Forex Trade imeniumiza

Forex Trade imeniumiza

Sasa the difficult part ni huyu mwalimu,the trade ya kubuy lazima ishuke kwanza,na you cant put stop loss untill you know itashuka mpaka wapi,thats where the challenge comes in.
Mkuu marker huwa inatengeneza zone, ama high hingh and lower lows, ambapo mostly zone zikivunjwa market hurudi ku retest na kwenda juu ama chini zaidi sasa wewe kushindwa kujua market itashuka mpaka wapi hayo ni mapungufu ya skills zako sokoni

Unaweza kutumia fibo kwa confirmations zaidi
Screenshot_20211122-210511.jpg
 
Kwani unafikiri kilimo hakiwapigi watu mkuu..? Hakuna biashara isiyo na hasara chakufanya Kama unamoto na forex just focus on it uangalie ulipokosea kwanza hapo tu yaonyesha ulifanya makosa maana mpk kwenda yote so hukuweka stop loss..? Chengine baada ya kuona unapiga faida ukajiamini zaidi huku ukisahau hiyo biashara inamatokea mawili.

Naamini mafanikio yapo kwenye focus so ukiwa focus kwenye kitu sahihi na kwa usahihi yatatoka matokeo sahihi,Sasa wewe fikiri kilimo hakina hasara ndugu uje ulime nyanya sokoni ukute tenga ni alfu tatu! Nawakati nyanya zilipokuwa shambani ukifatilia bei unaambiwa bei ishirini alfu..😁

Hivi crypto currency inatofauti gani na mtu alielima mpunga na kuhold hayo magunia kwa miezi sita akisubiri bei ipande auze..? Mkuu fanya unachoweza kufanya but kuwa focus kwa kitu sahihi.
Mnajipaga sana matumaini mkisha pigwa baada ya kuwakabidhi wanaume wengine hela zenu kizembeeeee
 
Habari Wakuu,

Baada ya kusoma soma sana na kujifunza Forex, na kuona mwenzangu amefanikiwa sana na Forex Trade, niliamua na mimi niingie kuyaoga haya maji kwani hamna mtu hapendi ma isha mazuri.

Nikaanza vyema na 300 USD kwa wale wanaofahamu dowjones. Nilifanikiwa kwa kweli mpaka balance ikawa kubwa 1000 USD.

Pale ndipo balaa lilipoanza kwani kabla sijfunga na kufungua macho, week iliyopita siku ambayo sitaki kuikumbuka, pale nilipofunga na kufumba na kufumbua macho, trade ilienda tofauti kabisa na kufuta balance yangu yote.

Hapa nilipo sina hamu tena ya hii kitu

Naombeni ushauri nirudi upya na nguvu au nikalime tu.

Mmc
Komaza shingo
 
Dowjones unaijua unaiskia unaiendea na lot tembo,tatizo watu hawataki kugrow kidogo kidogo na vimtaji vyenu vya ngama nakuapia hutofanikiwa hasilani ka.a hutokubaliana na slowly growth,

forex ipo ila unakuta mtu anatrade kana kwamba fx inafungiwa kesho,utajifunza in hard way. Stop gambling anza kutrade,stop bE reactive in loss or profit be neutral, siku zote tumia stoploss hata kama ni ndefu au fupi ,hata kama unasema ina retrace 40pips inatosha kukuambia upo wrong, possition sizing ni muhimu sana sana

hakuna raha kama kuprotect mtaji uwep wakati wote maana opportunity nzuri zipo nyingi sana.

trader wwngi nilichowagundua ikiwemo mimi wao waiingia ktk chart ni kutafuta entry tu chasing is all they know, kama mtu anaecheza lotto akipigwa anatia stake dk iyo iyo, ukifanya ivo ktk fx utaishia kuwa maskini,


focus kulielewa soko kuelewa parttens,Market setiment, kuwa na nidhamu fikiria sana probability than 100winning, jua kwamba trade yako uliyoichukua kulingana na plan na vigezo vyako ni trade nzur hata iwe imehit stoploss ,usiannze kutwist zones sijui trendlines mara baada ya kuwa stopped out ili tu uchukue trde ingine iyo ndo itakua bad trade hata kama utawin,

usiwe mtu wa show off mara useme nipige screenshot nipost n.k we take profit,or loss rudi ktk journal yako jiulize review nilifanyaje fanyaje na next time nifanyaje au ni stick ktk kipi
 
Chukua FTMO challenge wanatoa mtaji hadi $200,000(400+millions za kibongo)
akanunuwe akaunti,ndo atqkapojuq ugumu wa fx upo wapi,challenge nzuri sana kwa trader anaJifunza asiende demo y kaqaida ajaribu free trial yq ftmo atakua nondo sana ktk suala la kuhwshim rules, akishapass challenge tatu ndo afund acc
 
Forex is not a holy grail! It's a profession like any other kutokana na maelezo yako inaonekana bado hauna muda mrefu kwenye game,forex ni biashara na ni pana,forex inahitaji KNOWLEDGE which covers all aspects of trading,kuanzia technical analysis, fundamentals trading psychology, risk management,strategy inayokufaa,risk management na mengine na inahitaji kuwekeza MUDA wako mwingi in trading, watu wanapozungua ni kuona kama forex ni sehem ya kutajirika haraka,which is wrong ukiingia kwenye hii game inahitaji moyo wa chuma na uvumilivu kwenye kipindi cha kujifunza the maana the pain of losing money is tough,kufanikiwa kwenye hii industry inatokana na mtu na mtu the minimum time mtu anaweza tumia kumaster trading ni kama miezi 6(Achana na kuwa profitable) hiyo ni safari nyingine but muhimu ni Ku master the art of trading the rest will come,so invest kwenye knowledge kwanza find your suitable strategy well kabla sijasahau unaweza ukatafuta mentor atakae kuongoza in trading (angalia usije kupigwa mentors wengi saiv ni scammers) tafuta mentor Legit wapo hapa bongo wengi tu, na Kama umechoma account moja tu unakuja kuandika uzi huku basi forex haikufai this industry requires emotional toughness.Forex is not for the weak,kila la kheri mkuu
Umemaliza mkuu asipoelewa hapa basi. Na ni kweli anaonekana mgeni wa game YAANI $1000 kuwaka moto unachanganyikiwa asee??? Wengine tukikueleza tuliyopitia katika forex kuamini kwako itakuwa vigumu sana.
 
Dowjones unaijua unaiskia unaiendea na lot tembo,tatizo watu hawataki kugrow kidogo kidogo na vimtaji vyenu vya ngama nakuapia hutofanikiwa hasilani ka.a hutokubaliana na slowly growth,

forex ipo ila unakuta mtu anatrade kana kwamba fx inafungiwa kesho,utajifunza in hard way. Stop gambling anza kutrade,stop bE reactive in loss or profit be neutral, siku zote tumia stoploss hata kama ni ndefu au fupi ,hata kama unasema ina retrace 40pips inatosha kukuambia upo wrong, possition sizing ni muhimu sana sana

hakuna raha kama kuprotect mtaji uwep wakati wote maana opportunity nzuri zipo nyingi sana.

trader wwngi nilichowagundua ikiwemo mimi wao waiingia ktk chart ni kutafuta entry tu chasing is all they know, kama mtu anaecheza lotto akipigwa anatia stake dk iyo iyo, ukifanya ivo ktk fx utaishia kuwa maskini,


focus kulielewa soko kuelewa parttens,Market setiment, kuwa na nidhamu fikiria sana probability than 100winning, jua kwamba trade yako uliyoichukua kulingana na plan na vigezo vyako ni trade nzur hata iwe imehit stoploss ,usiannze kutwist zones sijui trendlines mara baada ya kuwa stopped out ili tu uchukue trde ingine iyo ndo itakua bad trade hata kama utawin,

usiwe mtu wa show off mara useme nipige screenshot nipost n.k we take profit,or loss rudi ktk journal yako jiulize review nilifanyaje fanyaje na next time nifanyaje au ni stick ktk kipi
Michael mwenyewe alisena fx haina fundi na kila mtu anapigwa pesa, ila nidhamu ya kuweza kufuata misingi uliyoiweka mwenyewe na psychology ndo vitakufanya uwin fx.
 
Habari Wakuu,

Baada ya kusoma soma sana na kujifunza Forex, na kuona mwenzangu amefanikiwa sana na Forex Trade, niliamua na mimi niingie kuyaoga haya maji kwani hamna mtu hapendi ma isha mazuri.

Nikaanza vyema na 300 USD kwa wale wanaofahamu dowjones. Nilifanikiwa kwa kweli mpaka balance ikawa kubwa 1000 USD.

Pale ndipo balaa lilipoanza kwani kabla sijfunga na kufungua macho, week iliyopita siku ambayo sitaki kuikumbuka, pale nilipofunga na kufumba na kufumbua macho, trade ilienda tofauti kabisa na kufuta balance yangu yote.

Hapa nilipo sina hamu tena ya hii kitu

Naombeni ushauri nirudi upya na nguvu au nikalime tu.

Mmc
Hujui matumizi ya SL and TP mkuu ?
 
Back
Top Bottom