Forex traders naombeni msaada tafadhari

Forex traders naombeni msaada tafadhari

Karibu katika ulimwengu huu before nilitumia templer sijajua kama bado anaoperate Maana kuna kipindi alistop nikachana naye.

Njia sahii ninayo iona saivi ni kupitia Bank ndani ya siku 3 pesa Yako unaipata. Lakini Broker Kama hotforex ana mawakala wake hapa bongo unaweza kucheck nayo..

Kuhusu pips Kwa wiki hilo ni swala gumu sana, Hatujui una trade pair Zipi, Hatujui your risk appetite ikoje. Inshort ni swala la mtu binasfi.

Kwenye hii Biashara unaweza kushangaa wiki ikakatika hujaona set up Nzuri Hata moja , so don't force a trade
Unatumia banks za kibongo kupitisha hela kule au international banks??

Hawana usumbufu kama waliokuwa nao siku za nyuma??
 
Mtafute huyu jamaa ni mwamba sana 😀

1685827868366.png
 
Mambo vipi wakuu mko poa?!! natumaini mko salama. Kwa wale wazee wa forex naombeni msaada ni broker yupi ambae unaweza uka-deposit na ku-withdraw pesa kupitia mitandao ya simu ya Tanzania.

Pia ni idadi ngapi ya PIPs ambayo mtu inabidi aivune kwa wiki ili mwisho wa mwisho capital yake iwe katika hali nzuri kdg...
Broker mzuri for me naona ni exness na kiwngo cha pips knatokana na week yenyewe, your risk:Reward na stratergies pia capital is important
 
Pia ni idadi ngapi ya PIPs ambayo mtu inabidi aivune kwa wiki ili mwisho wa mwisho capital yake iwe katika hali nzuri kdg...)

KUTOKANA NA HILI SWALI LAKO, NAKUSHAURI ACHANA NA KUDEPOSIT PESA KWA BROKER NA UJIKITE KUJIFUNZA KWENYE DEMO ACCOUNT MPAKA PALE UTAKAPOJIRIDHISHA KUWA STRATEGY YAKO INAUWEZO WA KUKUPATIA PIPS NGAPI KWA WIKI.
Yess
 
Kwa anaetiji kuijuwa trading from scratch aje nimpe mwongozo na elimu sahihi, malipo utakapoona hatua uliopo ina mwangaza
You've the Trading knowledge mzuri kabisa ambayo kila mtu anayo Ila huna what takes to take money out of the market na ndio Mana umeona Bora ufundishe.yaani kuchukua hela from sokoni bana zinakuwaga za Moto yaani unaziona Ila kuzichukua Ni mbinde kinyama so utakimbilia kufundisha strategy,rm,ta ,fa na mind utagusia kwa juu juu mno. Ndio Mana kwenye game hii Kuna educators wengi mno kuliko traders wenyewe Ni sawa huwa nikienda stendi ya mabasi nawaambia wale wapiga debe kuwa mbona nyie wenyewe Ni wengi kuliko abiria ,yaani mkiamua kusafiri wenyewe mnajaza mabasi yote haya na mnabakia wengine mmekosa usafiri

Yaani umemeza PDF zA kutosha so una feel you're likely to succeed Ila you can't. You just smell it but is very difficult to reach there what I know. Watauza signals,VIP subscription program.yaani bana trading inafurahisha kinyama.

We read and get education of Trading from high grade suckers of this game.

Ukiulizwa your 5yrs Trading history utaanza kutetea kuwa sio lazima nicheze mpira kufundisha mpira ama sio lazima niwe car racer ili kujua anahitaji gari ya Aina gani.


Haya bana hii makitu Ni ya Moto mzazi nadhani imeshakulia hela so upo unapooza
 
What separates very knowledgeable trader from successfull consistent profitable trader who take money out of the market.

Naomba login details zile investor password nione your trading history yako mkuu.


Umesha withdraw Mara ngapi tokea uanze ku trade
Mkuu mi sio mentor ila napenda kufundisha tangu nasoma ,Nimetoa traders wengi sana wala sijawahi omba at mia yao,well unasema kuchukuwa pesa sokoni ni ngumu yes ni ngumu ndio haswa. Inahitaji usiwe na uhitaji nazo ndio unazichukuwa vyema ila ukiwa na pupa hata sent uchukuwi, alafu kupoteza kawaida mi nshapoteza miezi mfululizo no profit ila tatizo iikuwa sikolojia, alafu saiv trading sio kama zamani kuna funding acc nami ndo nina trade sana izo 100k funded na nipo up 10percent
 
Mkuu mi sio mentor ila napenda kufundisha tangu nasoma ,Nimetoa traders wengi sana wala sijawahi omba at mia yao,well unasema kuchukuwa pesa sokoni ni ngumu yes ni ngumu ndio haswa. Inahitaji usiwe na uhitaji nazo ndio unazichukuwa vyema ila ukiwa na pupa hata sent uchukuwi, alafu kupoteza kawaida mi nshapoteza miezi mfululizo no profit ila tatizo iikuwa sikolojia, alafu saiv trading sio kama zamani kuna funding acc nami ndo nina trade sana izo 100k funded na nipo up 10percent
Mkuu mwisho wa siku wanalipa kweli?
 
