Former CIA agent sentenced to 19 years in prison for conspiracy with China

Former CIA agent sentenced to 19 years in prison for conspiracy with China

Naanda US$ 1M ili nipate information kutoka TISS na kuanza mikakati ya kumuharibia fudenge,sijui watakubali hela hiyo!
Nalog off
 
Huyu alishastaafu kazi cia mwaka 2007 na akarudi hong kong kufanya shughuli zake binafsi. Akiwa huko akafuatwa na intelligence officers wa kichina na kumuahidi watampa pesa ya kutosha awaibie siri ya cia operations nchini china.

Hii ilishtukiwa mwaka 2012 baada ya informants wengi wa cia kuuwawa wakiwa china tena wengine mchana kweupe kwa kupigwa risasi ndio fbi wakaanza uchunguzi, mwisho wakafanya kitu kinaitwa ikawa zeroed kwa huyu mshikaji, wakaanza kumchunguza kuanzia hongkong, virginia, siku moja wakavamia chumba chake cha hotel bila yeye kujua, wakakagua begi lake na kukuta ana note book ya majina ya watu waliokua anafanya nao kazi kabla hajaacha kazi cia, majina yao halisi na contacts zao na locatio, usb na vitu kadhaa ambavyo aliposaafu hakuvikabidhi cia, fbi walimhoji kuhusu hizo mambo akakataa kua hana information yoyote.

Mbaya zaidi akawa anakutana na washkaji zake wa zamani wa cia ambao bado wanafanya kazi huku akijua alishahongwa na wachinana hakuwaambia chochote.

Huyo alitakiwa kunyongwa, alisaini plea deal asamehewe kifo kwa kifungo kirefu kwa kukiuka kitu kinaitwa life time non disclosure agreements alizosaini mwaka 1994 alipoajiriwa cia .
Aisee
 
The benefits gained through espionage are often so great that most governments and many large corporations make use of it. It is only wrong if you are on the other side.
 
Daah basi kuna loop holes nyingi sana kwa CIA kwa hali hii hawa China wanaopenda mtelezo watafaidika sana na Siri nyingi za US ambazo zimewafanya kufika hapo walipo, kuna haja ya US kukazia kwenye uzalendo kwa maagent wake kama kwa wenzao China Sijawai kusikia case kama hizi zimetokea kwa china
Wachina wapo wengi tuu wanauza match,tatizo mfumo wa Serikali yao hairuhusu kutangaza habari mbaya ni kama alivyo Jiwe hapa kwetu.
 
[emoji2][emoji23][emoji6][emoji14][emoji14][emoji14]
Wachina wapo wengi tuu wanauza match,tatizo mfumo wa Serikali yao hairuhusu kutangaza habari mbaya ni kama alivyo Jiwe hapa kwetu.
Hata Kama Unataka Kuupindisha Ukwel
ila ukweli unajulikana yakwamba Hakuna Taifa DUNIANI Ambalo Katika System Yake Ya Intelijensia Kuna Watu Wanaotumika Kama DOUBLE AGENT Ila Ukweli Wakwamba US Ndio Nchi Ambayo Inaongoza Kwa DOUBLE AGENT Haufichiki


Jamaa sijui wanashida gani wanakula pesa ndefu ila UMBEYA Wanauendekeza Nahuu Unaenda Kuwagharimu Katika Uwanda Huoo Mambo Yanatakiwa Yaende Kisiri Siri MNOOOOO
 
Back
Top Bottom