Forgery za mfanyakazi wa nje za Vodacom Plc zaanikwa kwa Waziri na Rais Magufuli

Forgery za mfanyakazi wa nje za Vodacom Plc zaanikwa kwa Waziri na Rais Magufuli

Hujui unachokiongea nyamaza tuu, kwanza hii barua imeandika upande wa kisheria tuu ila huyu jamaa hataki kuachia watanzania cheo, kuna watanzania wengi sana wanakiweza cheo hicho zaidi yake ila anafanya tricks za kuhamisha watu na wengine kuwatengenezea jungu waondoke ili wasichukue huyo nafasi, LUIS hapendi watu weusi ni mbaguzi, anadharau weusi, muonevu, kwenye vikao anatukana watu kama wattoto wadogo,

hujui unachoongea, mpaka hii barua imeandikwa manake tumechoka na uonevu wake, umejiuliza kwann yeye tuu, vodacom kuna wageni kibao mbona hawajaandikiwa barua??
Mkuu Andamaneni, sasa ndio unaleta hoja, hivyo I was very right kuwa lengo la kutumia sheria ni kumpiga jungu ili afukuzwe nchini, sio kwa issues za kazi bali kutokana na personal issues za uonevu, ubaguzi, dharau, mbaguzi na lugha chafu, hayo makosa uliyoyairodhesha ni makubwa zaidi kuliko lile takwa la kisheria.

Tangu mwanzo mleta mada angekuja na haya, tunge support.

Kwenye utendaji baadhi ya kazi, Watanzania ni changamoto, nakupa mfano mdogo kwenye vyombo vya habari vya utangazaji, kwenye idara za accounting, na cash office, ITV, Star TV na Channel Ten na Azam TV, zinaongozwa na Wahindi, ni waaminifu sana. Wahindi pia ni makini sana hivyo hadi US na UK, Wahindi wanaajiriwa kwenye IT kuliko wenyeji.

If the guy is good, na mwenye mali anamkubali, atamretain hata kama wapo wabongo wenye uwezo huo, lakini hizo tuhuma dhidi yake mfano hiyo ya ubaguzi na bullying ni very serious offenses na ni criminal!.

P
 
Yangu VTL inaanzishwa sijawahi kusikia Director of IT & Billing mswahili. Shane Damon's alikuwa msouth, labda IT manager aliwahi kufika Ken wakati level hiyo.

Haha siyo majungu Bali ni Hali halisi ya udhaifu uliopo Ministry of Labour,immigration na TIC pia hawaangalii mwekezaji Ana manpower kiasi gani na succession plan ikoje.

Kampuni zote za wageni Mambo haha yanawaumiza wazawa. Wizara ya kazi tokeni Dodoma mfuatilie hizi Kampuni za wageni. Ulienda mahotelini ndio utachoka
 
Teh.. teh..
..Halafu akishakipata hicho cheo hiyo kampuni anaichinjia baharini! Jadi yetu ni kuua makampuni/taasisi mambo ya kuendeleza tumewaachia watu weupe
Anataka akajaze ndugu zake... heheheehe
 
[emoji23][emoji23][emoji23] brother i can see its your time to climb that corporate ladder, the only problem between you and the the ladder is the spaniard, he must go [emoji23]
 
Back
Top Bottom