Form Six kwenda kwenye Mafunzo ya Jeshi

Form Six kwenda kwenye Mafunzo ya Jeshi

Nina binti yangu kamaliza Form Six kachaguliwa kwenda jeshi.

Nilikua nauliza je asipoenda inakuaje? Kuna hatua gani wanachukuliwa?

Maana yeye alipokua Form Two alifanyiwa operation KCMC ya tumbo.

Naombeni mwenye kufaham anijushe
Mkuu, mpeleke kijana akapate mafunzo. Ila aende na vithibitisho basi.
Wakati niko kule kuna jamaa alikuwa mgonjwa mgonjwa, alikua haguswi kwa lolote ni analala tangu tumefika mpaka tunaondoka. Ukimuona muda wote msafiii.
 
makao makuu...Ndomaana taarifa huwa zinaandaliwa mapema na kupelekwa makao makuu...Kwahyo in theory kama mtu akikusanya taarifa zake zikaenda makao makuu, hata akitoroka kambi cheti chake lazima kije
Ok. Umenipa idea.. Naend kikoc X maan kun bro wang ni servc.. Then jina lang likitokea kweny issue ya sensa natoroka nije kupiga ela za mama samix
 
Mmh! Inawezekana kweli?
Wa kwangu pia amechaguliwa bado najiuliza aende au asiende coz nasikia wanasema cheti cha JKT kitakuja kumsaidia huko mbeleni kwenye masuala ya ajira, bado niko njia panda, japokua amepangiwa hapo ruvu tu
Mkuu ram kama unawasiwasi jiulize asingechaguliwa kujiunga jeshi je?? Ingekuwaje?
 
  • Thanks
Reactions: ram
Sio lazima na hakuna hatua yoyote atakayochukuliwa. Ila kama atapendelea kwenda kupata experience muache aende.

NB: Kama ataenda muambie asipende shushu!!
 
Nina binti yangu kamaliza Form Six kachaguliwa kwenda jeshi.

Nilikua nauliza je asipoenda inakuaje? Kuna hatua gani wanachukuliwa?

Maana yeye alipokua Form Two alifanyiwa operation KCMC ya tumbo.

Naombeni mwenye kufaham anijushe
Aende jeshi mitaani wahuni wengi atahitaji mafunzo kusurvive
 
Back
Top Bottom