengi anafunga withdrawal kwahio acha kupoteza mdaNa sie tunataka kupakua hela kwao
๐ ๐ ๐ ngoja nicheke tumimi navojua forex tuanyofanya ipo hivi;
we buy and sell contracts called lot size through currency pair, hatununui sarafu yoyote, hii inaitwa CFD sasa hapa kuna kitu kinaitwa leverage, hii imewekwa kama gear tu ya gari, so tunabet mwelekeo wa price wa sarafu mbili katika pait moja, ukipatia broker anakulipa fedha either kutoka kwa account kupitia mtaji wake au mapato kwa account zilizoungua na si kwingine.
so hapa hakuna cha kubadilisha sarafu, we bet price movements through platform called mt4 or mt5.
we don't trade we speculate the movement of price of financial instruments na ndicho nafanya mimi.
kupata fedha kupitia mt5 or mt4 inawezekana hata mimi ni shuhuda nimewahi kupata na kupigwa pia.
tunachofanya ni probability business kati yangu na broker kila mtu anamuwinda mwenzake kumchapa.
mimi nafanya na bado nitaendelea kufanya.
now nimetoka kubet kwa broker wa kawaida now nipo na business model nyingine ya "prop firm" ndio napambana nimchape mzungu mtaji wake wote.
sema nimewahi wauliza benki ya equity kuhusu uhalali wa fedha itokanayo na forex wakasema wanaijua haina shida unaweza withdraw tu hakuna shida nikauliza hata 100k USD? wakasema hakuna shida kikubwa documents ziwepo tu, nimewahi withdraw kama mala tatu hivi benki hawakunisumbua, maana walianiambia kuhusu kodi wanalipa wao.
sasa ndungu zangu tuendelee kubet masoko ya fedha, let do financial instruments speculation.
unaweza changia tu,kucheka tu haisaidii๐ ๐ ๐ ngoja nicheke tu
umekuja umechelewa tushaelezea mpaka tushachoka, sjui kwann mna vichwa vigumuU
unaweza changia tu,kucheka tu haisaidii
basi haina shida mkuuumekuja umechelewa tushaelezea mpaka tushachoka, sjui kwann mna vichwa vigumu
UNA UHAKIKAHabari Leo tunazungumzia Forex na Aviator Game na Siri zake zenye kufanana zilizopo nyuma ya pazia.
Forex kama Aviator imebuniwa makusudi kumpa mmiliki faida.
Kivipi inampa faida..
Forex Server huwa inatizama sokoni katika muda husika ni watu wangapi walioBUY au SELL. kisha Statics za Forex Automatic hukimbilia kwenye upande ambao una faida kwa mmiliki. Mfano. Ikiwa USD 50000 imekuwa Placed kwenye SELL na Na USD 20000 Imekuwa placed kwenye BUY Basi System itawapa walioSELL.
WalioSELL bila ya wao kujua watajua, Forex ni real maana imewapa pesa bila kujua kuna watu wengine mahali fulani wanalia machozi ya damu.
Hivyo kila unapoona statics ya forex inapanda au kushuka ujue kuna inamimina pesa kwa Mmiliki.
Nadhani nimeeleweka.. Bye.!
UNA UHAKIKA
๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐???
๐ ๐จ๐ซ๐๐ฑ ๐ง๐ข ๐ค๐ข๐๐ฎ๐ฉ๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐๐ก๐ ๐ง๐๐ง๐จ ๐๐จ๐ซ๐๐ข๐ ๐ง ๐๐ฑ๐๐ก๐๐ง๐ ๐ [๐ฆ๐๐๐๐๐ข๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐๐ง๐จ ๐ฒ๐ ๐๐๐๐ก๐ ๐ณ๐ ๐ค๐ข๐ ๐๐ง๐ข ๐๐๐ข๐ง๐ ๐ฒ๐ ๐ง๐๐ก๐ข ๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ง๐ ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐]. ๐ ๐จ๐ซ๐๐ฑ ๐ง๐ข ๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ค๐ฎ๐๐ฐ๐ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐๐ฎ๐ง๐ข๐๐ง๐ข ๐ง๐ ๐ฆ๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ค๐จ ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ง๐ข ๐ญ๐๐ค๐ซ๐ข๐๐๐ง๐ข ๐ญ๐ซ๐ข๐ฅ๐ข๐จ๐ง๐ข ๐.๐$ ๐๐จ๐ฅ๐ ๐ณ๐ ๐ค๐ข๐ฆ๐๐ซ๐๐ค๐๐ง๐ข.
