Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

Nikiona neno gambling mtu analishutumu nagundua hajui meaning nzima ya maisha ya ulimwengu. .....everything is probability mfano hata kilimo cha mahindi ukategemea mvua ni gambling tu hata ulime kwa umwagiliaji utafanya gambling sokoni hahaha huu mfano mdogo tu but kurahisisha ni kila kitu uliwenguni tunafanya with probability utofauti wake ni risk tu and how you can manage that risk.
Unaelewa utofauti wa risk ya gambling na na biashara au kazi lkn au unahisi kla chenye risk no gambling
 
Unaelewa utofauti wa risk ya gambling na na biashara au kazi lkn au unahisi kla chenye risk no gambling
Kila kitu risk tu kiongozi kama unaishi hujui sekunde 2 zijazo Mungu atachukua uhai wako au sivyo na akiamua kuuchukua atauchukuaje ugongwe na fuso, covid au supu mchemsho wa utumbo wa mbuzi na chapati 2 ikubane koromeo [emoji23]

Sent from my SM-P901 using JamiiForums mobile app
 
Ndo mnadanganyana Ivo sio, vichwa vinakua dormant kufikiria Mambo ya msingi, Kila siku marekani wanapambana na mamlaka za hali ya hewa coz of viwanda vimekua vingi, Leo anakuja graduate mmoja anakuambia these is not industrial age.

Hao mnaowaona wamefanikiwa Wana stories behind za mafanikio yao, mfano tuu nimeona post ya Fred vunja Bei IG kua guest of honor kwnye 360 Capital inayohusu forex, kama Fred tunayemjua na maduka kibao anaenda kuelezea kuhusu online trading, mtu ambae hamjui atasema amefanikiwa kupitia forex, wngne ni kama Kiyosaki, Warren n k wote hao wana stories za mafanikio behind.
This is information age...not industrial age where you had to work hard to earn big.... working hard will only make you tired...just work smart.
 
watu wanafanikiwa kwenye forex, kwasababu hawatumii mzunguko wa pesa ulio kwenye nchii hii au unaoendeshwa na BOT, watumia pesa ya madafu then wanaiconvert kwenda currency zingne na kuizungusha kwa kutumia cashflow za nchi nyingne thus why you make money, ikiwa kubwa pesa yako baada ya kuzunguka huko inarudishwa tena nchini, kitendo cha kuibadili kuja kuwa tsh, inachukua tena asilimia kubwa ya fedha, ilyokwenye mzunguko wa nchi hii kulinganisha na mwanzo nafasi ya mzunguko iliyokuwa imechukuwa, hapa namanisha ukiwa na tsh 50000/= unakuwa kwenye pesa zote zilizokwenye mzunguko umetake nafasi ya tsh 50000/= ya pesa zote sasa hiyo pesa ukiidepost kwa broker inakuwa USD/GBP/EUR hapo unakuwa umeiamisha kutoka mzunguko wa kwanza na kuingia mzunguko mwingne wa nchi zingne, unapoispeculate na kupata faida say usd1000 , unapowithdraw kuja tena kwenye tsh, unapata tsh 2.3M, so unakuwa umeongeza nafasi yako YA KUCAPTURE kwenye mzunguko wa fedha ya ndani, yaani nafasi ya awali uliyokuwa umeshika imeongezeka hadi 2.3million,

mbinu gani umetumia??

umeona tsh50k kuinzungusha hadi 2.3m ni kazi ngumu kulingana na nature za biashara za ndani kudolola hivyo ukaamua kutumia mzunguko wa nje kuizungusha hiyo pesa yako

yaani mfano umefikilia nikiuza mitumba/mgahawa/mbogamboga/bodaboda sitoboi ni heri nitumie mzunguko wa nje ya nchi kuizungusha hiyo hela kwani ni easy kupata zaidi ila spending ya faida unaitumia ndani ya nchi badala ya nje ya nchi

kwa mzunguko wa nchi hii hakuna biashara inayokupa faida kwa siku say mbili faida mala tatu ya mtaji wako , haipo may be football betting ila kwa FOREX inawezekana
 
watu wanafanikiwa kwenye forex, kwasababu hawatumii mzunguko wa pesa ulio kwenye nchii hii au unaoendeshwa na BOT, watumia pesa ya madafu then wanaiconvert kwenda currency zingne na kuizungusha kwa kutumia cashflow za nchi nyingne thus why you make money, ikiwa kubwa pesa yako baada ya kuzunguka huko inarudishwa tena nchini, kitendo cha kuibadili kuja kuwa tsh, inachukua tena asilimia kubwa ya fedha, ilyokwenye mzunguko wa nchi hii kulinganisha na mwanzo nafasi ya mzunguko iliyokuwa imechukuwa, hapa namanisha ukiwa na tsh 50000/= unakuwa kwenye pesa zote zilizokwenye mzunguko umetake nafasi ya tsh 50000/= ya pesa zote sasa hiyo pesa ukiidepost kwa broker inakuwa USD/GBP/EUR hapo unakuwa umeiamisha kutoka mzunguko wa kwanza na kuingia mzunguko mwingne wa nchi zingne, unapoispeculate na kupata faida say usd1000 , unapowithdraw kuja tena kwenye tsh, unapata tsh 2.3M, so unakuwa umeongeza nafasi yako YA KUCAPTURE kwenye mzunguko wa fedha ya ndani, yaani nafasi ya awali uliyokuwa umeshika imeongezeka hadi 2.3million,

mbinu gani umetumia??

umeona tsh50k kuinzungusha hadi 2.3m ni kazi ngumu kulingana na nature za biashara za ndani kudolola hivyo ukaamua kutumia mzunguko wa nje kuizungusha hiyo pesa yako

yaani mfano umefikilia nikiuza mitumba/mgahawa/mbogamboga/bodaboda sitoboi ni heri nitumie mzunguko wa nje ya nchi kuizungusha hiyo hela kwani ni easy kupata zaidi ila spending ya faida unaitumia ndani ya nchi badala ya nje ya nchi

kwa mzunguko wa nchi hii hakuna biashara inayokupa faida kwa siku say mbili faida mala tatu ya mtaji wako , haipo may be football betting ila kwa FOREX inawezekana
Broker yupi anaweza kubali investment ya TZS 50,000/-?
 
Forex imetembea sana kwa sababu kizazi hiki ni kile kizazi kisichopenda kutoka jasho kumake a living, ila kinapenda kulive BIG and Chop their money wherever they are....

Hakuna hata mmoja anayetrade FX utamsikia akiongelea negative side of it ila wote wanaongelea makubwa na kujiaminisha zaidi kutaja majina ya waliofanikiwa huko nje....

Kinachonipa hofu mie zaidi ni huko mbeleni tutakua na kizazi cha aina gani, yes even if kuna some money u can make, but sio kwa maisha wanayoishi vijana wa sasa....

even if its informational age, still we will need doctors to cure us, engineers to build for us etc etc. TUACHE KUPENDA N FAGILIA SHORTCUTS TU, life has never and will never be that EASY...

I am a Trader by profession tena tokea before 2010 huko, ila i do other things also....
 
Back
Top Bottom