Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Simba kwa sasa ni timu kubwa sana ukanda huu. Kikosi cha simba ni kipana. Kila namba ina watu wasiopungua wawili. Ninaanza kuleta kikosi na formation yake kulingana na uhitaji.
Tunaanza na 4-2-3-1. Tukiwa tunacheza kwa namna ya kawaida.
Tunaanza na 4-2-3-1. Tukiwa tunacheza kwa namna ya kawaida.