Forex Trade imeniumiza

Mimi mwanzo yalinila Sana lakini siku hizi Kila siku napata faida Kama unahitaji njoo na mtaji wa laki 5 Kila siku nakupa faida ya laki na ishirini.
 
Siri ya mafanikio forex mql5->Python + theano back end- >build ensemble classifier to predict buy sell hold.
 

Trades za kufungia Mwaka 2021 Muda huu. NewYork Session
Mkuu next week naiangalia UJ naona buyers wako exhausted....EURUSD pia...naona inaondokana na choppy saga...bullish journey is on.....maana for 6 weeks haijamove kabisa....GJ too naona inaenda kukamilisha right shoulder ukiiangalia kwenye W1 and D1 tf....nipe maoni yako mkuu...
 
maana for 6 weeks haijamove kabisa....GJ too naona inaenda kukamilisha right shoulder ukiiangalia kwenye W1 and D1 tf....nipe maoni yako mkuu...
  • Nilisha move on kutoka kwenye Prediction/ Speculation/ Anticipatory Trader, kama jinsi ulivyo jieleza hapo juu.
  • Reactive approach ndio nakwenda nayo kwa sasa. ( Reactive Trader)
  • Hivyo No comment kwa sasa.
 
  • Nilisha move on kutoka kwenye Prediction/ Speculation/ Anticipatory Trader, kama jinsi ulivyo jieleza hapo juu.
  • Reactive approach ndio nakwenda nayo kwa sasa. ( Reactive Trader)
  • Hivyo No comment kwa sasa.
Sasa mkuu SL huwa unaweka ya nn kama ufanyi speculation na hzo terminology nyingine ulizotumia...Ina maana trades zako zote una win mkuu ama???
 
mkuu mtu ambaye anajua soko hawezi kuja kwako .
 
Acha uhuni laki tano then kila siku laki na ishirini forex gan hiyo acha utapel
Watu wengi ikiwemo wewe Ni wapumbavu Sana kitu Kama hujui Kaa kimya jifunze hii kitu watu tunafanya na tunapata Ela Kila siku.wewe kwa umbumbumbu wako wanakupiga au unapata vifaida kidogo unakuja hapa kulialia tuu.


Bosii kasema
 
Place stop loss 3 to 5 pips below neighborhood low .Given stop loss ,calculate lot size for 2% equity loss in the event price hits stop loss.

Hivi ni kwa namna gani unaweza kujua utapoteza kiasi gani au utapata faida kiasi gani?
 

Mkuu umeupiga mwingi mnoo! Hiv unawezaje kujua hapantapoteza kiasi fulani au ntapata hela kiasi gan endapo soko litakwenda ndivyo sivyo au kwenda kama ulivyobashiri?? Naombakufahamishwa formular
 
Hiv unawezaje kujua hapantapoteza kiasi fulani au ntapata hela kiasi gan endapo soko litakwenda ndivyo sivyo
Huwa tunatumia tools mbalimbali ili kujua RRR
  • Free tools waweza ikuta TV, au uka_download RRR calculator zipo nyingi free kwenye site mql5
  • Au waweza kujitengenezea excell nakuitumia

Hii ndio ninayotumia ni xls


Hapo utaona Loss ni fixed $6 kutokana na lotsize ya 0.02.
Ila TP waweza ongeza kutegemea na Pair husika

Mfano:: XAUUSD, NAS100, GBP pair huwa zinakawaida ya kukupa RRR ya 1:6 au zaidi ya hapo, Kikubwa ni entry uifanyie kwenye 5m
---
RRR = Risk/Reward Ratio
 
That's too complicated boss keep it simple
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…