๐๐๐๐ ๐๐ ๐ ๐๐๐๐
๐๐ฎ๐ง๐ ๐๐ข๐ง๐ ๐ฆ๐๐ข๐ฅ๐ข ๐ณ๐ ๐๐จ๐ซ๐๐ฑ
๐.๐๐๐๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐๐จ๐ซ๐๐ฑ
๐. ๐๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐๐จ๐ซ๐๐ฑ
๐๐ ๐ง๐๐ง๐ข ๐๐ง๐๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ ๐๐๐๐
๐.๐๐๐ซ๐ข๐ค๐๐ฅ๐ข
๐.๐๐๐ค๐๐ฆ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ข ๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐๐ฐ๐
๐. ๐๐๐ง๐ค
๐. ๐๐ฎ๐ซ๐๐๐ฎ ๐๐ฑ๐๐ก๐๐ง๐ ๐
๐.๐ฐ๐๐ฎ๐ณ๐๐ฃ๐ข ๐ฐ๐ ๐ซ๐๐ฃ๐๐ซ๐๐ฃ๐
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐..?
โข๐๐๐๐๐๐ [๐ก๐๐ฉ๐ ๐ข๐ง๐๐ก๐ข๐ญ๐๐ฃ๐ข ๐ฎ๐ณ๐จ๐๐๐ฎ ๐ค๐ฎ๐๐ง๐ณ๐ข๐ ๐ฆ๐ข๐๐ณ๐ข ๐ ๐ฆ๐ฉ๐ค๐ ๐ฆ๐ข๐๐ค๐ ๐]
โข๐๐๐๐ [๐ก๐๐ฉ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ก๐ข๐ญ๐๐ฃ๐ข ๐ฉ๐ข๐ ๐ฆ๐๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐จ๐ฆ๐ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ ๐๐ฎ ๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ญ๐ซ๐๐๐ข๐ง๐ ]
โข๐๐๐๐๐๐๐ [๐ฆ๐ญ๐๐ฃ๐ข ๐ฎ๐ง๐๐ก๐ข๐ญ๐๐ฃ๐ข๐ค๐ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ฉ๐ข๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐ฐ๐ ๐ฆ๐ญ๐๐ฃ๐ข ๐ฆ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐ญ๐๐ง๐ ๐๐ง๐๐ณ๐ ๐ฉ๐๐ฌ๐ ๐ง๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข]
โข๐๐๐๐๐๐ [๐ง๐ข ๐ฌ๐ฒ๐ฌ๐ญ๐๐ฆ ๐ข๐ง๐๐ฒ๐จ๐ค๐ฎ๐ฎ๐ง๐ ๐๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ฐ๐๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ฅ๐ ๐ญ๐ซ๐๐๐ข๐ง๐ ๐๐ฎ๐ฌ๐ข๐ง๐๐ฌ๐ฌ ๐ฆ๐๐๐ง๐จ ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ง๐ข ๐๐ฑ๐ง๐๐ฌ๐ฌ, ๐๐๐ซ๐ข๐ฏ ๐๐ญ๐]
.
๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐ง๐ข ๐ ๐๐ญ๐ข ๐๐ฆ๐๐๐ฅ๐จ ๐ฅ๐ข๐ง๐๐ฐ๐๐ฌ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ฐ๐๐๐๐ง๐ฒ๐๐๐ข๐๐ฌ๐ก๐๐ซ๐ ๐ฐ๐ ๐ซ๐๐ฃ๐ ๐ซ๐๐ฃ๐ [๐ซ๐๐ญ๐๐ข๐ฅ ๐ญ๐ซ๐๐๐๐ซ๐ฌ] ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ณ๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ ๐๐๐๐ก๐ ๐ณ๐๐จ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ฅ๐ ๐๐จ๐ซ๐๐ฑ. ๐๐ ๐ก๐๐ฉ๐ ๐ญ๐ฎ๐ง๐๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ ๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐๐ข๐ฅ๐ ๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐ก๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐ข ๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐ข๐๐ฌ๐ก๐๐ซ๐ ๐ฒ๐ ๐๐จ๐ซ๐๐ฑ ๐๐ ;Windsor-broker ๐ ๐ฑ๐ฉ๐๐ฌ๐,๐๐๐ซ๐ข๐ฏ๐,๐๐ฑ๐ง๐๐ฌ๐ฌ,๐ฆ๐ญ๐,๐ฆ๐ญ๐ ๐ง๐ค
๐๐ฐ๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ ๐ค๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐จ ๐ฆ๐ฎ๐ก๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐๐๐ข๐ง๐ ๐ฒ๐ ๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ฅ๐ ๐๐จ๐ซ๐๐ฑ ๐ง๐ ๐ซ๐๐ญ๐๐ข๐ฅ ๐ญ๐ซ๐๐๐๐ซ.
๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐ก๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ค๐๐ณ๐ข ๐๐ข๐ฅ๐ ๐ฆ๐ข๐ฉ๐๐ค๐ ๐ง๐ ๐ก๐ฎ๐ฐ๐ ๐๐ฆ๐๐ฌ๐๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ฌ๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ค๐ ๐ฒ๐๐ง๐๐ฒ๐จ ๐ฌ๐๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐ฆ๐จ๐ฃ๐ ๐ฐ๐๐ฉ๐จ ๐ง๐ข ๐ฌ๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ค๐ ๐ฅ๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ [๐๐๐] ๐๐ฆ๐๐๐๐ฅ๐จ ๐ก๐ฎ๐ฌ๐๐ฃ๐ข๐ฅ๐ข ,
๐๐๐ฉ๐จ๐ค๐ฎ๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐ง๐ฃ๐ข๐ ๐ง๐ฒ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ณ๐ข๐ง๐๐ณ๐จ ๐ฆ๐ง๐ฎ๐๐๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐ฆ๐จ๐ฃ๐๐ฐ๐๐ฉ๐จ ๐ง๐ข ๐ก๐ฎ๐ง๐ฎ๐๐๐ข๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐ ๐ฌ๐๐ซ๐ฏ๐ข๐๐ ๐๐ก๐๐ซ๐ ๐๐ฌ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐ข๐๐ฌ๐ก๐๐ซ๐, ๐ก๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ ๐ค๐๐๐ข๐ซ๐ข ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ง๐ ๐ข ๐ง๐๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ ๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐ก๐ฎ๐ฉ๐๐ญ๐ ๐๐๐ข๐๐ ๐ณ๐๐ข๐๐ข. [๐ก๐๐ฉ๐ ๐ญ๐ซ๐๐๐๐ซ ๐ข๐ง๐๐ค๐ฎ๐ฉ๐๐ฌ๐ ๐ค๐ฎ๐ ๐ง๐ ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐ ๐ณ๐ข๐๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐ซ๐จ๐ค๐๐ซ ๐ฒ๐ฎ๐ฉ๐ข ๐ฌ๐๐ก๐ข๐ก๐ข ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐๐ง๐ ๐ง๐ ๐ฌ๐ญ๐ซ๐๐ญ๐๐ ๐ฒ ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ฌ๐จ๐ค๐จ ๐ฎ๐ง๐๐ฒ๐จ๐ญ๐๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐จ๐ซ๐๐ฑ]
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ here we go againhuezi fanya forex kwa broker bali unaweza fanya betting kwa broka, hizo figures za $6.6 trillion daily volume hazina ukwel kwa sababu hakuna central point inaohesabu exchange zilizofanyika kwa sku
- kwa broka kuna stocks, currencies, oil hizi sio fedha so hakuna forex kwa broka bali utapeli kwa jina la forex
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ here we go again
๐๐๐ before its too late for what Exactly? And ula assume am just a noob in this business? ๐๐๐
hakunaga profitable trader unless unatrade using complex softwares or you have very secretive informations, if your outside this then ata usipoteze mda๐๐๐ before its too late for what Exactly? And ula assume am just a noob in this business? ๐๐๐
๐๐๐๐ oh! Really my man keep up the mindset it is really helpfull ....hakunaga profitable trader unless unatrade using complex softwares or you have very secretive informations, if your outside this then ata usipoteze mda
because you thought i was dumb, i have worked for alot of hedge funds and i can confidently tell you, NO ONE HAS EVER MADE MONEY FROM CHARTS AND THERE WILL NEVER BE ๐๐, you included, na data zote zpo๐๐๐๐ oh! Really my man keep up the mindset it is really helpfull ....
Although
I agree with you on the second part about complex softwares and secretive information though .
Wewe ni muongoHabari Leo tunazungumzia Forex na Aviator Game na Siri zake zenye kufanana zilizopo nyuma ya pazia.
Forex kama Aviator imebuniwa makusudi kumpa mmiliki faida.
Kivipi inampa faida..
Forex Server huwa inatizama sokoni katika muda husika ni watu wangapi walioBUY au SELL. kisha Statics za Forex Automatic hukimbilia kwenye upande ambao una faida kwa mmiliki. Mfano. Ikiwa USD 50000 imekuwa Placed kwenye SELL na Na USD 20000 Imekuwa placed kwenye BUY Basi System itawapa walioSELL.
WalioSELL bila ya wao kujua watajua, Forex ni real maana imewapa pesa bila kujua kuna watu wengine mahali fulani wanalia machozi ya damu.
Hivyo kila unapoona statics ya forex inapanda au kushuka ujue kuna inamimina pesa kwa Mmiliki.
Nadhani nimeeleweka.. Bye.!