Watu kama Gentamycine and Co wamemwandama dada wa watu mpaka akaamua kubwaga many anga. Sasa waje watueleze wamefaidika nini kwa Barbara kuondoka Simba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jina lake ni nani?CEO wa sasa hata jina lake halijulikani.
Namjulia wapi ndugu, jamaa kapoa kama maji ya baridi.Hivi jina lake ni nani?
Barbara Gonzalez Kambi ya FisiHivi jina lake ni nani?
Unamaanisha?Barbara Gonzalez Kambi ya Fisi
Labda salary yake wanapewa wao..Hakika huyu alikuwa CEO wa shoka. Enzi zake Simba kulikuwa na vibe sana na mafanikio tele. CEO wa sasa hata jina lake halijulikani. Watu kama Gentamycine and Co wamemwandama dada wa watu mpaka akaamua kubwaga many anga. Sasa waje watueleze wamefaidika nini kwa Barbara kuondoka Simba?
Halafu ukishajua alipo. What next!! Nafsi yako itakuwa imefarijika?Hakika huyu alikuwa CEO wa shoka. Enzi zake Simba kulikuwa na vibe sana na mafanikio tele. CEO wa sasa hata jina lake halijulikani. Watu kama Gentamycine and Co wamemwandama dada wa watu mpaka akaamua kubwaga many anga. Sasa waje watueleze wamefaidika nini kwa Barbara kuondoka Simba?
YesHalafu ukishajua alipo....! What next!! Nafsi yako itakuwa imefarijika?
Mbona hujawahi kukumbuka mazuri ya Jiwe kila siku una mponda??Ndo wabongo walivyo...ukiwepo wanakuponda Hadi ujione huna faida..ukishaondoka wanaanza kukumbuka mazuri yako...
Napima mazuri na mabaya ..Mbona hujawahi kukumbuka mazuri ya Jiwe kila siku una mponda??
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Alipigwa Sana majungu kisa ni kuzuia mianya ya upigaji ya "wazee wa timu"Hakika huyu alikuwa CEO wa shoka. Enzi zake Simba kulikuwa na vibe sana na mafanikio tele. CEO wa sasa hata jina lake halijulikani.
Watu kama Gentamycine and Co wamemwandama dada wa watu mpaka akaamua kubwaga many anga. Sasa waje watueleze wamefaidika nini kwa Barbara kuondoka Simba?
Acha ubwabwaHakika huyu alikuwa CEO wa shoka. Enzi zake Simba kulikuwa na vibe sana na mafanikio tele. CEO wa sasa hata jina lake halijulikani.
Watu kama Gentamycine and Co wamemwandama dada wa watu mpaka akaamua kubwaga many anga. Sasa waje watueleze wamefaidika nini kwa Barbara kuondoka Simba?
Cc GentamycineAlipigwa Sana majungu kisa ni kuzuia mianya ya upigaji ya "wazee wa timu"
Huyu ni mmoja wa watu waliofanya soka la Tanzania lipae juu kirank, na kuheshimika duniani kwani ana exposure ya Hali ya juu ya kimataifa na hata Alisha Anza kuchaguliwa kwenye nafasi mbalimbali za uongozi wa CAF.