Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Broker hapana Hana shida,Ila usiitumie broker anayetokea Africa . Tumia broker WA uhakika mfano FBS anadhamini timu ya Mpira ya premier uingereza,au Pepperstone na broker wengine kadhaa.
Kila heri
Shukrani kaka
 
Chukua demo from $10k mpaka $100k or $1M baadaye ndio ujitathamini. Poa nishakuelewa mkuu. Subiria kwanza Mana hizi Mambo sio za kukurupuka. Muda huo fanya iyo tizi niliyokuambia.pia trade kwa relative drawdown ya 4% of your equity. Pia usiweke trade bila ya sl ,uwe una risk not more than 1% ya akaunti yako.
Pia pair moja inategemeana na your strategy unayotumia. Kuna mwamba mmoja anasema kuwa I could trade without knowing the name of pair anayo trade so think about it. Alikuwa Ni Richard Dennis aliyetoa akaunti from $400 to $200M ndani ya miaka nane.
Nadhani alikuwa Ni trend based trader Tena anatumia moving average crossover. Mana walikuja ku reveal strategy yao kwenye Ile turtle traders.
Na akadai kuwa we could publish our Trading rules in front of wall Street journal but none would be able to make money from it. The key is the discipline and consistent.
Fanya iyo homework kwanza. Pia jaribu kuwa na your trading history nzuri hata jamani ya demo Ila iwe nzuri Mana ndio CV yako Ni rahisi mno kupata mtu akatia mpunga like an investor mkawa mnameki money.
Remember to control downside limit loss while upside will take care itself and don't limit profit.
Nimekupata kiongozi... huyo jamaa wa richard dennis ana kitabu?
 
Kifua nnacho sana mzee nataka niingie kwa akili sana ... nshatrade demo account for one year ma zaidi na kwa pair moja tu..
nishatrade real account templer kama miaka minne nyuma ila nikawa bize na harakati nyingine za kutafta hela so sikua makini sana huko kwa forex..
ila nw nataka nirudi kwenye gane rasmi so swali langu kwa mnaotrade real account kwa muda mrefu ni je hakuna any chart manipulations kati ya real na demo??

Je inaweza kutokea broker akablock account ukashindwa kuwithdraw?

keisangora
Tafuta reputable brokers ambao wako highly regulated. Cheki ambao wanakuwa regulated na asic , FSA,chagua broker wa Australia and uk ambaye kampuni take iko registered huko. Pia cheki namba yake uone Kama amejisajiri na hizo regulatory bodies. Pia ambao leverage isn't more than 1:33. Hiyo ndio maximum allowable leverage kwa brokers ambao wako highly regulated
 
Tafuta reputable brokers ambao wako highly regulated. Cheki ambao wanakuwa regulated na asic , FSA,chagua broker wa Australia and uk ambaye kampuni take iko registered huko. Pia cheki namba yake uone Kama amejisajiri na hizo regulatory bodies. Pia ambao leverage isn't more than 1:33. Hiyo ndio maximum allowable leverage kwa brokers ambao wako highly regulated
Nilikua nafatilia broker mmoja icmarketd ila nikakwama kufungua account kwa tanzania... nw natrade demo ya fxpro
 
Ok ,Mimi sina shida na kutafiti broker Kwa miaka hii sita michache niliyopo ndani ya tasnia ,nilishavuka stage hiyo zamani. Nimempa clue tu,ajiongeze mwenyewe
6 years una experience za kutosha mzee .. swali la kizushi can u trade for a living? Yani uwe huna side hustles ni ww na trades tu labda una mishe za kuzugia lkn ur main income comes from trade..
 
Nilikua nafatilia broker mmoja icmarketd ila nikakwama kufungua account kwa tanzania... nw natrade demo ya fxpro
Td365 Tumia huyu. Pia huyu Hana Bei kubwa mno wengine financial instruments zao ziko juu. Yupo twice ana kampuni ambayo iko Australia na nyingine iko Bahamas huko Kuna leverage ya 1.200 Ila asic wanalimit 1:33 ndio wako poa. Mwingine Ni cmc ,ig market sema Wana Bei kubwa mno hao.
 
