Former CEO Barbara yuko wapi?

Former CEO Barbara yuko wapi?

Alipigwa Sana majungu kisa ni kuzuia mianya ya upigaji ya "wazee wa timu"

Huyu ni mmoja wa watu waliofanya soka la Tanzania lipae juu kirank, na kuheshimika duniani kwani ana exposure ya Hali ya juu ya kimataifa na hata Alisha Anza kuchaguliwa kwenye nafasi mbalimbali za uongozi wa CAF.
Barbra hovyo palikuwa hapana CEO pale
 
Alipigwa Sana majungu kisa ni kuzuia mianya ya upigaji ya "wazee wa timu"

Huyu ni mmoja wa watu waliofanya soka la Tanzania lipae juu kirank, na kuheshimika duniani kwani ana exposure ya Hali ya juu ya kimataifa na hata Alisha Anza kuchaguliwa kwenye nafasi mbalimbali za uongozi wa CAF.
Sasa pale lopolopo watamuua kabisa maana ulaji pale ni extreme
 
Back
Top Bottom