ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Hebu nipe hayo maujanjambona watu wengi sna wanafanya..ni rahisi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nipe hayo maujanjambona watu wengi sna wanafanya..ni rahisi mno
Inawezekana vizuri mno...kwanza watamkamataje??Mmh! Inawezekana kweli?
Wa kwangu pia amechaguliwa bado najiuliza aende au asiende coz nasikia wanasema cheti cha JKT kitakuja kumsaidia huko mbeleni kwenye masuala ya ajira, bado niko njia panda, japokua amepangiwa hapo ruvu tu
Sio rahisi kihivyo. Kwa siku mnaweza kuitwa majina mpaka mara 4 na mmoja akikosekana wengine siku hiyo mnaweza msilale. Na ikijulikana haupo unafutwa na taarifa inafika kwa OC, CO na RSMNgojanikupe ujanja utanishukuru baadae..
Mwambie aende kujisajili tu kuwa alifika kambini....Akifika atafute marafiki huko halafu kozi ikianza anatoroka.
Halafu wale marafiki zake anakuwa anawasiliana nao kuwa vyeti vikitoka wamhakikishie cheti chake.
Siku ya kuhitimu arudi tena kuchukua cheti chake
Hii kitu Kuna watu nawajua walifanya...halafu Nakumbuka Kuna watu walitoroka vyeti vyao vilikujaSio rahisi kihivyo. Kwa siku mnaweza kuitwa majina mpaka mara 4 na mmoja akikosekana wengine siku hiyo mnaweza msilale. Na ikijulikana haupo unafutwa na taarifa inafika kwa OC, CO na RSM
Achana na huo wasi wasi huyo mtoto amefanyiwa operation ya tumbo.W
Wasiwasi wangu ukiacha hakuna hatua yoyote wanachukua?
Hakunaga kutoroka kule mzee bora asiende kabisaNgojanikupe ujanja utanishukuru baadae..
Mwambie aende kujisajili tu kuwa alifika kambini....Akifika atafute marafiki huko halafu kozi ikianza anatoroka.
Halafu wale marafiki zake anakuwa anawasiliana nao kuwa vyeti vikitoka wamhakikishie cheti chake.
Siku ya kuhitimu arudi tena kuchukua cheti chake
Vyeti vinakuja kama umetoroka kipindi cha mwishoni maana picha za vyeti unavaa gwanda sasa mwanzoni unapata gwandaHii kitu Kuna watu nawajua walifanya...halafu Nakumbuka Kuna watu walitoroka vyeti vyao vilikuja
Kama ana shida kiafta, aende RUVU. Pale wanapokekewa wenye shida mbalimbali za kiafyaNina binti yangu kamaliza Form Six kachaguliwa kwenda jeshi.
Nilikua nauliza je asipoenda inakuaje? Kuna hatua gani wanachukuliwa?
Maana yeye alipokua Form Two alifanyiwa operation KCMC ya tumbo.
Naombeni mwenye kufaham anijushe
Kwani nyie picha za gwanda mlipiga lini?? Sisi tulipiga kabla ya kozi tukayarudisha magwandaVyeti vinakuja kama umetoroka kipindi cha mwishoni maana picha za vyeti unavaa gwanda sasa mwanzoni unapata gwanda
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
We ulishaenda huko?? Mbona serengeti wengi tu wanatorokagaHakunaga kutoroka kule mzee bora asiende kabisa
Kambi nyingi ziko porini huko halafu huyo ni binti
sjachaguliwa but chomboni naend kureport j3_,, wiiiiiii WaaaaaaaaaaaaKama ana shida kiafta, aende RUVU. Pale wanapokekewa wenye shida mbalimbali za kiafya
Oi kwan vyeti vinatengenezwa kikocin au makao makuu,,, npe ufaham nduguKwani nyie picha za gwanda mlipiga lini?? Sisi tulipiga kabla ya kozi tukayarudisha magwanda
Hhhhh. Ngoja nikale totoz. .. UuuuwwiiiiiiiiiKama ni wakike ataliwa kwa lazima sio ombi, mtoto wa ndugu yangu alikuwa anapiga simu akilalamika kuna afande anamtaka alivyo goma akawa anapewa kazi ngumu ila naona alikuja akali maana aliacha kupiga simu alivyo rudi kabadilika ngoja niishie hapa.
Mmh! Inawezekana kweli?
Wa kwangu pia amechaguliwa bado najiuliza aende au asiende coz nasikia wanasema cheti cha JKT kitakuja kumsaidia huko mbeleni kwenye masuala ya ajira, bado niko njia panda, japokua amepangiwa hapo ruvu tu
makao makuu...Ndomaana taarifa huwa zinaandaliwa mapema na kupelekwa makao makuu...Kwahyo in theory kama mtu akikusanya taarifa zake zikaenda makao makuu, hata akitoroka kambi cheti chake lazima kijeOi kwan vyeti vinatengenezwa kikocin au makao makuu,,, npe ufaham ndugu
Kama ruvu mpeleke, hakuna purukushani pale.Mmh! Inawezekana kweli?
Wa kwangu pia amechaguliwa bado najiuliza aende au asiende coz nasikia wanasema cheti cha JKT kitakuja kumsaidia huko mbeleni kwenye masuala ya ajira, bado niko njia panda, japokua amepangiwa hapo ruvu tu