6 years una experience za kutosha mzee .. swali la kizushi can u trade for a living? Yani uwe huna side hustles ni ww na trades tu labda una mishe za kuzugia lkn ur main income comes from trade..
Hizo six years Ina depend Ni jinsi gani. Mana huwezi kuta aliye dedicate the whole six years na mwingine ukipiga hesabu average ya two hours per day kwa hizo six years.
Pia he alikuwa anasoma mno kucheki video za trading ama alikuwa anapractice skills zake. Muda sio kigezo. Ukiwa na mtu sahihi akakuambia Cha kufanya nadhani mwezi wa tatu tokea kuambiwa waweza kuwa unameki money.

Pia swali lako ulilouliza ingawa hujaniuliza mie na doubt your understanding about this industry. You've to look in yourself.
 
Hizo six years Ina depend Ni jinsi gani. Mana huwezi kuta aliye dedicate the whole six years na mwingine ukipiga hesabu average ya two hours per day kwa hizo six years.
Pia he alikuwa anasoma mno kucheki video za trading ama alikuwa anapractice skills zake. Muda sio kigezo. Ukiwa na mtu sahihi akakuambia Cha kufanya nadhani mwezi wa tatu tokea kuambiwa waweza kuwa unameki money.

Pia swali lako ulilouliza ingawa hujaniuliza mie na doubt your understanding about this industry. You've to look in yourself.
Thats why i came here ili nipate ujuzi wa hii kitu... the ups and downs and the discpline needed to trade for a living...
I mean trading my own money in a long run.. na sio za investors

I know trading is a lonely journey
 
Thats why i came here ili nipate ujuzi wa hii kitu... the ups and downs and the discpline needed to trade for a living...
I mean trading my own money in a long run.. na sio za investors

I know trading is a lonely journey
Sure mkuu it's very lonely journey na ndio Mana nadhani wengi wanafundisha ili just interaction na wengine. Na pia mkikutana hustlers Kama watatu ama wawili wenye the same ambition Kama ya Ile washkjai wanaozamia Europe through Mediterranean sea.wana ambition moja tu ya get Europe or die getting to Europe. Tunaweza tukawa na group japo kutoana boredom na kulishana ama kuelekezana ideas Ila sio la biashara just because we share the same common interests. Tunapiga story za trading Mana wengine za mbususu hatuwezi
 
Sure mkuu it's very lonely journey na ndio Mana nadhani wengi wanafundisha ili just interaction na wengine. Na pia mkikutana hustlers Kama watatu ama wawili wenye the same ambition Kama ya Ile washkjai wanaozamia Europe through Mediterranean sea.wana ambition moja tu ya get Europe or die getting to Europe. Tunaweza tukawa na group japo kutoana boredom na kulishana ama kuelekezana ideas Ila sio la biashara just because we share the same common interests. Tunapiga story za trading Mana wengine za mbususu hatuwezi
Yap i agree we gotta work on that mzee... mana kuishi kichwani muda wote kwenye charts no workmates no office politics unaweza kudata...
Kuna story moja ya trader nilisoma jamaa alikua profitable tu ila upweke was eating him inside akawa anajidunga tu mitungi afya ikazorota mno
 
Yap i agree we gotta work on that mzee... mana kuishi kichwani muda wote kwenye charts no workmates no office politics unaweza kudata...
Kuna story moja ya trader nilisoma jamaa alikua profitable tu ila upweke was eating him inside akawa anajidunga tu mitungi afya ikazorota mno
Inabid kuenjoy sana na watu kukaa peke ako ni mtiha, lazima uboeke
 
Unaweza ukapoteza shilingi ngapi hapo ulipo na usipate maumivu ndio Kuna hup mitihani. Utauweza kweli hilo pepa ama umeshafeli.

