IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Hivi MO atakuwa ni trader ee?Kwahiyo nyie mnaoshinda karume kusakua mitumba ya kuuza mtaani mnamzidi huyu bilionea akiliView attachment 1895495
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi MO atakuwa ni trader ee?Kwahiyo nyie mnaoshinda karume kusakua mitumba ya kuuza mtaani mnamzidi huyu bilionea akiliView attachment 1895495
Inategemea na mtaji alionao!Kwa lot size unayotumia(0.88) hapo una 15 pips profit, win to loss ratio unayotumia ni ngapi boss? Let me assume unatumia 2:1 yaani hapo kama hizo 15pips ndo expected profit uliyokuwa unategemea basi stop loss yako ilipaswa kuwa 7 pips down the opening price. Don't you see this is completely gambling
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Nipo darasani, kutafuta maarifa hasa kuhusu cryptocurrency + blockchain technology na sio dhambi kujifunza kama una nafasi na muda, bangi kulimwa sio kwa ajili ya kuvuta tu kuna matumizi ya bangi zaidi ya kuvuta ni kwa ajili ya matibabu.UNASHINGAPI KWENYE ACCOUNT YAKO ILIOTOKANA NA FOREX? UNATAKA BANGI IRUHUSIWE KULIMWA UPO TAYARI PIA NA USHOGA URUSIWE NA KUTOA MIMBA
Unajitambua wewe MkuuSkia Bado Hujakua , Kama wewe Ni Mtu Mzima Basi Sio Mzima Kiakili. Kama ni mzima kiakili Basi Hujajitambua
Fu_k off, we are not on the same level bustardDuh ! Hivi leo utakumbuka kusali kabla ya kulala au ndo utalala kama ng'ombe
Jifunze Coding ndo njia nzuri ya kupiga pesa online bila hata ya kuajiriwa, maswala ua ku-bet na forex na bitcoin waachie ma
forex yatu ni miktaba ya fedha inayokusaidia kubet au kupredict direction ya soko lafedha na kunufaika na mabiliko ya prices, pasipo kumiliki , soko linaendeshwa na ECN network, ambapo wewe unabet kile kinachotokea kwenye huo mtandao wa ECN, kubet ni kutabiri , ni probabilityKuna wanao sema FOREX = BETTING. Muhimu tuendelee kutafuta taarifa na kujifunza zaidi haya ni mapinduzi kwenye sekta ya fedha tusibaki nyuma kama ilivyotokea kwenye suala la kilimo cha bangi na chanjo za covid-19
View attachment 1896183
mkuu nani huyo?Kwahiyo nyie mnaoshinda karume kusakua mitumba ya kuuza mtaani mnamzidi huyu bilionea akiliView attachment 1895495
Jifunze Coding ndo njia nzuri ya kupiga pesa online bila hata ya kuajiriwa, maswala ua ku-bet na forex na bitcoin waachie ma
forex yetu ni mikataba ya fedha inayokusaidia kubet au kupredict direction ya soko la fedha na kunufaika na mabadiliko ya prices, pasipo kumiliki sarafu mkononi , soko linaendeshwa kupitia ECN network, ambapo wewe unabet kile kinachoweza tokea kwenye huo mtandao wa ECN. kubet ni kutabiri , ni probability .Kuna wanao sema FOREX = BETTING. Muhimu tuendelee kutafuta taarifa na kujifunza zaidi haya ni mapinduzi kwenye sekta ya fedha tusibaki nyuma kama ilivyotokea kwenye suala la kilimo cha bangi na chanjo za covid-19
View attachment 1896183
Betting haina risk to reward ratio idiot
mkuu umeshaanza kutrade?? unatumia strategy gani??Betting haina risk to reward ratio idiot
Well said MKUU. Kachukue pale kwa mama John Sengerema/Serengeti light 10 bariiiiidi nitalipa nikishafunga hizi position zangu maana naona muda wa kuvuna umewadia! 😀 😀 😀Hili game ni mfano wa kundi la watu watano( hapa namanisha banks,commercial banks, hedge funds n.k), wamekaa chini wamedesign system inayopanda na kushuka( hapa namaanisha ECN network) kutokana na transactions zinazofanyika humo.
