Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Sio compulsory then km Afya yake Mbovu muache atulie tu nyumbn kwanza hayo Mambo ya kizamani huko Jkt.Nina bint yangu kamaliza form six kachaguliwa kwenda jeshi
Nilikua nauliza je asipoenda inakuaje? Kuna hatua gani wanachukuliwa?
maana yeye alipokua form two alifanyiwa operation KCMC ya tumbo...
Naomben mwenye kufaham anijushe
Mimi Sikuenda. Na maisha yanaendelea.Nina bint yangu kamaliza form six kachaguliwa kwenda jeshi
Nilikua nauliza je asipoenda inakuaje? Kuna hatua gani wanachukuliwa?
maana yeye alipokua form two alifanyiwa operation KCMC ya tumbo...
Naomben mwenye kufaham anijushe
Usimpotezee mtoto muda, mwache apumzike nyumbani.Mimi Sikuenda. Na maisha yanaendelea.
Ila kama ana mpango wa kufanya kazi maeneo yanayohusu jeshi na ulinzi ni vyema akaenda.!
Sio mimi mwenye mtoto.Usimpotezee mtoto muda, mwache apumzike nyumbani.
Wasiwasi wangu ukiacha hakuna hatua yoyote wanachukua?Mwache binti apumzike, maana chuo kinamsubiri huko mambo ni mengi sana.
Angekuwa ni man huyo ningekushauri akaripoti siku mbili kabla.
Hakuna hatua yoyote,angekuwa mzima ningeshauri aende.W
Wasiwasi wangu ukiacha hakuna hatua yoyote wanachukua?
mh ngumu kumezaNgojanikupe ujanja utanishukuru baadae..
Mwambie aende kujisajili tu kuwa alifika kambini....Akifika atafute marafiki huko halafu kozi ikianza anatoroka.
Halafu wale marafiki zake anakuwa anawasiliana nao kuwa vyeti vikitoka wamhakikishie cheti chake.
Siku ya kuhitimu arudi tena kuchukua cheti chake
Humtakii memaNgojanikupe ujanja utanishukuru baadae..
Mwambie aende kujisajili tu kuwa alifika kambini....Akifika atafute marafiki huko halafu kozi ikianza anatoroka.
Halafu wale marafiki zake anakuwa anawasiliana nao kuwa vyeti vikitoka wamhakikishie cheti chake.
Siku ya kuhitimu arudi tena kuchukua cheti chake
mbona watu wengi sna wanafanya..ni rahisi mnoHumtakii mema
wale jamaa huwa hata hawafuatilii..yani anao uwezo wa kufanya hivyo vizuri tu na wasimgunduemh ngumu kumeza
Mmh! Inawezekana kweli?Ngojanikupe ujanja utanishukuru baadae..
Mwambie aende kujisajili tu kuwa alifika kambini....Akifika atafute marafiki huko halafu kozi ikianza anatoroka.
Halafu wale marafiki zake anakuwa anawasiliana nao kuwa vyeti vikitoka wamhakikishie cheti chake.
Siku ya kuhitimu arudi tena kuchukua cheti chake