Forex traders!

Forex traders!

jamani wewe kama mtaalamu wa forex tuthibitishie kuwa kweli forex inalipa kwa kushare hapa jukwaani FX account no.
#1. Ingia kwenye channel yangu uone kazi inayofanyika:
- Analysis
- Entry & Exit
Ni ushahidi tosha kuwa najua nini ninachokifanya: Channel link hii hapa FREE: DayTradersTZ

1548339466089.png

- Na kama wewe pia ni trader basi fungua USDCAD na angalia H4, H1 kisha tumia hiyo signal kuingia sokoni

#2. Kwenye hii screen shot ya pili ndio hiyo position niliyofungua muda mfupi uliopita
1548339389004.png

- Hapo angalia muda nilio fungua
AUDUSD
GBPUSD
USDCAD
 
Unajua hapa utapigwa porojo za hapa na pale. Kiufupi hizi mambo ambazo zina vinasaba vya kamali vina hasara kibwa lakini pia unaweza ukapiga hela nyingi.

Uliyemkoti ametoa mfano wa tikiti, tikiti kuna tikiti lenyewe kama bidhaa na shamba kama kama bidhaa hivyo mtu hata akipata hasara hawezi akapata hasara mpaka shamba lako likapotea.

Sasa kwenye forex na kamali zingine kama betting ukiliwa unaweza ukapoteza hela yote wenyewe wanaita kuunguza.

Mfano huyu mleta mada kama aliweka $200 yote inakuwa imeenda sasa fikiria kama angewekeza kwenye shamba la tikiti je hiyo hasara ingesababisha kupotea mpaka kwa shamba?!

NB. Naiita forex kamali kwa sababu zifuatazo.

1. Hakuna bidhaaa wala huduma yoyote inayozalishwa.
2. Msingi wa forex ulikuwa na kwa ajili ya kufacilitate international trade.
3. Ili upate faida kwenye forex, mtu mwingine pia anatakiwa apoteze hela, na ukiona umepata hasara basi mtu mwingine amepata faida. Hizi ni sifa za kamali.
inshort ni kamali kama SPORTPESA tuuu ili ww ule kwa kumbetia man united ushindi basi ni lazima awepo aliyeliwa kwa kumbetia man united kushindwa


NI KAMALI KAMA KAMALI NYINGINE TU... sema huku wajanja waliopata hela mwanzo sasa hivi hwatrade hela zao za mfukoni wanaanzisha groups za kulipia na mafunzo then hela anayolipwa huko ndio anatrade

Sent using Jamii Forums mobile app
 
washawishi matrader wenzako wafanye hivyo nadhan hii itasaidia kutupunguza sisi matomaso wa FX
Angalia salio kidogo kidogo linaongezeka.
- Nitaweka pia screenshot ya mwisho kuonyesha nimefungua hizi position kwa dola ngapi?
- Je hadi hapa bado wewe ni TOMASO?????? Kama jibu ni ndio nijulishe nikurekodie video ya hizi trade
1548339937450.png


CHARTI YAKE HII HAPA - USDCAD
1548340142008.png
 
Nilipatia trend vizuri na niliingia sehem sahihi, sijui ilitokea news gani nikajikuta pea zimegeuka kwa kasi ya ajabu adi zikaunguza account
- Lotsize sahihi kulingana na account size yako
- Idadi ya position sahih &
- SL sehemu sahihi
Hakika huwezi unguza account.

Huko nyuma nami nimeunguza account kadhaa, na nilichukulia kama sehemu ya kujifunza.
 
Back
Top Bottom