We unataka ni prove then what next we kwani ni Investor ungekuwa investor sawa yani kwa akili yako yote nashindwa kuwa hata na 50k funded nikose hata 10pips kweli siku nzima alooh tufanye Am poor trader case closed.
Hold on your animal brain
 
Hii fx inanichanganya sana mm Kuna jamaa yangu broker wake ni MTFE na ishu ya signal anatumia robot ndo linatrade,ananishawishi niingie huko lkn moyo wangu umekuwa ngumu sana nawaza robot ndo linitengenezee pesa?je kitu hiki ni possible?nahofia inaweza kuwa kudiposit ni simple ila kuwithdraw ikawa nongwa
Kutokana na ukuaji wa teknolojia Kila kitu kinawezekana kwa Sasa....
Binafsi na trade manual sana sana kweny commodity na hua natumia robot wa MTFE kutengeneza kipato mana bot hua na win rate nzur kwenye market kwakua huingia kwenye index sana sana...

Hivo mtu ukiwa na malengo ukosi dola 100-500 kwa wiki
 
Mkuu mi sio mentor ila napenda kufundisha tangu nasoma ,Nimetoa traders wengi sana wala sijawahi omba at mia yao,well unasema kuchukuwa pesa sokoni ni ngumu yes ni ngumu ndio haswa. Inahitaji usiwe na uhitaji nazo ndio unazichukuwa vyema ila ukiwa na pupa hata sent uchukuwi, alafu kupoteza kawaida mi nshapoteza miezi mfululizo no profit ila tatizo iikuwa sikolojia, alafu saiv trading sio kama zamani kuna funding acc nami ndo nina trade sana izo 100k funded na nipo up 10percent
So you teach for free?
 
Mkuu mi sio mentor ila napenda kufundisha tangu nasoma ,Nimetoa traders wengi sana wala sijawahi omba at mia yao,well unasema kuchukuwa pesa sokoni ni ngumu yes ni ngumu ndio haswa. Inahitaji usiwe na uhitaji nazo ndio unazichukuwa vyema ila ukiwa na pupa hata sent uchukuwi, alafu kupoteza kawaida mi nshapoteza miezi mfululizo no profit ila tatizo iikuwa sikolojia, alafu saiv trading sio kama zamani kuna funding acc nami ndo nina trade sana izo 100k funded na nipo up 10percent
It's only in trading endeavor where others declare to love their human beings. While in this capitalism world aka dog eats 🐕. Unaambiwa ama unahubiriwa upendo ukishaamini unaliwa kilaini mno.
Mchungaji anawahubiria upendo na maisha ya milele yenye Bata huku yeye akiwanyonya akiishi maisha ya raha hapa hapa duniani. The same to politicians kuwa nitawaletea maendeleo. Pia bila ya kusahau sangoma hata wazungu wanakupa misaada utatue tatizo ambalo wamelitengeneza wao wenyewe so ili uzidi kuwa mtumwa wao. Jiulize misaada yao hawataki ujenge kiwanda uzalishe ukawauzie bidhaa.
Wangekuwa wanatupa misaada tunachimba madini tunauza wenyewe baadaye tunawalipa.
Unampigisha demu sound kuwa unampenda kumbe una lako Jambo.

Hujawahi jiuliza why mtetea akiwa anaatamia ama akiwa na vifaranga hapewi chakula na jogoo jamani.
Ila akianza kuzaa mayai nakuambia jogoo atampetipeti Ile mbaya.

What I know nothing is free ie everything is Trading aka we interchange the values to gain more values from what I give you and I get from you.

Utasema jua linakupenda Kuna kitu linapata tokea kwako the same na wewe unapata kitu tokea kwa jua. Hata miti na wanyama Wana trade hewa aka Kuna exchanges of gases.
Yaani everything is calculated mkuu. Hata upendo unaotoa inabidi baadaye uupate ili ubalansi mzani.
Dunia uzito wake Ni ulel ule tokea kuumbwa halijawahi ongezewa uzito mwingine la sivyo uta disturb it's balansi.
Energy can't be neither created nor destroyed.yaani tunaishi dunia ya zero sum game whether you like or not. Wapo wajanja wanajua kuzichanga karata wanawatoa wengine wanajiongezea wao zaidi na zaidi.

Yaani unalima nanunua nauza sudani ama wakati wa njaa so napiga superprofit.

Ukidharauliwa lazima nawewe utatoa Ile dharau uliyopewa ama uliyotoa.
Ukitoka heshima na wewe utarudishiwa heshima ili uzibe lile pengo ulilotoa.

This is my firm believe in life.
Hata mie napoandika hapa nazidi kushindilia ama kuwa confident with my mind.
Hata wewe hapo unapofundisha you're gaining something sio useme kuwa umeshatoa traders wengi. Mbona hatujaona hata wanatokea Forbes,CNN, Bloomberg,etc wakakiri kuwa wametoka mikononi mwako
 
Back
Top Bottom