Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Hedge fund hawawekezi bali wanatrade, buffet ni investor sio trader
Mimi nafanya forex kwa kutumia AI BOT, naingiza dola 10 sku
nmeanza na mtaji wa dola 100 kwa Sasa Nina mwezi nmeingiza dola 300.

Forex ukifanya kwa msaada wa robot AI hamna hasara wakuu ni kuvuna pesa tu.
 
Mimi nafanya forex kwa kutumia AI BOT, naingiza dola 10 sku
nmeanza na mtaji wa dola 100 kwa Sasa Nina mwezi nmeingiza dola 300.

Forex ukifanya kwa msaada wa robot AI hamna hasara wakuu ni kuvuna pesa tu.
🤣 🤣 🤣 we hata hujui kupiga kamba, hakunaga AI bot izo ni lugha za biashara na hakuna retail trading bot
 
Kuna volatility kwenye currency market sasa hivi duniani kutokana na hofu ya mdororo mkali wa kiuchumi duniani ambavyo analysts wengi manguli wa uchumi wamekuwa wakitabiri ,pia kuna indicators nyingi zina watia hafu big investors so Wana short investment zao na si currency Tu Hadi stocks ,cryptos nk , kote huko kuna kilio cha kusaga na meno , watu na kampuni za investment kubwa duniani huko zinalia kilio cha kusaga na meno tena majitu yaliyowekeza billions of dollars sembuse retail traders wewe kuloose hivyo visent ndio vinakufanya ukate tamaa ?
Ukiona unakua hivyo jua wewe hufai kuwa kwenye stocks , currency na biashara kama hizo ,we rudi kijijini kalime matikitiki .
Forex sio utapeli ,ni biashara inayohitaji akili na ufuatiliaji makini wa taarifa za kiuchumi na habari mbalimbali zinazoweza kuleta effects katika soko kwa wakati husika na kujenga uwezo wa kufanya analysis wewe mwenyewe bila mihemko .
Si mtu unategemea tu kulengesha hizo trend lines na moving average kwenye graphs halafu unajiona mwamba , wakati unatakiwa uwe vizuri pia kwenye habari maana kila habari mfano : hofu ya anguko la kiuchumi duniani na mdororo wake au mfumuko wa bei na report za uhaba wa ajira na layoffs au kufirisika Kwa makampuni makubwa ya kibiashara au tishio la vita na vitu kama hivyo ,vina direct kwenye soko ,sasa ukiwa mbumbumbu tu bila kuwa na akili ya kuconnect dots ,wewe utaishia tu kulia kilio kila siku na kusema Forex ni utapeli
 
nakuonea huruma sana
 
Kuna moja hy inaitwa COINSSP au SSP GRID unaanza na 35$ then unaanza kuhesabu faida yako kila siku, pia inategemea na umeweka mtaji wa sh ngapi mfano ukifikia 150$ utakuwa unaingiza 3$ kila siku, mm sasa hv nna 123$ kwa mtaji wa 35$ baada ya siku 39 hv. Kwa mtaji wa 35$ unaanza kwa kuingiza

Bado sijaanza kutoa pesa mana lengo langu n kufikisha 150$ afu nitoe 100$ then niendelee na mzunguko.
 
Wazee wadownload pesamnaendeleaje huko daslamu ?!
 
Haitatoka hiyo pesa
 
Ngoja waje,kuna jamaa yako yeye anaimani siku moja atatusua,model wake sir jeff
Mimi niko chimbo nachambua News kwa News, Pair kwa Pair, Chart kwa Chart kwa ufupi naivua nguo Forex nje ndani.
Yaan naona kabisa the next year will be exciting nitajipigia dollar kama mpumbavu😂
 
Ukisoma between lines huyo bwana kwa namna anavyoisagia kunguni Forex hakuna namna lazima ilimchum😂
 
nilijaribu kusoma kwalengo lakuingia uko nikaacha
nikajaribu tena nikaacha
bado nilijaribu tena nikaacha na nimeacha kabisa

majaribio mawili ya mwisho ni kutokana na ushawishi wa jamaa zangu
 
Kitu kimoja ambacho watu Wana paswa kujua nikwamba hakuna mtu ambaye anaweza kukuletea nafuu kwenye maisha

Zaidi zaidi nikwamba anaye kuletea nafuu wewe Basi jua nayeye anaitafuta nafuu yake kupitia wewe
 
nilijaribu kusoma kwalengo lakuingia uko nikaacha
nikajaribu tena nikaacha
bado nilijaribu tena nikaacha na nimeacha kabisa

majaribio mawili ya mwisho ni kutokana na ushawishi wa jamaa zangu
Tafuta mentor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…