Je ni sababu ipi imepelekea kuunguza account?kuunguza account yangu muda huu
Sio kweli kuwa mtaji mkubwa utasaidia kuto unguza account.Pia mtaji mkubwa unasaidia kutokuunguza account?
Sio FX pekee, hata baishara zingine ukiwa na maarifa sahihi inalipakama kweli inalipa watu.......
Upo sahihi kwa vyote ulivoongea, je ni wangapi waliopata faida kubwa kwenye forex tangu ianze kutangazwa?Sio FX pekee, hata baishara zingine ukiwa na maarifa sahihi inalipa
- Kuna ambao wamelima matikiti na kupata faida, Ila pia kuna wengine wamepata hasara.
- Kuna ambao ni wakulima wa korosho, hupata faida na hasara
- Kuna wafanya biashara wa mafuta hupata faida na hasara
Hata kwenye forex kuna Faida na Hasara.
- Tena Hasara ya forex ni kubwa kuliko biashara nyingine yeyote unayoifahamu.
Na
- Wakati huo huo hakuna biashara yenye faida kubwa kama Forex
Kupata hasara au faida inatokana na uwekezaji wako kwenye skrills kwa biashara uliyo amua kufanya.
Hivyo si busara kuwabeza wale walio jaribu kufanya forex na kushindwa kabisa.
Unajua hapa utapigwa porojo za hapa na pale. Kiufupi hizi mambo ambazo zina vinasaba vya kamali vina hasara kibwa lakini pia unaweza ukapiga hela nyingi.Upo sahihi kwa vyote ulivoongea, je ni wangapi waliopata faida kubwa kwenye forex tangu ianze kutangazwa?
Kama lengo lako ni kujua wangapi au nani amepata faida au hasara katika forex hutampata! ENDELEA TU MAMBO YAKO!Upo sahihi kwa vyote ulivoongea, je ni wangapi waliopata faida kubwa kwenye forex tangu ianze kutangazwa?
Kama lengo lako ni kujua wangapi au nani amepata faida au hasara katika forex hutampata! ENDELEA TU MAMBO YAKO!
Upo sahihi kwa vyote ulivoongea, je ni wangapi waliopata faida kubwa kwenye forex tangu ianze kutangazwa?
jamani wewe kama mtaalamu wa forex tuthibitishie kuwa kweli forex inalipa kwa kushare hapa jukwaani FX account no. yako na investor password na washawishi matrader wenzako wafanye hivyo nadhan hii itasaidia kutupunguza sisi matomaso wa FXSio FX pekee, hata baishara zingine ukiwa na maarifa sahihi inalipa
- Kuna ambao wamelima matikiti na kupata faida, Ila pia kuna wengine wamepata hasara.
- Kuna ambao ni wakulima wa korosho, hupata faida na hasara
- Kuna wafanya biashara wa mafuta hupata faida na hasara
Hata kwenye forex kuna Faida na Hasara.
- Tena Hasara ya forex ni kubwa kuliko biashara nyingine yeyote unayoifahamu.
Na
- Wakati huo huo hakuna biashara yenye faida kubwa kama Forex
Kupata hasara au faida inatokana na uwekezaji wako kwenye skrills kwa biashara uliyo amua kufanya.
Hivyo si busara kuwabeza wale walio jaribu kufanya forex na kushindwa kabisa.
[emoji23] [emoji23] mimi nilisha kimbia.. pesa niliyo deposit ilipo rud tu nili withdrawal faster... sina mpango wa kurudi huko siku za karibun
tueleze kisa cha kutoka nduki[emoji23] [emoji23] mimi nilisha kimbia.. pesa niliyo deposit ilipo rud tu nili withdrawal faster... sina mpango wa kurudi huko siku za karibun
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha uoga Dan unakuwa kama mwanaume wa Dar[emoji23] [emoji23] mimi nilisha kimbia.. pesa niliyo deposit ilipo rud tu nili withdrawal faster... sina mpango wa kurudi huko siku za karibun
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. Discipline ndio kila kituRisk Management na Knowledge investment ndio mchawi.. Strategy ziko kibao but Discipline kwenye market ndio Mafanikio yenyewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] huu mchaka mchaka wa maisha unamitosha, alafu MT4 tena inipe pressure nyingne.. hapana, labda huko mbele ya safari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha uoga Dan unakuwa kama mwanaume wa Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kitu haina adabu hata kidogo... unafanya analysis yako vizur kabisa, unaingia sokon..mara mpuuz fulan huko Canada anaropoka... withing seconds unapigwa bumbuwaz la maana kwa unacho kiona, na wakati unaangalia news calender, haikua na impact kubwa.. yaan ghafla tu pips 80 against...Risk Management na Knowledge investment ndio mchawi.. Strategy ziko kibao but Discipline kwenye market ndio Mafanikio yenyewe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio mmoja wao ila washee kwa faida ya nani?kiukweli watetezi wa hii kitu njia nyepesi ya kuwafanya wasiotaka kuamini kuwa FX is real ni nyie kushare FX acc no. zenu pamoja na investor password tofauti na hapo tutaendelea kuwa na mtazamo hasi kuhusu hii kitu mpaka ujiiiio wa pili wa nabii issa
Kwaajili ya kuthibisha kuwa forex inalipa