Forex Trade imeniumiza

Forex Trade imeniumiza

Nilianza $ 100 one year's ago I using risk management Sir,, me nakimbiza Xauusd na Btc only mzemkav,, currency nliona znanpimia kuniingiza box xn so nliamua kutumia formula za riverpool ile ya 4, 4 2 🤣😂😂 ( jks )
Hata mimi nakomaa na xauusd tu mzee baba naisoma kwanza af ndo niweke mpunga nw natrade demo tu kama mwezi wa nne huu...

Sijajua tu kama kutakua na tofauti kubwa sana kwenye real account... nishatrade real zamani ila sikua na mtaji mkubwa na nilikua naingia trades kwa hisia tu sio knowledge
 
Ulisoma kipengere cha psychology of trading and risk management kule babypips.com au investopedia.com ?? Demo ulifanya Demo account Kwa kipind cha muda Gani na Broker tofaut tofaut ?? Miaka mingapi imejatika tangu uanze kujichimbia kujua The secret in side of foreign exchange ? Unawajua market makes na ECN Broker you mzuri na yupi hafai ...??? Ulikuwa unajua nn una trade bond, currency, stock, commodity au future etc ?? Inshort huwezi kuwa Dokta bingwa bila kupitia procedure ya uhakika ili kuakiki kile ufanyacho,, huwez kuwa ruban kisa flan namjua kawa ruban unajua Time gn Ali spend to understand what's going on ? ? Piga book kiongozi, hii sio betting Wala Biko, kwenye betting hakuna risky management and over trading lkn huku ipo chakwanza it's must capital ikindwe ndio maana kun S.L na T.P .....!!! Soma kk jifunze kwa waliofanikiwa kina George Soros na wengine uone wakianzaje ukikaza ipo siku utareta mrejesho JF .....!!!! Myself imetimia kiaka 4 na miez yk kujua ukweli wa forex I thanks God blessed my forex journey 1.2 million kwa week ni uhakika kwa elimu yng ya 7.
Yani umeongea vitu vya kawaida sana kwenye issue nzima ya FX. Endelea kutafuta elimu.
 
Hata mimi nakomaa na xauusd tu mzee baba naisoma kwanza af ndo niweke mpunga nw natrade demo tu kama mwezi wa nne huu...

Sijajua tu kama kutakua na tofauti kubwa sana kwenye real account... nishatrade real zamani ila sikua na mtaji mkubwa na nilikua naingia trades kwa hisia tu sio knowledge
Real account na Demo account it's The same Sir,, matukio ya Demo na real it's the same ixpokua real ni pesa yako utaitumia kupiga pips na demo ata ukipg pips xio zk ni kuikuza knowledge ili ukianza real ujue nn kitakutokea uki gusa ile batan ya buy or sell 🤣😂😂 ..... !!!
 
kiufupi babypips.com sasa ndio kama darasa langu,plus nimeanza kujua risk management na namna ya kuweka hizo sl,tp.Now i know some working strategies at least kwa kiasi fulani, pia kuna hizi challenges za ftmo,or myforexfund.com ,nimeanza nazo mdogo mdogo ili niweze kupata mtaji mkubwa wa kutrade.All in all safari inasonga ingawa nimepigwa pigwa tena hapa kati ingawa vi amount vidogo.Tutafika tu
Nikikupa mtaji wa dollar 3000 naomba nichoree hapa mpango wako wa RM.

Tuone kama kweli umekwiva.
 
Hata mimi nakomaa na xauusd tu mzee baba naisoma kwanza af ndo niweke mpunga nw natrade demo tu kama mwezi wa nne huu...

Sijajua tu kama kutakua na tofauti kubwa sana kwenye real account... nishatrade real zamani ila sikua na mtaji mkubwa na nilikua naingia trades kwa hisia tu sio knowledge
Demo na real ni maziwa na tui la nazi vinafanana ila ladha tofauti kabisa, trade real tumia low possition sizing
 
Nikikupa mtaji wa dollar 3000 naomba nichoree hapa mpango wako wa RM.

Tuone kama kweli umekwiva.
Siku hizi hakuna aja ya kurisk pesa zote izo toa 500£ purchase ftmo acc za dola elfu kumi kumi mara tano angaika na sticky.objectives kuwa funded piga pesa
 
Nikikupa mtaji wa dollar 3000 naomba nichoree hapa mpango wako wa RM.

Tuone kama kweli umekwiva.

Kwa 3000 mzee baba kwanza kabisa ,anza na hizo lot size hapo

high risk 6.00
mid risk 3.00
low risk 0.30
 
Mkuu una
Forex na binary/deriv zote zinatumia charts hizo hizo tofauti ni binary inapatikana mt5 pekee.

Mimi sikufundishwa binary bali nilitumia uzoefu wa forex
Mkuu unatumia strategy gani au unaindicator gani ulizo set au umelisoma game tu??? Ninatrade demo ya binary lakn nakula loss mnoo
 
Mkuu una

Mkuu unatumia strategy gani au unaindicator gani ulizo set au umelisoma game tu??? Ninatrade demo ya binary lakn nakula loss mnoo
Mkuu kutrade synthetic kuna siri ya ajabu.
Jifunze tabia zao utagundua kitu kizuri sana.
Pili ninatrade kwa ku scalp
Screenshot_20230811-164245_MetaTrader 5.jpg
 
Back
Top Bottom