Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Naelewa sana. Ni kuchangamsha hadhara tu. Haya maujinga ya forex by the way utapeli wake tu.eshaudiscuss sana humu miaka mingi tangu watu waungie chaka kwa ontario kwahiyo hakuna jipya uliloleta.
Nyonzooo nyonzooo maamaee Nyonzo bin mvule Israel FOREVER whether you like it or not.

Nyoooonzooooo kammon

20240617_104327.jpg
 
Hedge fund hawawekezi bali wanatrade, buffet ni investor sio trader
Mimi nafanya forex kwa kutumia AI BOT, naingiza dola 10 sku
nmeanza na mtaji wa dola 100 kwa Sasa Nina mwezi nmeingiza dola 300.

Forex ukifanya kwa msaada wa robot AI hamna hasara wakuu ni kuvuna pesa tu.
 
Mimi nafanya forex kwa kutumia AI BOT, naingiza dola 10 sku
nmeanza na mtaji wa dola 100 kwa Sasa Nina mwezi nmeingiza dola 300.

Forex ukifanya kwa msaada wa robot AI hamna hasara wakuu ni kuvuna pesa tu.
🤣 🤣 🤣 we hata hujui kupiga kamba, hakunaga AI bot izo ni lugha za biashara na hakuna retail trading bot
 
Kuna volatility kwenye currency market sasa hivi duniani kutokana na hofu ya mdororo mkali wa kiuchumi duniani ambavyo analysts wengi manguli wa uchumi wamekuwa wakitabiri ,pia kuna indicators nyingi zina watia hafu big investors so Wana short investment zao na si currency Tu Hadi stocks ,cryptos nk , kote huko kuna kilio cha kusaga na meno , watu na kampuni za investment kubwa duniani huko zinalia kilio cha kusaga na meno tena majitu yaliyowekeza billions of dollars sembuse retail traders wewe kuloose hivyo visent ndio vinakufanya ukate tamaa ?
Ukiona unakua hivyo jua wewe hufai kuwa kwenye stocks , currency na biashara kama hizo ,we rudi kijijini kalime matikitiki .
Forex sio utapeli ,ni biashara inayohitaji akili na ufuatiliaji makini wa taarifa za kiuchumi na habari mbalimbali zinazoweza kuleta effects katika soko kwa wakati husika na kujenga uwezo wa kufanya analysis wewe mwenyewe bila mihemko .
Si mtu unategemea tu kulengesha hizo trend lines na moving average kwenye graphs halafu unajiona mwamba , wakati unatakiwa uwe vizuri pia kwenye habari maana kila habari mfano : hofu ya anguko la kiuchumi duniani na mdororo wake au mfumuko wa bei na report za uhaba wa ajira na layoffs au kufirisika Kwa makampuni makubwa ya kibiashara au tishio la vita na vitu kama hivyo ,vina direct kwenye soko ,sasa ukiwa mbumbumbu tu bila kuwa na akili ya kuconnect dots ,wewe utaishia tu kulia kilio kila siku na kusema Forex ni utapeli
 
Kuna volatility kwenye currency market sasa hivi duniani kutokana na hofu ya mdororo mkali wa kiuchumi duniani ambavyo analysts wengi manguli wa uchumi wamekuwa wakitabiri ,pia kuna indicators nyingi zina watia hafu big investors so Wana short investment zao na si currency Tu Hadi stocks ,cryptos nk , kote huko kuna kilio cha kusaga na meno , watu na kampuni za investment kubwa duniani huko zinalia kilio cha kusaga na meno tena majitu yaliyowekeza billions of dollars sembuse retail traders wewe kuloose hivyo visent ndio vinakufanya ukate tamaa ?
Ukiona unakua hivyo jua wewe hufai kuwa kwenye stocks , currency na biashara kama hizo ,we rudi kijijini kalime matikitiki .
Forex sio utapeli ,ni biashara inayohitaji akili na ufuatiliaji makini wa taarifa za kiuchumi na habari mbalimbali zinazoweza kuleta effects katika soko kwa wakati husika na kujenga uwezo wa kufanya analysis wewe mwenyewe bila mihemko .
Si mtu unategemea tu kulengesha hizo trend lines na moving average kwenye graphs halafu unajiona mwamba , wakati unatakiwa uwe vizuri pia kwenye habari maana kila habari mfano : hofu ya anguko la kiuchumi duniani na mdororo wake au mfumuko wa bei na report za uhaba wa ajira na layoffs au kufirisika Kwa makampuni makubwa ya kibiashara au tishio la vita na vitu kama hivyo ,vina direct kwenye soko ,sasa ukiwa mbumbumbu tu bila kuwa na akili ya kuconnect dots ,wewe utaishia tu kulia kilio kila siku na kusema Forex ni utapeli
nakuonea huruma sana
 
Kuna moja hy inaitwa COINSSP au SSP GRID unaanza na 35$ then unaanza kuhesabu faida yako kila siku, pia inategemea na umeweka mtaji wa sh ngapi mfano ukifikia 150$ utakuwa unaingiza 3$ kila siku, mm sasa hv nna 123$ kwa mtaji wa 35$ baada ya siku 39 hv. Kwa mtaji wa 35$ unaanza kwa kuingiza

Bado sijaanza kutoa pesa mana lengo langu n kufikisha 150$ afu nitoe 100$ then niendelee na mzunguko.
 