Pia hii mie sitaki kutoa ushauri Mana unaweza ukapoteza kila kitu ulicho baadaye ukaja kunishauri Ila sijajua how much or to extent you're a risk taker. Hii unahitaji wale watu wenye roho ngumu ya kujilipua. Mfano wake vijana waliptoka bukoba wakiwa kwenye chasis wakakamatiwa geita,Kuna mkenya Alibana kwenye tairi la ndege mpaka Amsterdam,Kuna wanaija watatu walibana kwenye sehemu gani sijui ya meli mpaka wakafika ulaya siku 11 majini.
Hii ishu Ni ma risk taker wenye kwa mbali Kama gambler's mentality sema huku huendi kindezi unatafuta odds ambazo zitakuwa in your favor. We're making money trading by having an edge over the market. We're getting rich slowly. Yaani katika trades buku unaweza ukapata loss 600 wins 400 Ila hizi wins zinakuwa more than twice of what you lost. It isn't magic but it's numbers game.

Jaribu kurusha coin juu zaidi uwe unarekodi heads and tails Mara 1000 then rekodi heads and tails. So ucheki kuwa ungekuwa unapata twice ya unachopoteza kwa upande ambao sio wako ndio ujue uta gamble kiasi gani ili usije ukapoteza mtaji ili uweze ku gamble kwa muda mrefu.

Mkuu Ila hii sikushauri Mana inaweza ikakuendesha badala ya wewe kuindesha Ni long term life endeavor na sio kuwa utazama leo ndani ya mwaka umeki money. Think about making money after 5yrs of days and nights studying and practicing until knowledge transform into intuitive wisdom.

Kuna muda Kama sio kobe Bryant ama Michael jordan alifanya tizi mpaka asubuhi alikuwa ana shot target ili kujenga connection between hands and mind to the basket.
Sio career laini laini kwa watoto laini. Ila binafsi sikushauri uingie humu mkuu ungecheki ishu zingine za kufanya kwa maoni yangu. Yaani njia nilizopita kila kitu kikichukuliwa toka kichwani mwangu siwezi rudia kukomaa.
It's very painful journey Mana tunapiga a bila ya kuwa na mtu wa kukushika mkono ujue ama kukupa maelekezo.
Are you ready to die with nothing while your dream zikiwa Ni trading success. Mie nishajitoa Ni Bora nizeeke ama niwe mzee wa kawaida tu uzeeni mwangu ili tu niishi hili life. Mbona watu wanakufa wakiwa wadogo so I have nothing to lose labda wanangu watakuwa Kama watt wa peasant.ama uzeeni naomba ulinzi. Ila naamini haitotokea Mana Kuna progress ama kitu nakiona kinakuja.
Sema I really hate this so called normal life. I don't want to die normal.yaani kwenye kifungo Cha 9/5 jobs nisubirie pension kagari kanyumba kamoja no Ni Bora niwe nakuoshea gari lako ama nakufungulia mpango Ila to I was fighting for my dreams to come true. I was ready to dedicate more than even 20yrs just to make sure kuwa I figure it out this assshole shiiit
Kaka keisangora umeongea kitu muhimu Mimi mwenyewe huwa nasema laiti ningeijua safari ya trading I could have never started..but Unashukuru Mungu sababu yako makusudi na kitu kikubwa na kuona unabadilika na unaelewa nini kinafanyika sokoni..inahitaj angalau miaka 3 hadi 5 kuifkia ndoto kubwa ya kuwa successful trader sababu try and error ni nyingi njiani ila ukikomaa unafika salama kama unavumilia kufanya kazi miaka 20 ama 30 uje ulipwe pension utashindw kuvmlia miaka 3 hadi 5 ufikie ndoto za financial freedom?...Its possible...Mim nilisema nitaacha trading siku moyo wangu umesimama na kama nilianza safar basi ni lazima niimalize...Maanguko ni mengi lakini bado tunaisubri ile asubuhi njema kwetu

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom