Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

I only deal with Pie network just mining as a pioneer to get some couns. Trump ameshasaini executive order kuiruhusu iingie sokoni maisha yaanze upya na mwezi march tunaanza kutrade. Hii ya hao wenhine wazee wa forex watawaibia mpaka mkome
na wewe tafuta kazi ingine ya kufanya pi haina coins, ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndo fursa
 
mwisho wa sku ni jinsi gan ulivo serioues na kazi unayotaka kama kwel unataka kufanya forex na unaweza dedicate maisha kufanya forex basi achana na mabroka kuza mtaji unaohitajika na utapata ela nzuri tu japo ela ya kuanzia ni ndefu ila rewards zake its worth it

kuhusu youtube sio field yangu ila principle za maisha ni zile zile commitment kama wapo waliofanikiwa ata wewe unaweza kufanikiwa
Mtaki ndio changamoto, kwanza mtaji kiasi gani bro? Maana ndio kwanza nimemaliza chuo nipo jobless
 
mkuu yaani mawazo yako ni kama yangu tu, mimi mwezi huu teali narudi kupambana na broker vita ni kali sana ila nitamchapa tu in long run
Trading pesa ipoo your mindset kwanza then risk management skill then methodology sahihi hafu hamna 100% labda ukaombe kazi serikalin..
 
kutrade forex halisi hautumii broker unatakiwa utrade na source husika electronically, mfano kutrade pair TSH/USD you will have to be one to one na bank of tanzania apo ikimaanisha wewe una dola unataka quick exchanges za tsh back and forth
Kwamba ukitrade na BOT hupati hasara?

Mbona kitu ni kilekile, huku kwa broker USD/TSH ikiwa 2600 na BOT ni vilevile, tofauti yake ni Leverage tu.
 
Kwamba ukitrade na BOT hupati hasara?

Mbona kitu ni kilekile, huku kwa broker USD/TSH ikiwa 2600 na BOT ni vilevile, tofauti yake ni Leverage tu.
sio sawa kwa sababu kwa broker unapewa charts benki unapewa pending transactions kwa lugha nypesi benki unatafuniwa unameza mwenyewe, however huezi tumia elimu ya kubeti kwa broka uku
 
sio sawa kwa sababu kwa broker unapewa charts benki unapewa pending transactions kwa lugha nypesi benki unatafuniwa unameza mwenyewe, however huezi tumia elimu ya kubeti kwa broka uku
Kwahio benki wanakutafunia ili uwapige hela zao, sio?!
 
Kwahio benki wanakutafunia ili uwapige hela zao, sio?!
benki hawafanya trading, wanafanya biashara ya sarafu hawafanyi forex trading, think of it this way, nmenunua dola 1 BOT kwa 1000 and wewe ntakupa kwa 1200 as simpliest as that, however banks do handle foreign reserves kwa niaba ila kufuatia masharti ya BOT

- However banks still perform all transactions digitally, so they play a great role on what the daily price of a currency will be example how needed is USD against TSH and to other currencies, there is still a long topic on how the final price of a pair such as USD/TSH is derived but this is one of the process, hence they didnt do any trading
 
Hapo ndio haeleweki hata huko Bank ni kubet, kupewa Pending Order haikufanyi ukajua asilimia 100 direction ya Pair
banks wanafanya BIASHARA ya sarafu sio TRADING
direction ya pair no one will ever known because wanaotrade volumes kubwa hawatrade kupata faida bali wana agenda tafauti, mfano lets say i want to buy a car britain, ntatoa tsh zangu tuseme 100M, alafu BOT wataiandika kama NEGATIVE ASSET and thats hows TSH was sold for USD, hii order amna anaejua inakuja because orders zpo nyingi, others are converting USD kuja TSH mwisho wa sku upande uliolemea zaidi ndo unashinda, all these are done ELECTRONICALLY

no central banks does make a profit on the forex market and thy are responsible for 90% of all the volume
 
TRADING kwa kiswahili ni Nini?

Je ukifafanya biashara ya sarafu na BOT AU BANK HUPATI HASARA?
labda nikufananilie kitu, mtu anaefanya byuro de change hafanyi trading bali anafanya biashara ya sarafu, yeye faida yake haitokani na leo dola imepanda ama kushuka bali yeye anategemea quantity ya watu kuja kwake kufanya exchange faida yake ndo inatoka apo however bado yupo affected na daily rates ila kwake sio big deal

mfano rate inaweza kushuka but as long customers keep comming basi hio loss itafidiwa, so huyu hawezi kupata hasara, pia dola ikipanda ni faida kwake however yeye rates zake ni fixed ukienda nje ya duka utakuta ameandika rates zake na zpo tafauti kabisa na rates za BOT kwa sababu anafanya biashara ya sarafu

tuje benki, hawa hawajaachana sana na byuro ila wao kila kitu kipo digital, mfano ukitaka kumtumia mtu ela kutoka tanzania kwenda uganda basi rate utayopewa ni tafauti na BOT however utapewa extra charges za kutuma,so faida yao na byuro znashabiana utafauti ni benki ana wigo mpana kwa sababu anafanya electronically na anafikia watu wengi kwa pamoja, sku izi ata mitandao ya simu ina service kama hii, hii inaitwa BIASHARA YA SARAFU


tuje kwa vijana wa kizimkazi(TRADING) unachofanya pale kwanza sio trading ni betting na pia your profit inategemea if price itapanda ama kushuka, ukizingua apo hamna sehem utaweza kurudisha ela yako, ukirudi kwenye ule mfano wa awali wa byuro utakumbuka nlisema ata kama price ikishuka as long people come and exchange ile loss itafidiwa na profit atakayopata in that day, so in simple words you cant make a loss! nadhan nmeeleweka
 
labda nikufananilie kitu, mtu anaefanya byuro de change hafanyi trading bali anafanya biashara ya sarafu, yeye faida yake haitokani na leo dola imepanda ama kushuka bali yeye anategemea quantity ya watu kuja kwake kufanya exchange faida yake ndo inatoka apo however bado yupo affected na daily rates ila kwake sio big deal

mfano rate inaweza kushuka but as long customers keep comming basi hio loss itafidiwa, so huyu hawezi kupata hasara, pia dola ikipanda ni faida kwake however yeye rates zake ni fixed ukienda nje ya duka utakuta ameandika rates zake na zpo tafauti kabisa na rates za BOT kwa sababu anafanya biashara ya sarafu

tuje benki, hawa hawajaachana sana na byuro ila wao kila kitu kipo digital, mfano ukitaka kumtumia mtu ela kutoka tanzania kwenda uganda basi rate utayopewa ni tafauti na BOT however utapewa extra charges za kutuma,so faida yao na byuro znashabiana utafauti ni benki ana wigo mpana kwa sababu anafanya electronically na anafikia watu wengi kwa pamoja, sku izi ata mitandao ya simu ina service kama hii, hii inaitwa BIASHARA YA SARAFU


tuje kwa vijana wa kizimkazi(TRADING) unachofanya pale kwanza sio trading ni betting na pia your profit inategemea if price itapanda ama kushuka, ukizingua apo hamna sehem utaweza kurudisha ela yako, ukirudi kwenye ule mfano wa awali wa byuro utakumbuka nlisema ata kama price ikishuka as long people come and exchange ile loss itafidiwa na profit atakayopata in that day, so in simple words you cant make a loss! nadhan nmeeleweka
Biashara ya sarafu kwa kiingereza inaitwaje?
 
labda nikufananilie kitu, mtu anaefanya byuro de change hafanyi trading bali anafanya biashara ya sarafu, yeye faida yake haitokani na leo dola imepanda ama kushuka bali yeye anategemea quantity ya watu kuja kwake kufanya exchange faida yake ndo inatoka apo however bado yupo affected na daily rates ila kwake sio big deal

mfano rate inaweza kushuka but as long customers keep comming basi hio loss itafidiwa, so huyu hawezi kupata hasara, pia dola ikipanda ni faida kwake however yeye rates zake ni fixed ukienda nje ya duka utakuta ameandika rates zake na zpo tafauti kabisa na rates za BOT kwa sababu anafanya biashara ya sarafu

tuje benki, hawa hawajaachana sana na byuro ila wao kila kitu kipo digital, mfano ukitaka kumtumia mtu ela kutoka tanzania kwenda uganda basi rate utayopewa ni tafauti na BOT however utapewa extra charges za kutuma,so faida yao na byuro znashabiana utafauti ni benki ana wigo mpana kwa sababu anafanya electronically na anafikia watu wengi kwa pamoja, sku izi ata mitandao ya simu ina service kama hii, hii inaitwa BIASHARA YA SARAFU


tuje kwa vijana wa kizimkazi(TRADING) unachofanya pale kwanza sio trading ni betting na pia your profit inategemea if price itapanda ama kushuka, ukizingua apo hamna sehem utaweza kurudisha ela yako, ukirudi kwenye ule mfano wa awali wa byuro utakumbuka nlisema ata kama price ikishuka as long people come and exchange ile loss itafidiwa na profit atakayopata in that day, so in simple words you cant make a loss! nadhan nmeeleweka
Mkuu hapa unachanganya vitu viwili tofauti.

Acha hao wanaofanya biashara ya kusubiri watu waje kubadilisha. Hata huku kwenye Forex na Crypto wapo wanauza na kununua USD na USDT.

Ongelea yule ambae hasubiri wateja yeye anafanya Biashara kulingana na Price changes mfano mtu ananunua Gold kwa kutegemea kwamba Gold itapanda bei baadaye auze.

Huyu anaweza pata hasara kama Forex trader tofauti yeye hawezi kufika mpaka 0 sababu anatumia Pesa zake.
 
Mkuu hapa unachanganya vitu viwili tofauti.

Acha hao wanaofanya biashara ya kusubiri watu waje kubadilisha. Hata huku kwenye Forex na Crypto wapo wanauza na kununua USD na USDT.

Ongelea yule ambae hasubiri wateja yeye anafanya Biashara kulingana na Price changes mfano mtu ananunua Gold kwa kutegemea kwamba Gold itapanda bei baadaye auze.

Huyu anaweza pata hasara kama Forex trader tofauti yeye hawezi kufika mpaka 0 sababu anatumia Pesa zake.
kwa yule anaesubiri real time changes, your chances of making it are almost impossible because you need to have INSIDER INFO which you surely cant have and its illegal nje ya apo hakuna uchawi wowote unaweza kufanya ukatengeneza maisha na forex, you might try kufundisha maybe ama kua wakala wa broka but your chances are almost 0% to make it because

1) Forex market doesnt exist, everything created under the name forex maarket its a scam starting with retails brokers
2) Forex isnt for everyone, when you want to trade real forex you need a counterpart offiial for that asset for example you might want to trade directly with the ban of tanzania to convert tsh to usd or tsh to ksh
3) Asset prices dont follow lines on charts its a series of average transactions done daily on the central bank of which the central bank doesnt trade to make a profit, all trading happens because central bank wants to balance the economy
 
Back
Top Bottom