Sasa anatokea mtu wa sita anadesign na yeye system yake(hapa namanisha MT5/MT4) , kukuwezesha wewe ufanye utabiri juu ya ile system iliyotengenezwa na wale watu watano, huyo mtu wa sita anakuambia nakupa only two resources kukusaidia kufanya wewe utabiri yakinifu, moja anakupa ECONOMIC calender hii itakupa taarifa zote zitakazotokea amabazo huwa zinaaffect system ya watu wale watano , mbili anakupa CANDLESTICTCS hii itakusaidia kujua historia ya matukio yote kila sekunde moja na pia kitu gani kinafanyika sasa hivi, ila haitakupa 100% matukio gani yatafanyika baadae
Sasa wewe unaanza kutumia hizo tools mbili kufanya uchambuzi yakinifu juu ya kile kinachoendelea kwenye ile system ya watu watano, kumbuka ACTION yoyote au TUKIO lolote linalotokea kwenye ile system ya watu watano ni kwababu ya wale watu kufanya MAAMUZI kwamba system muda huu iende upande gani, sasa wewe unapewa hizo tools na yule mtu wa sita(huyu kwa picha halisi ni BROKER) uzitumie kutabiri wale watu watano watafanya nini after one second,minute,hours,day,week,month later
Sasa GAME linakuwa na ugumu unapofanya uchambuzi na kuilazimishaa system itii kile ulicho kitabiri wewe, umesahau kuwa tukio lolote linalotokea kwenye system ni kwababu ya MAAMUZI ya wale watu watano(Hapa ndo BANKS,hedge funds,commercial banks n.k) na hiyo system yao nazani inaitwa ECN network, Na system ya yule mtu wa sita ambaye ni broker nazani inaitwa MT5 or MT4.
Maswali ya kujiuliza
- Je kama wewe ni SPECULATOR do you real access the ECN network where global currencies are exchanged from one form to another, because your not exchanging real currency, your are speculationing the PRICE Movement of currencies.
- Don’t you think that there are two differentiate system operating in different ways here I mean ECN network and MT4/MT5 ,I think this mt5/mt4 designed for speculative purposes where retail traders they use it creating bets for movements of prices
- Je hujiulizi unafanya uchambuzi juu ya MAAMUZI yanayofanywa na watu wengine?? Je maamuzi unayofanya yasipotokea, what your MIND think??
- je ufanye nini in long run uwe mshindi?
Ni vitu viwili tu, vitakufanya uwe mshindi in long run moja ni RISK MANAGEMNT, mbili ni MONEY MANAGEMENT why?? Kwasababu all those they are in CONTROL, what about strategy?, ni ngumu sana kila muda kupata positive direction juu ya mwelekeo wa market kwa sababu MARKET DIRECTION is out in your CONTROL
USHAULI
Focus for all stuffs you can CONTROL and not for those which is out of your CONTROL
Thank you a lot. Naona umeshaiva na uko level Ile ya 5% wanaomeki living out of marketFX TRADING SHOULD NOT BE COMPLICATED. WITH GOOD MARKET DISPLINE EVEN MOVING AVERAGES BASED STRATEGIES CAN GIVE YOU TONES OF MONEY. MAKE YOUR TRADING STRATEGY SIMPLE.
REMEMBER FOREX TRADING IS: 90% psychology and 10% trading strategy.
GOOD DAY TRADERS!
Kumbuka trading ni Kama maisha mtu hawezi kukupa namna anavyoishi maish yake na wewe uka adapt Mana personality yako utakataa na utakuwa unaitesa.usisahau kushare strategy unayotumia
I doubt you. Kuwa wewe ni trader afu tokea huko 1900 huko. Afu unadai kuwa trading ni rahisi kweli.Forex imetembea sana kwa sababu kizazi hiki ni kile kizazi kisichopenda kutoka jasho kumake a living, ila kinapenda kulive BIG and Chop their money wherever they are....
Hakuna hata mmoja anayetrade FX utamsikia akiongelea negative side of it ila wote wanaongelea makubwa na kujiaminisha zaidi kutaja majina ya waliofanikiwa huko nje....
Kinachonipa hofu mie zaidi ni huko mbeleni tutakua na kizazi cha aina gani, yes even if kuna some money u can make, but sio kwa maisha wanayoishi vijana wa sasa....
even if its informational age, still we will need doctors to cure us, engineers to build for us etc etc. TUACHE KUPENDA N FAGILIA SHORTCUTS TU, life has never and will never be that EASY...
I am a Trader by profession tena tokea before 2010 huko, ila i do other things also....