Kuna moja hy inaitwa COINSSP au SSP GRID unaanza na 35$ then unaanza kuhesabu faida yako kila siku, pia inategemea na umeweka mtaji wa sh ngapi mfano ukifikia 150$ utakuwa unaingiza 3$ kila siku, mm sasa hv nna 123$ kwa mtaji wa 35$ baada ya siku 39 hv. Kwa mtaji wa 35$ unaanza kwa kuingiza

Bado sijaanza kutoa pesa mana lengo langu n kufikisha 150$ afu nitoe 100$ then niendelee na mzunguko.
Haitatoka hiyo pesa
 
Ngoja waje,kuna jamaa yako yeye anaimani siku moja atatusua,model wake sir jeff
Mimi niko chimbo nachambua News kwa News, Pair kwa Pair, Chart kwa Chart kwa ufupi naivua nguo Forex nje ndani.
Yaan naona kabisa the next year will be exciting nitajipigia dollar kama mpumbavu😂
 
Nani aliyekwambia Google wanatoa majibu ya maswali yako, zaidi ya kuwa search engine tu?....huko investopedia huyo alieandika una uhakika ni trader?...au ni mlevi tu wa ulanzi kama ulivyo wewe.....yani mtu ni software developer na hujui kazi ya GOOGLE,...alafu ndo ukatengeneze brokage software?🤔🤔😅😅.. nyinyi vijana mnaojificha nyuma ya keyboard baada ya kushiba kande kwa shemeji zenu mujitafakari, JF sio TikTok ,huku kuna wenye akili...
Ukisoma between lines huyo bwana kwa namna anavyoisagia kunguni Forex hakuna namna lazima ilimchum😂
 
nilijaribu kusoma kwalengo lakuingia uko nikaacha
nikajaribu tena nikaacha
bado nilijaribu tena nikaacha na nimeacha kabisa

majaribio mawili ya mwisho ni kutokana na ushawishi wa jamaa zangu
 
Mimi na miaka 14 kwenye soko la forex ila sio mafanikio ya haraka watu wanavofikilia.nimeona malalamiko mengi hapa JF bora kueleza ukweli.

Asilimia kubwa forex ni High risk na inaweza kukuweka maskini kwa sekunde tu. Sababu kubwa kinacho changia ni watu kutokuelewa na kuwa na haraka ya mafanikio wakiona ushawishi wa mitandao ya kijamii yale mafanikio wanayo onyeshwa bila kujua uhalisia wa watu.

Ogopa sana mtu anayekwambia kafanikiwa kwenye forex alafu huyo hyo anataka kuwafundisha au kuwa tradia mkiipa pesa zenu. Watu hawa asilimia kubwa wametrade na kupoteza pesa nyingi na kuanza kutafuta kwa njia nyengine ili kupata kipato.

wanaongia kwenye forex wengi ni betting jackpot bila kujua risk management. Ili jambo linawakuta sana wanaoingia kwenye forex sababu ya kuaminishwa na matamanio wanayoelezwa kuwa utatoboa haraka.

Ukweli forex ni utapeli uliochangamka kwa wasiojua biashara hii ilivyo sababu imebebwa na tamaa za watu kutaka mafanikio. Kwa nini forex ni utapeli uliochangamka? Biashara ya forex imegeuka kuwa utapeli sababu hakuna mwenye uhakika na soko kama neno lake lilivyo Foreign exchange.

Sababu ni hipi kuonekana kuwa ni utapeli?
  • Wengi wetu sio wasomaji wa vitabu vinavyo husiana na elimu hii wanataka kufundishwa leo kesho yupo sokoni.
  • Waaminishaji na wahamasishaji ni wengi pale wanapokuonesha mafanikio yao ila hasara kuoneshwa ni ngumu.
  • Usiri wa mafanikio ya forex ni mkubwa sana kwa wachache ila ni wengi waliofeli kwenye mafanikio.
  • Mabroker wengi wamekuwa matapeli sababu hawa wapeleki sokoni hapa unatakiwa kujua ni broker gani kwako.
  • Kujiona muelewa ndani ya mda mfupi bila kutambua soko sio lako na kufeli hapo hapo.
TAHADHARI:
Hakuna chochote duniani utakacho fanya bila kukidadisi mwenyewe usitegemee mtu yoyote kukupa mafanikio sio changamoto utafeli.

Most people lose money in Forex trading, why is this? Actually numbers are following: 70% -75% of people lose money in their first year of trading!

Other 20–25 % lose money in next 5 years! (hapa srJEff ina muhusu)

And only 3–5% of all traders are profitable or not losing money.

Reason why people lose money:
  • Not following money management;
  • Do not know how position sizing works;
  • Do not have trading system;
  • Over trading!
Kitu kimoja ambacho watu Wana paswa kujua nikwamba hakuna mtu ambaye anaweza kukuletea nafuu kwenye maisha

Zaidi zaidi nikwamba anaye kuletea nafuu wewe Basi jua nayeye anaitafuta nafuu yake kupitia wewe
 
nilijaribu kusoma kwalengo lakuingia uko nikaacha
nikajaribu tena nikaacha
bado nilijaribu tena nikaacha na nimeacha kabisa

majaribio mawili ya mwisho ni kutokana na ushawishi wa jamaa zangu
Tafuta mentor
 
Back
Top Bottom