Pair gani ulitrade jombaaNilipatia trend vizuri na niliingia sehem sahihi, sijui ilitokea news gani nikajikuta pea zimegeuka kwa kasi ya ajabu adi zikaunguza account
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaajili ya kuthibisha kuwa forex inalipa
kwa faida ya matomaso
Kuwa makini na news mkuu usidharau news hasa kama una mtaji wa nyanya leo saa tano na robo kulikuwa na news kwenye Euro
Yaani mtu kuamini kwamba biashara inalipa hadi akuonyeshe ana shilingi ngapi bank as if ukifanya yeye ataongezewa hata mia, subiri waje wakuwekee mkuukwa faida ya matomaso
sasa mbona unarudi kulekule kwa matomasoYaani mtu kuamini kwamba biashara inalipa hadi akuonyeshe ana shilingi ngapi bank as if ukifanya yeye ataongezewa hata mia, subiri waje wakuwekee mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ila sijafa moyo bado napambanaKuwa makini na news mkuu usidharau news hasa kama una mtaji wa nyanya leo saa tano na robo kulikuwa na news kwenye Euro
Sent using Jamii Forums mobile app
#1. Ingia kwenye channel yangu uone kazi inayofanyika:jamani wewe kama mtaalamu wa forex tuthibitishie kuwa kweli forex inalipa kwa kushare hapa jukwaani FX account no.
inshort ni kamali kama SPORTPESA tuuu ili ww ule kwa kumbetia man united ushindi basi ni lazima awepo aliyeliwa kwa kumbetia man united kushindwaUnajua hapa utapigwa porojo za hapa na pale. Kiufupi hizi mambo ambazo zina vinasaba vya kamali vina hasara kibwa lakini pia unaweza ukapiga hela nyingi.
Uliyemkoti ametoa mfano wa tikiti, tikiti kuna tikiti lenyewe kama bidhaa na shamba kama kama bidhaa hivyo mtu hata akipata hasara hawezi akapata hasara mpaka shamba lako likapotea.
Sasa kwenye forex na kamali zingine kama betting ukiliwa unaweza ukapoteza hela yote wenyewe wanaita kuunguza.
Mfano huyu mleta mada kama aliweka $200 yote inakuwa imeenda sasa fikiria kama angewekeza kwenye shamba la tikiti je hiyo hasara ingesababisha kupotea mpaka kwa shamba?!
NB. Naiita forex kamali kwa sababu zifuatazo.
1. Hakuna bidhaaa wala huduma yoyote inayozalishwa.
2. Msingi wa forex ulikuwa na kwa ajili ya kufacilitate international trade.
3. Ili upate faida kwenye forex, mtu mwingine pia anatakiwa apoteze hela, na ukiona umepata hasara basi mtu mwingine amepata faida. Hizi ni sifa za kamali.
Angalia salio kidogo kidogo linaongezeka.washawishi matrader wenzako wafanye hivyo nadhan hii itasaidia kutupunguza sisi matomaso wa FX
- Lotsize sahihi kulingana na account size yakoNilipatia trend vizuri na niliingia sehem sahihi, sijui ilitokea news gani nikajikuta pea zimegeuka kwa kasi ya ajabu adi zikaunguza account
- Lotsize sahihi
- SL sehemu sahihi
Hakika huwezi unguza account.
Huko nyuma nami nimeunguza account kadhaa, na nilichukulia kama sehemu ya kujifunza.