Forex trading short course

Forex trading short course

Nikweli maana mimi nimetumiwa vitabu bado ninasota navyo ni vikubwa na havihitaji mtu uwe mvivu wa kusoma kwa kweli japo mkuu ukiniunga na hizo link nzuri za youtube zitanisaidia sanaa napata shida kuielewa concept ukizingatia sina uzoefu wowote wa hii biashara
Naomba nikutumie email yngu bosi ikiwezekana unitumie hvyo vitabu nivisome vizur
 
Mimi nemetrade forex kwa kama miezi Sita na nlikua nafanya part time. Nilikua napata pesa ya kulipia ki apartment changu.. didn't fully go into it. Lakini I took time to learn about it. Kua tend hiyo course for 2 to 3 hours haitatosha ila Kuna vitabu online na videos on YouTube on how to trade.. ila nashauri mtu asiwe mvivu wa kusoma. Na Sio rahisi kupata pesa kama inavyo sound. Ni rahisi sana ku unguza account yako.. chukua Muda kujielimisha

Sent from my SM-G925T using JamiiForums mobile app
Hivi vitu vinahitaj mtu wakukusaidia ukiwa unaaza sasa wazoefu mtusaidie na sisi kwa kutudirect mbaka tuweze kusimama wenyew

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

Mimi nemetrade forex kwa kama miezi Sita na nlikua nafanya part time. Nilikua napata pesa ya kulipia ki apartment changu.. didn't fully go into it. Lakini I took time to learn about it. Kua tend hiyo course for 2 to 3 hours haitatosha ila Kuna vitabu online na videos on YouTube on how to trade.. ila nashauri mtu asiwe mvivu wa kusoma. Na Sio rahisi kupata pesa kama inavyo sound. Ni rahisi sana ku unguza account yako.. chukua Muda kujielimisha

Sent from my SM-G925T using JamiiForums mobile app
Samahani wakuu, nimetokea kuvutiwa na hii kitu na bado naendelea kufanya utafiti kabla kuingia. Ila kuna jambo moja bado najiuliza kwa maana ishu nyingi za hivyo huwa katika mtindo huu.
1dffb4e728a1d891943af273b0a179dc.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Temakule unawezaje kutrade bila ya kua umeoma deep?

Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda niwaaMbie hats hao walioibobea forex wanaingiaga hasara sana pamoja na kuwa wataalamu analysis lakin wakalost, forex ni biashara ya chap chap ukipata faida closed, nimeona nimepata short nikajifunza now naingia kwa dakika kaza na kuclose with profit
 
Napenda niwaaMbie hats hao walioibobea forex wanaingiaga hasara sana pamoja na kuwa wataalamu analysis lakin wakalost, forex ni biashara ya chap chap ukipata faida closed, nimeona nimepata short nikajifunza now naingia kwa dakika kaza na kuclose with profit
Tupe siri ya hii system yako mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe siri ya hii system yako mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mim nachofanya maze in account mbili kwa broker mmoja kwakua broker anaruhusu internal transfer natrade nkipata faida na nafanya transfer ya faida, natrade tena alafu nkipata profit nahimisha, kwenye forex pia kuna kupanda na kushuka pale inashuka nafanya sell baada ya kuconfirm bullsh na bearsh resistance,alafu nafanya fasta analysis within my phone analaf namatch all time frame ikimatch 100% to all nafanya sell or buy nkijiamini, na pia MACD setting zangu no one of success wining ambayo bigg trader hawatoi kwani utacopy trade zao Ila sio setting,
 
Kwa wale ambao bado hajaifahamu forex au ambao wameisikia ila bado hawaamini ni njia halali ya kujipatia fedha...

Watanzania wengi hawaifahamu tofauti na wenzetu walioko Nigeria na Southafrica. Wabongo wanaoijua hufaidika kwa siri bila kuwashirikisha ndugu, jamaa na marafiki. Tusiwe wachoyo wa kuonyeshana fursa.

Muda unaopoteza whatsapp, facebook na instagram ungeutumia kujiingizia kipato, ni biashara hali inayofanywa na mabenki yote Duniani na sasa individuals kama wewe wanaweza kushiriki kupitia Broker mfano Templer. https://secure.templerfx.com/login/sign_up/113925

Kwenye simu yako nenda google store download app inaitwa meta-trader 4 (sio 5). Pia unahitaji kua na laptop ingawa si lazima kwa hatua ya mwanzo. Ili kusaidia wasioifahamu tutatoa mafunzo ya mwanzo introduction to forex bure.
(1) Kuelimisha kuhusu forex.
(2) Kuwawezesha kutumia forex
(3) Kufaidika na forex

Kwa wale wazoefu wa forex; tunatoa msaada wa strategy ambayo ni price action and quarter theory for analysis

We are using price action and quarter theory for analysis in the larger time frame and the BTMM method for a good time and position to enter trades (sniper entries).
You will need three templates on your laptop.
1) BTMM template,
2) Quarter theory lines drawn manually or by indicator
3) Price action support and resistance lines drawn on each pair.
*Install TDI indicator on your phone

Bonyeza link kujoin Telegram Channel na Group (Download Telegram kutoka google app. Whatsapp haifai inalimit ya member, Telegram haijai/no limit)

Signature Traders (BTMM)

Signature Traders Tz (BTMM)

Asanteni
 
Back
Top Bottom